Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu mwaka, nahisi Mungu alilenga kuonesha uwezo wa JPM, the guy is gifted.

Mwishoni mwa mwaka, wenzake watakuwa wanaugulia kudorola kwa uchumi kutokana na Covid-19, yeye atakuwa anafungua miradi yake mara SGR, upanuzi wa Bandari, mahospitali ya Rufaa n.k

Utashangaa anatia order ya ndege ya mizigo kipndi hichi cha Corona..uyu jamaa watamuona ni freemason


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Thika road at Pangani is already a 3 level interchange. 10 year old road.

Alafu, you only build what you need. We can't go building '3 level interchanges' when we don't need them.
is pangani three level hahahaha leo umenifurahisha sana 😂😂😂😂😂😂
 
JKIA - Westlands Expressway - currently under construction. ($650 million)
More than 15km will be above ground. Essentially a road on top of a road.

Ile siku mtajenga barabara ya juu (bridge/overpass) zaidi ya kilomita mbili, kuja useme hapa.

We don't dwell on small issues. Interchange ya chini ya kilomita moja hizo tulifanya 15 years ago.

Hizi ni picha za hii expressway inayojengwa saa hii. Chini yake ni barabara iliyopo sasa hivi. (Imefichwa)

View attachment 1455614
View attachment 1455615View attachment 1455616
thanks for renders 😂😂👏👏👏👏

tuoneshe wanapojenga 😁😁😁😁
 
Nilichosema ni kwamba interchange mnayosifia sasa ilijengwa Pangani, Nairobi 10 years ago.

Mradi unaojengwa sasa hivi wa JKIA to Westlands pia unaongeza '3 level interchange' mbili.
pangani sio three level usichanganye chumvi na sukari 😂😂😂😂😂

huo mradi unaojengwa uko wapi au munajenga mbinguni😁😁😁
 
Mombasa bridge iko na mipango iko kujenga ingine. Ndani ya mwaka huu ama ujao tutaanza bridge ya pili.

Lakini Mombasa sio Dar.
Mombasa ni jiji lisilo na watu wengi kama Dar ama Nairobi.
Kwanza mgao wa pesa unapelekwa kwenye watu wengi wanaishi.
iko na mpango leo munazungumza miaka 50 kuhusu likoni bridge😂😂😂😂😂
 
Mbn haueleweki mara useme mnayo 3 level mara hamuhitaji, ww jiamini na useme kwamba mnayo 3 level interchange af cc tuanze kukuhoji utuoneshe mahali ipo iyo 3 level na mlitumia technology gn mkaijenga kwa haraka hvyo
siku atakuonesha three level mm nafunga acc jamii forum 😂😂😂😂
 
Kuchagua tu habari zinazo onyesha Tanania pazuri.

Haya, ndio hii hapa ripoti ya World Bank pia ikiongea kuhusu umaskini Kenya kupunguzwa.

Kwa mujibu wa World Bank, asilimia 36.1% ya Wakenya huishi chini ya $1.90 a day. (2016)
Lakini kwa mujibu wa World Bank pia, asilimia 49% ya Watanzania huishi china ya $1.90 a day. (2018)

Ripoti unayoleta hapa inaongea kuhusu TZ national poverty line, ambayo ni $0.8 a day. Hii ni poverty line iliyosemekana na serikali ya TZ.

Ripoti ambazo zinaongea kuhusu international poverty line ($1.90) ni hizi.

http://documents.worldbank.org/curated/en/431111575939381087/pdf/Executive-Summary.pdf

Poverty Incidence in Kenya Declined Significantly, but Unlikely to be Eradicated by 2030

Ndio hii summary pia.

Tanzania

View attachment 1455718

Kenya
View attachment 1455721
ww na world bank nani anajua zaidi😂👇👇

 
Hii chapter tumefunga.

Tukitumia international benchmark ya less than $1.90 a day:
Tanzania poverty - 49%
Kenya poverty - 36%

Unachoongea kuhusu ni TZ government poverty line ya less than $0.8 a day.
Tukishukisha poverty line yetu hadi hapo, Kenya pia umaskini utashuka chini ya 20%.

Kama unaweza elewa kingereza kasome pdf.

http://documents.worldbank.org/curated/en/431111575939381087/pdf/Executive-Summary.pdf

Poverty Incidence in Kenya Declined Significantly, but Unlikely to be Eradicated by 2030
2012 it was 28% world bank 😂😂👇👇

 
Tangu uhuru, Kenya imekuwa mbele hadi miaka kama mitano hivi. Na hii ni sababu ya policy za Magufuli za kuzuia bidhaa zetu kuingia.
Lakini tumechukua usukani tena.

Ikiachiwa market forces bila ubishi wa serikali, kama EAC ilivyo takiwa iwe, Kenya hatuwezi shikika.
huo usukani muliochukua uko wapi😂😂😂 nimecheka sana leo
 
Tangu uhuru, Kenya imekuwa mbele hadi miaka kama mitano hivi. Na hii ni sababu ya policy za Magufuli za kuzuia bidhaa zetu kuingia.
Lakini tumechukua usukani tena.

Ikiachiwa market forces bila ubishi wa serikali, kama EAC ilivyo takiwa iwe, Kenya hatuwezi shikika.
huna taarifa kinachoendelea tanzania wewe😂😂👇👇👇

 
Nionyeshe nchi gani sai ulimwenguni wanajenga stendi kw ajili ya mabasi karne hii

Sent using Jamii Forums mobile app
LOL yaani wakenya ni washamba by nature, utajuaje wakati umezaliwa na utafia humo kwenye slums maisha yako yote,

Toka nje ya nchi uone wenzio wanaishije itakusaidia kuondoa aibu ndogo ndogo kama hizi
 
thanks for renders 😂😂👏👏👏👏

tuoneshe wanapojenga 😁😁😁😁

Hii launch imafanywa majuzi. Saa hii ni site prep na equipment mobilization.

Itisha picha za progress mwaka unavyoendelea.
Kisha 2022 tembea Nairobi ushangae ulaya.

Kumbuka barabara iliyopo sasa hivi ni 6-lane.

jk1.jpg
jk2.JPG
 
Back
Top Bottom