Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

No sane person will drive at a speed of even 20km/hr in that street. So the possibilities of such incidence are close to zero. I also think there will be barriers between the pedestrians and the vehicles.

kwenye mambo ya ujenzi usiassume kitu flan hakitaleta madhara/athari at certain minimum level (sijui niiwekeje ila nadhan umeelewa)... so hio assumption iondoe kbsa.. pia ukubali wamekosea kuweka pedestrian walkways katikat
 
New Dodoma NATIONAL ELECTION COMMISION HQ


IMG_4492.jpg
 
Yaani wewe Engineer halafu unaongea hivyo ? Mbona Tokyo kuna majengo marefu? I would rather have a city of few tall buildings with underground parking lots but with many public parks, recreation soaces, wide streets, trams n underground transport system than a sprawling city full of short concretes! I call an urban areas with highrise but public amenities for residents, a sustainable city!
fake engineer,wanaitwa paper injiniaz hao,huwa kazi yao ni ku copy na ku paste michoro ya zamani lakini ukija nae site atafsiri hawezi huwa wanatupa mzigo sana hawa watu ,wamejaa Tanroads huko
 
majengo marefu yanaweza kujengwa Dodoma, tatizo cost mkuu ya kujenga hayo majengo ya kustahimili tetemeko..
Hata mbeya mlikuwaga mnasema hivyo hvyo hadi wenye pesa wakawadharau wameanza kuyajenga wenyewe..Afu jengo la pspf na LAPF ya Dodoma yana floor zaidi ya 10 kwa hiyo hali ya mwamba wa ardhi ya Dodoma sio dhaifu kihivyo,ni vile majengo yanayojengwa ni ya taasisi za umma lakini naamini private sector ikijaanza kuwekeza watajenga majengo marefu zaidi maana ukiangalia kwenye masterplan huwa yanaonekana yapo
Mji bila majengo marefu haunogi
 
Ww Geza mbn unakuwa mbishi? Umeambiwa Dodoma hapatajengwa towers over 15 kwnn unabishana na wataalamu mkuu, ingepaswa ulete ushahidi kwamba kuna miji ambayo ni earthquake zones lkn kuna high towers then ndiyo tu doubt kwnn Dodoma icwe na over 15.
Arusha
 
afu mtu anasema hakuna faida ya kujengwa masoko ya madini na kuanzishwa kwa viwanda vya kusafisha madini nchini

Hii ni kwa muda tu sababu ya corona lakini covid ikikata utalii utarudi kwenye viwango vyake,pia soko la dunia kwa sasa gold imepata sana bei kuwahi kushuhudiwa
Both tourism na gold by 2025 vitakuwa handsdown na green gold avocaldo ya Njombe na Mbeya
 
Wakuu huyu huwa tunampotezea cz hana logic ni mpumbavu tu mana ingekuwa vzr km kuna vitu angelikuwa anapongeza lkn huyu ni mjinga sana tena zaidi ya Zitto, kwa kawaida kila serikali kuna mambo inapatia tunapongeza na inapoboronga tunaponda hata uhuru Kenyatta yapo aliyofanya mazuri japo mengi kaboronga hata Kikwete yapo aliyofanya vzr anapongezwa na aliyobolonga anapondwa lkn huyu mpuuzi anaponda tu na kinachotia hasira ni kwamba anachokiponda leo kesho atasifia km hapo juu amesifia mfugale ambayo mwanzoni aliiponda so huyu huwa tunampuuza tu wala msimjibu, mm mwenyewe kani quote lkn wala ctamjibu.
shida yako wewe fala huwa unahemka na kukurupuka na hueleweki..Mara useme huwa hapongei mara useme nasifia mfugale yaani unamseleleko wa akili kama unashindia mlenda na matobolwa
Kwa taarifa yako hiyo flyover ya mfugale sijaisifia ila nimesema ni ya kawaida sana ukilinganisha na ile interchange ya kurasini kuelekea daraja la kigamboni/nyerere lakini hatukuwahi kuona pambio na sifa kama awamu hii,kuna miradi ingi ya dizaini hiyo
Hujajibu swali langu hadi leo hii wewe muimba pambio,taja mkoa uliounganishwa na barabara ya lami chini ya awamu ya 5,sio kurukaruka kama maharge motoni..utalamba sana ass ili upate ujira wako
 
Hongera zenu wakenya,huku Tzn bado serikali inajenga barabara za single lane karne hii za kuunganisha miji na miji tena za surface dressing..Ifike mahali mtizamo wa akili uendane na uchumi wa kati,barabara kuu zinazokatisha miji mikuu ya mikoa ya nchi ziwejengwe dual carriage ili kukabiliana na ongezeko la traffic ,idadi ya watu na kupendezesha miji
 
Back
Top Bottom