Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mko na moja pekee,sisi tutakuwa na zaidi ya kumi tena pana kuliko hako ka kigamboni,11km elevated,kitu tz haitawahi pata,hahaha
Hahahaha kwahyo mpk ss tunavyoongea kenya haina Toll gate and yet u brag about of having a most developed country in EA[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ethiopia Airways ni biashara ya Serikali, kampuni la simu za mikononi kubwa kuliko zote huko Ethiopia ni kampuni la Serikali, kwa mwaka hundengeneza faida ya zaidi ya $7B. Serikali ya Qatar hupata zaidi ya $100B kutokana na biashara za Serikali.
Kwa aina ya wateule wa Rais wa kuongoza mashirika ya biashara hakuna faida itapatikana tofauti na kipindi cha Jk alikuwa anawateua watu wenye mlengo wa biashara na wazoefu wengine aliwatoa nje ila sio hao mnaowatoa kwenye nyuo kuja kuimba pambio tuu
 
wapi serekali imesema inafanya biashara hebu tuanzie hapo
kwani unasubiri iseme au unaona vitendo? nssf ni shirika binafsi au? magereza je? saizi magereza na taasisi kama polisi eti nao watasajili kampuni za ujenzi na ulinzi,sasa hii ni nini? hiyo ni mifano michache tuu
 
When this project is done, Nairobi will be the most beautiful city in Africa. I know Tanzania will copy.
View attachment 1476156
Cyclists are not our priority at the moment. We want to have an efficient mass transit system in the city, which by the way you do not have 😬 I bet hata mkijenga public toilets mtaita Nairobi is the most beautiful city in Africa. Ukenya ni tabia aisee.
 
hii sehem sio hata CBD hapa Dar
IMG_1591983106.435251.jpg
IMG_1591983116.224678.jpg
IMG_1591983126.911253.jpg
IMG_1591983135.547629.jpg
 
Haya uliyoyaandika ndio huwa nawaambia Wakenya ambao wanakazana kupost majengo humu yasiyo na impact kubwa kwa walalahoi ambao ndio wengi, yn tupo tofauti sn wao wanapost majengo na magari, cc tunapost miradi ya kimkakati ambayo asilimia kubwa inaenda kumgusa mlalahoi, na huu ndio ukweli kwamba Tz ikishakamata usukani itakuwa ngumu sana kufikiwa na nchi yoyote hapa EA kwasabu mazingira ya kiitikadi huku kwetu yapo vzr, hakuna udini wala ukabila, tofauti na wenzetu, cc tulihitaji mtu shupavu asiyeendekeza siasa ili atuamshe na tumempata, so jirani zetu wategemee Tz kutawala ktk nyanja zote za kiuchumi miaka michache ijayo.
Infact sub sahara kwenye future sisi tutakua tunakimbizana na South Africa....sio mbali sana kutoka sasa....
 
Back
Top Bottom