Kenya misaada ni ya wanaoishi kaskazini mwa nchi - jangwani. Wafugaji wanyama wanaohama hama.
Culture yao ndio makosa, na wamekataa kuishi pahali pamoja ili wajipange kiukulima na kikazi.
Lakini vile vile, statistically average ya wakenya wote ikifanywa. Na average ya watanzania wote, Tanzania imepatikana kuwa more malnourished ama undernourished.
Yaani watanzania wengi wanalala njaa ama hawashibi, kuliko wakenya.
Kenya media yetu ni huru. Ina uhuru wa kutangaza mabaya ya nchi. Kwa hivyo kesi za njaa zitaonekana kuwa mingi.
Tanzania hakuna media huru.
View attachment 1455647