The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ndiyo maana nikwambia ww huwa unavamia vamia tu wala husomi comments kwa weledi, mm nilimwambia yule kilaza mwenzio kwmb speed pia inategemea na cm kuna cm zina support 2G, 3G na 4G haziwezi ku respond sawa.Nikuuluze jomba, ukichukua simu janja inayo support 4G halafu uende sehemu ambayo mitambo yao hawaja install 4G network..bado unamaanisha uta browse kw kasi ya 4G


