Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwakweli nimegundua hawa jamaa ni wahuni sn, yn hawana interchange wala underpass hata moja, nimeamini baada ya kuleta zile renders za hyo miradi hakuna sehemu wameandika interchanges, Wana miundombinu ya kizamani mno, cc tulikubali hatuna hzo vitu now tunajenga kwa kasi ili kuendana na majiji ya kisasa wao wanajifariji na miundombinu ya kizamani kweli washafeli
Tuletee yenu mliojenga zamani km hzo
 
Hii pesa Kenya unanunua motorcycle

, Asante kwa kutujuza bei Za bodaboda kwenu

Vipi ukijilinganisha na hwa hapa chini kuna unafuu wowote unauona ?

Adjustments.JPG




Adjustments.JPG
 
$12 millions??
Nawaza tu hata BRT hizi za bongo zingekua Kenya zingeitwaje sijui labda "international Africa rapid road road with modern e-ticketing system" maana wanasiasa wao wanawaweza superhigh way mara highway mara sijui road sijui imefanyaje hata hawaoni noma kuwa brainwashed na majina ya barabara . Mbona hata pale mbezi kwenda kinyerezi kuna overpass wakenya wangehesabu interchange ile

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Nawaza tu hata BRT hizi za bongo zingekua Kenya zingeitwaje sijui labda "international Africa rapid road road with modern e-ticketing system" maana wanasiasa wao wanawaweza superhigh way mara highway mara sijui road sijui imefanyaje hata hawaoni noma kuwa brainwashed na majina ya barabara . Mbona hata pale mbezi kwenda kinyerezi kuna overpass wakenya wangehesabu interchange ile

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
FACTS
 
Back
Top Bottom