Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_20200613_163151_4.jpg
View attachment 1501216
 
Yaani wewe Engineer halafu unaongea hivyo ? Mbona Tokyo kuna majengo marefu? I would rather have a city of few tall buildings with underground parking lots but with many public parks, recreation soaces, wide streets, trams n underground transport system than a sprawling city full of short concretes! I call an urban areas with highrise but public amenities for residents, a sustainable city!
Ww Geza mbn unakuwa mbishi? Umeambiwa Dodoma hapatajengwa towers over 15 kwnn unabishana na wataalamu mkuu, ingepaswa ulete ushahidi kwamba kuna miji ambayo ni earthquake zones lkn kuna high towers then ndiyo tu doubt kwnn Dodoma icwe na over 15.
 
Hamna kitu kama hicho master plan ya Dodoma ina high rise buildings area!
Kwa nijuavyo mm ni kwamba Dodoma hapatajengwa majengo marefu ss huenda sina information kamili, pengine ndiyo naskia kutoka kwako kwamba kuna areas for high rise buildings.
 
Kwa nijuavyo mm ni kwamba Dodoma hapatajengwa majengo marefu ss huenda sina information kamili, pengine ndiyo naskia kutoka kwako kwamba kuna areas for high rise buildings.

According to my knowledge, kujenga very high buildings kwenye earthquake zone ni very very expensive kwa maana utahitaji structural elements kuwa strong enough to withstand the vibration...hivyo foundation itakuwa deep sana, too many steels and all other structural materials yaan gharama yake unaweza jenga magorofa ya kawaida matatu hvyo watu wengi wanaachana na kujenga majengo marefu kwenye earthquake zones maana ni too expensive to afford.

Hvyo kwa Dodoma wakasema hakuna kujenga majengo marefu sana wakiamini kuwa hakuna Mtanzania or investors atakayezingatia all conditions and requirements za structural elements kuweza kuwa safe kipindi cha earthquakes otherwise utaleta maafa kwa watu wanaozunguka jengo hilo.
 
Ah mhandisi unatuangusha. Arusha matetemeko yapo lakini jengo za ghorofa 15 zipo
huko ni dodoma, si vizur kujenga majengo above 15 floors sababu ya matetemeko!
pia angalieni vizur hii video.. the building is structurally amazing!
 
Km Hujui Ilala Hamna Slum
Ilala Ni Sehem Ambyo Kuna Mitaa Na Barabara Kila Sehemu, hyo Nyumba Imechakaa Ndio Maana Na Nikwmbie Tuu Ukweli Thaman ya Ardhi Ilala ni Kubwa Tena Kubwa Balaa!! Haijalishi Nyumba Imechakaa au Laa na Ndio Maana Umeona Since January to December pko vlevle ciz It's really Expensive

View attachment 1501180
Hii ata inachapwa na ngara
 
Back
Top Bottom