ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
2050 ya baba yako hehehe maendeleo yamewachanganya akili zenu hamuna hamu ππππ kuna stiglers gorge 2115MWπππππHiyo ngojeni 2050
2050 ya baba yako hehehe maendeleo yamewachanganya akili zenu hamuna hamu ππππ kuna stiglers gorge 2115MWπππππHiyo ngojeni 2050
kwan tunaposema mzungu anapanda maua na kuuza kwao anawabakiza nyinyi na njaa we unafkiri tunaongelea nn ππππTea and horticulture fetches more money than all crops grown in Tanzania.
Zingine hizo
Yani haya ni majinga kweli, mzungu analima maua anapiga pesa, ynyw yanashangilia wkt njaa inawatesa kila mwakakwan tunaposema mzungu anapanda maua na kuuza kwao anawabakiza nyinyi na njaa we unafkiri tunaongelea nn![]()



Hongereni...Sio mimi nimesema
Where is the drunkard from north
Huyo jamaa ni kilaza sana1520 TSH at 21.74 exchange rate ni sawa na 70 Kenyan Shillings. Unaweza fanya hayo uliyosema na 70 Kenyan Shillings?? sijui Huko Gorofani kama pako sawa.
3gb kwa android phone si nyingi,hivi nyie wakenya mnawaza kwa kutumia ubongo au matako??!!!Ndio na mm nakuonyesha km 3GB sio nyingi km vile umetuandikia kw ujasiri hapa
Output is simply just output. It doesnβt necessarily mean exports only. Nikimaanisha kuwa hizo data zao Ni za thamani ya exports na thamani kutokana na domestic consumption na ndo Maana this all just seems so fishy to me. Kumbuka agriculture sio mazao ya kilimo tu bali hata mifugo. Sasa ni output gani hiyo ambayo World bank inaongelea kuwa mmetuzidi? Imma go find out from them.Tea and horticulture fetches more money than all crops grown in Tanzania.
Tumia akili video unaangalia hata internet ikiwa na speed ya 200 kb/s ...it seems you ain't familiar to internet issuesKwanza I`m sure internet speed yake hata haifiki 2mbs. Ndio maana ni mgumu kuangalia hizo videos π π
Hahahahaha! Hata wewe najua umeshangaa.Sio mimi nimesema
Nilichogundua hao jamaa hawajawahi kununua hata hizo 3gb,wamezoea kuibia wi-fi za watu...
Agricultural output si ni total value of agri goods .although yes wako vizuri..kiukweliHongereni...
Nigeria wanamazao gani iyo hela ni ndefu kweli nmeitamani ingekua ndio Tz kwa iyo idara
You are the dumbest creature as i have been tellin' youMimi niligive up na yeye wakati alisema kuwa internet speed inadepend na type of phone somebody is using.
Khaa acha kujidharaulisha dogo....unatumia simu gani?Unaleta screenshots za marketing hapa..
Ila ukae ukijua hakuna kitu km fastness ya simu katika browsing..
Team chakula hope itanyamaza. Kilimo pesa ndo form.Sio mimi nimesema
Kwa msingi huo huo,Sasa hapo jiulize swali..speed inakuwa nayo simu au mitambo!!??..Nikuuluze jomba, ukichukua simu janja inayo support 4G halafu uende sehemu ambayo mitambo yao hawaja install 4G network..bado unamaanisha uta browse kw kasi ya 4G
Kila kitu tunapiga bongo double.Sio mimi nimesema