Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1591934983.657793.jpg
 
Kwamba huoni mambo mapya yanayofanyika kwenye uongozi huu, ww ni wa kuachwa tu wala sio wa kujibiwa cz nahisi una jealous za kichawi
wewe nae ni mtu wa kukurupuka,hoja iliyopo mezani ni serikali kufanya biashara na matokeo yake hasi ndio nasema hakuna jipya ambalo huko awali linalohusiana na biashara serikali haikuwahi fanya na matokeo yake ni hasara.Ila wajibu wa serikali ubaki kwenye mambo inayotakiwa kufanya sio biashara
 
wewe nae ni mtu wa kukurupuka,hoja iliyopo mezani ni serikali kufanya biashara na matokeo yake hasi ndio nasema hakuna jipya ambalo huko awali linalohusiana na biashara serikali haikuwahi fanya na matokeo yake ni hasara.Ila wajibu wa serikali ubaki kwenye mambo inayotakiwa kufanya sio biashara
wapi serekali imesema inafanya biashara hebu tuanzie hapo
 
Wala u usihangaike nae sana, Dr unia yote inajua kwamba TZ ndio inaongoza ktk EA&CA kwa dollar billionaire na millionaires wengi.

So sport cars na luxury cars ni vitu vya kawaida kwetu.
Last time l checked you had a smaller economy than 🇬🇭 GHANA
 
Back
Top Bottom