Hapo elevators zinangojewa upande wa kushoto wa escalators! inakaa vitakuwa za vioo na nyingi kwa hiyo nafasi si chini ya nne!
Hii ni watch tower ya karao ama?Movenpick Hotel. It`s the only revolving hotel in Westlands.
View attachment 1504988
Ngoja waweke minara ya mawasiliano huko juu ya jengo🙂
Wakuu ikulu ya Dodoma ni balaa
Angalieni hii video kuanzia 37:00 TBA
Ile tuliooneshwa inayofanana na magogoni ni nyingine,
TBA ndio wenye hii render lakini tatizo hawapo youtube
Only In Kenya But not Tanzania, We Have Revolving restaurant, and its level 5Movenpick Hotel. It`s the only revolving hotel in Westlands.
View attachment 1504988
JIWE halisi aka Baba Jesca ni moto wa kuotea mbali🙂3.2 km Kigongo-Busisi bridge U/C
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala kikihboy
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
Yale majengo ya Magogoni yatajengwa pia, Ikulu ina majengo mengi sana kwa ajili ya shughuli tofauti...Kwa kweli nimekuwa impressed na hii design ya ikulu ya Chamwino. It is beautiful and modern indeed. Inawezekana wameamua kujenga nyingine yenye muonekano tofauti kabisa na ile ya magogoni. Hata mimi binafsi nilikuwa sipendi idea ya ku-copy na kupaste ikulu iliyojengwa na mkoloni wakati tunao uwezo wa kudesign na kujenga mpya kabisa ya kisasa zaidi. Ile ya dar ibaki kwa ajili ya historia ya taifa letu lilikotokea.
Hii kitu hii ikikamilika humo ndano ni balaa.
ikulu ni ileile ya Dar sema kuna majengo mengine pia, ndo yale yanayo onekana ktk videoKwa kweli nimekuwa impressed na hii design ya ikulu ya Chamwino. It is beautiful and modern indeed. Inawezekana wameamua kujenga nyingine yenye muonekano tofauti kabisa na ile ya magogoni. Hata mimi binafsi nilikuwa sipendi idea ya ku-copy na kupaste ikulu iliyojengwa na mkoloni wakati tunao uwezo wa kudesign na kujenga mpya kabisa ya kisasa zaidi. Ile ya dar ibaki kwa ajili ya historia ya taifa letu lilikotokea.
Hiyo video ni jengo la Ukumbi wa JK Nyerere a kind of replica to Kikwete Hall at Magogoni! Mi sijui kwanini watu hawajali historia ya nchi? Binafsi sioni tatizo jengo la Ikulu kuwa kama lile la Dar maana limesheheni historia yetu na lina Swahili architectural design! the US White House haijabadilika japokuwa wanaweza kujenga hata jengo la ghorofa 100!ikulu ni ileile ya Dar sema kuna majengo mengine pia, ndo yale yanayo onekana ktk video
Movenpick Hotel. It`s the only revolving hotel in Westlands.
View attachment 1504988
sio hii Akemi tu, hata TPA tower nasikia kwenye top floor kuna revolving restaurant ila bado nadhani haijapata mwekezaji wa kuifungua to the publicA revolving restaurant in the Middle Income Country.
View attachment 1505094
View attachment 1505095
View attachment 1505096
View attachment 1505097
yule mjusi atakua kaiona hii bilashaka 😅😅😀A revolving restaurant in the Middle Income Country.
View attachment 1505094
View attachment 1505095
View attachment 1505096
View attachment 1505097
sio hii Akemi tu, hata TPA tower nasikia kwenye top floor kuna revolving restaurant ila bado nadhani haijapata mwekezaji wa kuifungua to the public
Kuna uhuni flani, subiri washughulike nao deep.. Usafiri kwenda SA utakua fixed soon... Watz hasa wanasheria ndio mda wenu wa kujitangaza huuHuyu mkulima anatuaibisha sn co tu kutukosesha mapato, km anatudai c alipwe mana km tunaweza kuwalipa yapi merkezi tunashindwaje kamtu kamoja? Yn kamtu kamoja tu ndo katusumbue hv labda huyo mkulima ndiyo SA ynyw lkn co mtu mmoja eti asumbue nchi kubwa kama Tz.