Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Some Moment In Dar
View attachment 1505456
IMG_20200709_103733_2.jpg
 
Kabla ya Magu taasisi za umma na wakala zake zinazojitegemea zilikuwa na uwezo wa ku act kama sekta binafsi kwa kukusanya pesa zao na kuzitumia kwa miradi yao huki wakitoa gawio kwa serikali kuu na kutekeleza majukumu yao mengine
Saizi hawawezi tena ni mpaka serikali kuu iaprove kumbuka pesa zote zinaingia mfuko mkuu wa serikali yaani hazina,from there ndio matumizi yaanzia sasa inakua ngumu kuwekeza kama sekta binafsi ndio maana miradi mingi ya nssf imekwama kama mzizima tower nk na hata hakuna miradi mingine hasa ya majengo ya maana..Hili jengo najua ni mali ya ppf ambayo imekufa saizi sijui liko kwa psssf au nsssf
Hiyo ni kutokana na ufujaji mkubwa wa pesa uliokua ukifanywa na wakurugenzi wa hizo taasisi, wengi walikua na uwezo wa kujipangia mishahara na matumizi ya anasa vile wapendavyo.

Ulisikia habari ya boards mbalimbali kufanya vikao vya boards Dubai badala ya Tanzania?, ulisikia kuhusu uwekezaji katika miradi isiyokua na tija ili muradi kuna 10%?, matokeo yake mashirika yalikua ni mzigo kwa Serikali kutegemea ruzuku ya Serikali kujiendesha?, sasa hivi hayo mashirika yote yameanza kujitegemea, hayapewi tena ruzuku, na mengi yaneanza kutoa gawio kwa Serikali na baadhi yaneanza kuwekeza katika viwanda, KILIMO na katika madini. Kati ya uwekezaji katika maeneo hayo na kujenga majumba wapi kuna tija zaidi?
 
Sasa mbona huko kwenye miji mikubwa hakuna hizo juhudi ukiacha dar na Dodoma? Hata Kenya nimetaja miji yao mikubwa sio kila mji lakini pia kama barabara za mjini zikiwekwa lami zikawa na access nyingi badala ya kutegemea njia moja haziwezi kuwa na msongamano ndio kama Tanga sasa..Mfano Sumbawanga barabara kuu ni moja ambayo ni single lane sasa jioni na asubuhi inaanza kuzidiwa na magari hasa bajaji maana njia za pembeni ya mji sio nyingi sasa by 2025 tayari tutaanza kusubiriana,hakuna kitu nachukia kama foleni.
Dodoma hakutakaa kuje kuwa na upuuzi wa mafoleni,napenda sana wafanye hivyo na mikoa mingine kwa kujenga njia za pembeni au dual
Huwezi kujenga miji yote kwa Mara moja, sasa hivi ni Dar na Dodoma, wakati huo huo barabara za kuunganisha mikoa na Wilaya zinaendelea, tukimaliza huko ni zamu ya Arusha na Mwanza. Kenya kamwe usiwasifie katika hili, priorities zao ni za ajabu sana, Kenya watu wanakufa kwa njaa kila mwaka, wanategemea Chakula cha msaada, lakini Serikali ipo busy kukopa mapesa mengi kujenga barabara za juu mijini, pesa ambazo zingetosha kuweka mifumo mizuri ya umwagiliaji maji na kuwakomboa wakulima na wafugaji kule Turkana.
 
Sasa mbona huko kwenye miji mikubwa hakuna hizo juhudi ukiacha dar na Dodoma? Hata Kenya nimetaja miji yao mikubwa sio kila mji lakini pia kama barabara za mjini zikiwekwa lami zikawa na access nyingi badala ya kutegemea njia moja haziwezi kuwa na msongamano ndio kama Tanga sasa..Mfano Sumbawanga barabara kuu ni moja ambayo ni single lane sasa jioni na asubuhi inaanza kuzidiwa na magari hasa bajaji maana njia za pembeni ya mji sio nyingi sasa by 2025 tayari tutaanza kusubiriana,hakuna kitu nachukia kama foleni.
Dodoma hakutakaa kuje kuwa na upuuzi wa mafoleni,napenda sana wafanye hivyo na mikoa mingine kwa kujenga njia za pembeni au dual
Kuna sehemu zingine zitahitaji pesa nyingi kutengeneza zaidi ya two lanes, mfano Kwa mwanza ile Musoma road huwa naona kule waliishia 3 lanes sijajua kama ni mazingira ndio yalipelekea maana upande mmoja kuna mlima na upande wa pili kuna bonge na mto just near the road, walichokifanya ni kuanza kujenga njia mbadala, sijajua kama 6 lanes zinawezekana kupita baadhi ya sehemu labda zipite juu, moja kwa moja swala la gharama litahusika,
 
Hao huwa ni wapiga domo wa ccm huwa hawasemi ukweli maana kama ni statistics za maendeleo bora hata huko maana Dar tu ina GDP takribani 70% ndo rest of tzn zinagawana kilichobakia,hili hutasikia wakiliongelea
Kiukweli kwenye barabara za mijini bado Kenya iko vizuri maana miji mingi mikubwa ya Kenya kuanzia Nairobi,Mombasa,Kisumu,Nakuru nA Eldoret barabara zake ni dual carriage na kuna hadi interchange,overpass na underpass na flyovers tofauti na Tzn ambako ndio kwaanza vitu hivyo vinaanza kujengwa Dar huko mikoani ni za kutafutiza kwa tochi but kelele zao sasa hadi midomo inapauka
Hebu lete ushahidi kwamba dar gdp ni 70% ya Gdp ya Tz.
 
Kabla ya Magu taasisi za umma na wakala zake zinazojitegemea zilikuwa na uwezo wa ku act kama sekta binafsi kwa kukusanya pesa zao na kuzitumia kwa miradi yao huki wakitoa gawio kwa serikali kuu na kutekeleza majukumu yao mengine
Saizi hawawezi tena ni mpaka serikali kuu iaprove kumbuka pesa zote zinaingia mfuko mkuu wa serikali yaani hazina,from there ndio matumizi yaanzia sasa inakua ngumu kuwekeza kama sekta binafsi ndio maana miradi mingi ya nssf imekwama kama mzizima tower nk na hata hakuna miradi mingine hasa ya majengo ya maana..Hili jengo najua ni mali ya ppf ambayo imekufa saizi sijui liko kwa psssf au nsssf

Kwa hiyo jibu fupi hilo jengo sio la sekta binafsi ...... najua unaweza kuwa na msukumo wa kisiasa katika majibu na mtazamo wako ....sio dhambi kila mmoja ana dini na mtazamo wake katika maisha ....isipokuwa facts haz badiliki.....naona kwa jibu lako kuna kitu kama JK era vs JPM era?! This very huge topic ....each era has postives and negatives.....however I can conclude JK era was beloved to the elites(Top government officials and business tycoons) who had acess to Govt’s cash in one way or the other and in turn they created this bubble economy , the economy expirienced this huge cash circulation on market which was not supported with actual production of goods and services because to large extent the cash in the circulation was ill gotten cash from public coffers/ public housing projects (here there were alot of corrution through these realestate deals making the final product very expensive for an end user/a customer ...most of finished houses/tall buildings are lying empty) as well as illegal deals like drugs/poaching eg tusker.

Under JK era public sector would only have dreamt to excute mega projects like the ones are being done now as it was largely bankrupt government not because there was no cash but because of its poor ability to collect and manages public Revenues/resources ....WHILE JPM era it’s a period as u can see yourself where public sector benefits more than a few individuals/elites ranging from top government officials to business tycoons.

There is no false cash circulation /bubble economy ...since the rooting of government cash , illegal deals and corruption has been sigifificantly reduced unlike JK’s these people rooted the cash from gtv coffers/made corrupt deals/illegal deals like drug/poaching and spent it like there is no tommorow .... in turn the situation created this false cash circulation on the street level. JMP era circulation is based on production of services and goods as well as legal deals which is the real economy.
 
Maji ya ziwa Rukwa huwa ni hiyo rangi

Maji ya ziwa Rukwa huwa ni hiyo rangi ya matope throughout but yanatumika kama kawaida kwa matumizi ya nyumbani na kilimo..pengine inatokana na hiyo mito kuanzia ukanda wa nyanda za juu mikoa ya Songwe,Rukwa na Nchi ya Zambia ambako kuna udongo mwekundu wa kilimo
Mzee wa kubishana na NASA!
 
Back
Top Bottom