Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndiyo secta binafsi ni muhimu ila si vyema kuiacha inatuharibia kazi na kutupotezea muda mfano ni ndege tunge achia sekta binafsi hadi Leo tusingekuwa na midege ya maana maendeleo ya nchi ni muhimu kuliko secta binafsi mbovu

Send by APOLO 1
Nchini inaendeshwa na Private sector by 80%, bila private sector hakuna maendeleo. Chukulia mfano sector ya Kilimo, uvuvi, mifugo na Madini, zote hizi zinaendeshwa na sector binafsi kwa zaidi ya 99%, kumbuka hao walioko katoka sekta ya ujenzi ambao unataka wasipewe hizo kazi, wengi wao ndio wenye mashamba makubwa, ndio wenyekumiliki vyombo vya uvuvi na mifugo, ukiwanyima kazi za ujenzi, sectors zote zitaanza kuzorota, uchumi utadorora.
 
Kikubwa angesema kwamba wakandarasi wanaofanya below quality wasilipwe hadi standars zifike nzuri as required..lakini hili la kusema jeshi..ni boko cause mznguko wa hela utapungua
UwUwezo wenu wa kuelewa mambo ya uchumi ni Mdogo
Miundombinu madhubuti ya uma ni muhimu kuliko hicho mnacho sema ndiyo maana serikali na uchumi wa Africa ni duni uwezi kujenga barabara mbovu kufurahisha sekta binafsi hiyo ndiyo chimbuko la ufisadi . unatumia $400mil kujenga barabara ambayo baada ya miaka mitano inakuwa imegeuka vumbi tupu

Send by APOLO 1
 
simba na yanga ni chachu ya maendeleo mpiran hasa ujazaji wa fans uwanjan... timu nyingine zifanye bidii kama hao
IMG_1594572422.022167.jpg
 
UwUwezo wenu wa kuelewa mambo ya uchumi ni Mdogo
Miundombinu madhubuti ya uma ni muhimu kuliko hicho mnacho sema ndiyo maana serikali na uchumi wa Africa ni duni uwezi kujenga barabara mbovu kufurahisha sekta binafsi hiyo ndiyo chimbuko la ufisadi . unatumia $400mil kujenga barabara ambayo baada ya miaka mitano inakuwa imegeuka vumbi tupu

Send by APOLO 1
Naona unapata shida kuelewa..basically point ni kwamba ni muhimu private sector kufanya projects ..if and only if standards remain good...kuliko kuwapa jeshi..serikali tajiri sio watu matajiri...serikali ikipata hela kama kampuni yako haijaingiza hela ww unafaidikia nn personally..?

Kama kuna private company nzuri inafanya kazi frsh ni bora kuliko kuipa jeshi
 
Naona unapata shida kuelewa..basically point ni kwamba ni muhimu private sector kufanya projects ..if and only if standards remain good...kuliko kuwapa jeshi..serikali tajiri sio watu matajiri...serikali ikipata hela kama kampuni yako haijaingiza hela ww unafaidikia nn personally..?

Kama kuna private company nzuri inafanya kazi frsh ni bora kuliko kuipa jeshi
fedha za AfDB huwezi kujipea namna hiyo!
 
good, sema mnawekaje pedestrian walkways katikati?
gari likiacha brakes dereva hana option nzuri ya kujigongesha mana kote kweny lane moja kuna watu
No sane person will drive at a speed of even 20km/hr in that street. So the possibilities of such incidence are close to zero. I also think there will be barriers between the pedestrians and the vehicles.
 
Back
Top Bottom