Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona phase 2 wanaipiga kwa miaka 3 tu.
Wakipewa tender 3 zilizobaki wakajigawa kama walivyofanya phase 2 nawaona wakitumia miaka 3 pia.

Makutupora - tabora
Sehemu korofi ni kwenye bonde la ufa tu kwingine kumenyooka na tambarare.

Tabora - isaka
Hakuna sehemu korofi.

Isaka - mza
Huku nako shwari ila kuna challenge kidogo ukiwa unaingia mza kuna milima, na hii ni endapo watafuata njia ya sasa.
 


EYktrzwUMAAIghK


EYktwG6U0AcbkN_


EYkt16pUcAAdbi1


EYkt5hLU4Ak7FZA
 
Back
Top Bottom