Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naipenda sana hii project ya Kiwanda Cha viatu na ngozi..plus ile ya tan choice ya meat processing ..tulikuwa hatuja invest sana hii sector

Niliona PSSSF wanasema 5% only zimebaki na imekuwa slowed na covid cause wa italiano hawajaja

Nataka niskie pia NSSSF wafungue ma viwanda yao wenyewe kulikuwa na project yao kiwanda cha sukari sijapata updates
Screenshot_20200522-051323_1590114110299.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naipenda sana hii project ya Kiwanda Cha viatu na ngozi..plus ile ya tan choice ya meat processing ..tulikuwa hatuja invest sana hii sector

Niliona PSSSF wanasema 5% only zimebaki na imekuwa slowed na covid cause wa italiano hawajaja

Nataka niskie pia NSSSF wafungue ma viwanda yao wenyewe kulikuwa na project yao kiwanda cha sukari sijapata updates View attachment 1456545

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua main objective ya NSSF si kufanya biashara! sasa ujue sheria haiweruhusu ku-invest 100% kwenye biashara only in partnership! Kuwa mwangalifu na unachokiomba maana hiyo sheria ni kupunguza risky ya mafao yako kutumika vibaya!
 
Huajajibu swali, je ukihesabu lanes kw barabara huaga unatoa lanes za brt sio

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lanes pia za hiyo barabara but zipo special kwa ajili ya BRT tu ndio maana wakati mwingine tunazi-ignore kwa maana kwamba zenyewe hazipitishi haya magari ya kawaida. Siyo huko kwenye BRT zenu za kuchora mstari mwekundu kwenye lami hazina adabu mkokoteni unapita, Bodaboda anapita, bajaj anapita, ambulances zinapita na hivyo vibasi vyenu vya majaribio ya brt yenu pia vinapita hapo hapo. Sasa sijui hiyo nayo ni BRT au ni Bogus Rapid Transit/Transport
 
Ni lanes pia za hiyo barabara but zipo special kwa ajili ya BRT tu ndio maana wakati mwingine tunazi-ignore kwa maana kwamba zenyewe hazipitishi haya magari ya kawaida. Siyo huko kwenye BRT zenu za kuchora mstari mwekundu kwenye lami hazina adabu mkokoteni unapita, Bodaboda anapita, bajaj anapita, ambulances zinapita na hivyo vibasi vyenu vya majaribio ya brt yenu pia vinapita hapo hapo. Sasa sijui hiyo nayo ni BRT au ni Bogus Rapid Transit/Transport
Hahaha!!msaidie mwenzako hzo pia ni lanes tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nionyeshe nchi gani sai ulimwenguni wanajenga stendi kw ajili ya mabasi karne hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapaswa kujua,TZ sisi sio C&P,pia unapojenga bus stand,ni zaidi ya kuhudumia mabasi tu,mfano Mbezi bus stand ina faida nyingi sana;
1.lna super markets,hapa watu watapta ajira na serikali itapata mapato
2.lna Restaurant, hapa watu watapata jira pia,na Manispaa watakusanya ushuru.
3.Ina "accommodation" unajua hapa mapato pia yatapatikana na ajira kwa hudumu.
4.Vijana wataruhusiwa kuuza vitu vidogo vidogo,Yaani, Hawkers wataongeza kipato.
5.Financial institutions kama vile benki ndogo zitafunguliwa,ajira na mapato yatapatikana.
6.Gate fees kwa mabasi na Taxi itaongeza revenue kwa serikali
Na mengine mengi,fikiria kwa kina kabla hujaropoka,kwa hizo nchi unazoongelea,mojawapo ni Kenya ambayo haina bus stand,ebu weka hapa hiyo lounge ya Kenya tuione!
 
alaf cholera inawaua 2020 zinamsaada gani kwa wakenya??? tanzania cholera nina miaka mitano sijaisikia

Utasikia vipi na media zenyu chwara chwara, zimekanyagiwa chini na serikali., controlled information kama China, check your last year newspapers kaka., ama google., sio miaka mitano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napaelewa Tanzania, just started, bado sana, wewe mshamba ile kidogo inakushangaza., exposure muhimu kaka Dar is slum hii moja?

Anyway congratulations kwa kazi inayo endelea, lakini pia tembea wachana kutegemea google
Sikia ww jamaa, ucje gusa kwenye hilo eneo utaumia hakuna mahali kenya itaweza Tanzania kwenye suala la street roads yn usiguse kabisa, namaanisha nnachosema ucguse mzee, ulizia kitu kinaitwa DMDP yn usicheze kabisa kuna mikeka huku mtaani sema watu humu hawajaamua, ningependa battle inayokuja iwe paved roads za mitaani af tuone km mtaingiza pua, usiguse mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom