Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Teargass Guess the non slumless City, (100 marks)View attachment 1476563
cha ajabu ukizoom mzungu hakuona google earth so ww na mzungu nani anaakili??๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ hope jibu unalo
62253B44-96B9-4DA5-AA46-E30D558901A5.png
 
Kwa aina ya wateule wa Rais wa kuongoza mashirika ya biashara hakuna faida itapatikana tofauti na kipindi cha Jk alikuwa anawateua watu wenye mlengo wa biashara na wazoefu wengine aliwatoa nje ila sio hao mnaowatoa kwenye nyuo kuja kuimba pambio tuu
Lengo ni kukurekebisha ile kauli yako kwamba Serikali haiwezi kufanya biashara. Hili la sasa ni " Negotiable ", wewe unavyofikiria sio kila mmoja inaona hivyo, kwahiyo ni haki yako kufikiria unavyofikiria, na pia wale wenyekufikiria tofauti na wewe pia ni haki yao, tusibiri tuone ni upande UPI utakua sahihi.
 
Back
Top Bottom