Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wapi serekali imesema inafanya biashara hebu tuanzie hapo
Mbona hampo kwenye hii list?
8DBFAE45-6659-4B48-9A4E-54EAA01977A9.png
 

Attachments

  • Screenshot_20200611-215651.jpg
    Screenshot_20200611-215651.jpg
    89.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20200611-215617.jpg
    Screenshot_20200611-215617.jpg
    44.8 KB · Views: 5
Kuna naibu Waziri wao mmoja alianza kuleta zile dharau kwa jinsi JPM alivyo approach jinsi ya kupambana na Covid-19 pandemic. Hii ilitokea mwanzoni ambapo kila mmoja alipojifanya mjuaji...

Sasa chama chake ndio kina mpatia disciplinary action.

JPM ni namba nyingine aisee..
Hahaa!!mnapumbazwa tu
 
Deni la Kenya kwa China ni ,,US $6.5bilions...sasa hivi bandariya Mombasa inafanya kazi kupitia Mwongozo wa Uchina..
We hata loan basi unajua watu hulipaje
Kuanzia $1bln unafikiria unalipa baada ya mda gani..
Kweli mapimbi ni mapimbi tu
 
Hili ni jengo la kipekee Duniani, Uyu Archtect ni shikamoo, liko very unique...naamini hizo taa zitakazovungwa ndani zitaenda kufanya jengo ling’ae kma Tanzanite usiku.
Jengo la kipekee dunianilabda chato..
Yani concrete alafu uekeze vioo juu na kando ndio liwe jengo la kipekee duniani
 
Honestly, this thing looks ugly, kama factory flani hivi., is that a train station ama ni glass all round inawafurahisha., this thing looks ugly for real! Weka inside design nione, maybe it will save face.
Inakaa nyumba ya snail
 
wewe nae ni mtu wa kukurupuka,hoja iliyopo mezani ni serikali kufanya biashara na matokeo yake hasi ndio nasema hakuna jipya ambalo huko awali linalohusiana na biashara serikali haikuwahi fanya na matokeo yake ni hasara.Ila wajibu wa serikali ubaki kwenye mambo inayotakiwa kufanya sio biashara
Ethiopia Airways ni biashara ya Serikali, kampuni la simu za mikononi kubwa kuliko zote huko Ethiopia ni kampuni la Serikali, kwa mwaka hundengeneza faida ya zaidi ya $7B. Serikali ya Qatar hupata zaidi ya $100B kutokana na biashara za Serikali.
 
swala la Tanzania kufungua utalii mapema imewauma sana wakenya. Ni wakenya hawa hawa waliipressurize serikali yako kufunga anga, ila ni hawa hawa tena wanaipressurize serikali yao ifungue anga ili kuruhusu watalii kutua. mim nashauri tutengeneze PR videos nyingi hasa kwa hizi ndege kubwa zitakazoanza kutua tar 16, ninaamin zitasambaa sana
 
Ethiopia Airways ni biashara ya Serikali, kampuni la simu za mikononi kubwa kuliko zote huko Ethiopia ni kampuni la Serikali, kwa mwaka hundengeneza faida ya zaidi ya $7B. Serikali ya Qatar hupata zaidi ya $100B kutokana na biashara za Serikali.

huyo boya tu achana nae.. mbona kampuni nyingi za China ni state-owned na ndo zinafanya miradi mingi Africa
 
Back
Top Bottom