Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Naona phase 2 wanaipiga kwa miaka 3 tu.kitu mpka makutupora View attachment 1456119
Wakipewa tender 3 zilizobaki wakajigawa kama walivyofanya phase 2 nawaona wakitumia miaka 3 pia.
Makutupora - tabora
Sehemu korofi ni kwenye bonde la ufa tu kwingine kumenyooka na tambarare.
Tabora - isaka
Hakuna sehemu korofi.
Isaka - mza
Huku nako shwari ila kuna challenge kidogo ukiwa unaingia mza kuna milima, na hii ni endapo watafuata njia ya sasa.


