Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya majamaa ni yanaakili za kitumwa sn, hv kweli kwa nchi zetu hz usiwe na stand kweli inaingia akilini hyo, kumbe ndo mana wakenya huwa wanakunya kwenye vichaka, hebu jenga picha mfano mdogo tu mtu unasafiri km 300 af hakuna stand na basi za kenya nadhani mnazijua.
Basi zina waiting lounge, au ilkuwa hujui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachosema ni ujinga. Sababu hata marekani kuna watu wanaishi vibaya kuliko watu Somalia.

Data zote zinaonyesha Tanzania mko pabaya. Africa mnakimbizana na DRC, Nigeria na Ethiopia kwa umaskini.
View attachment 1455620
View attachment 1455621
Tofauti kubwa kati yangu na wewe ni kwamba mimi nakupa official source kutoka WB wewe unanipa source uchwara zisizo na kichwa wala mkia tena za kuokota

Wewe ni zero kama hizo zero kwa ID yako



Inauma ila mtabidi mzoee tu

Tanzania’s Path to Poverty Reduction and Pro-Poor Growth
 
Btw mnahitaji highway kama izo zaidi imekuaje miaka 10 baada yakuanza kutumia thika highway hamjajenga nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Ujenzi wa barabara hujawahi acha Nairobi.
Ni ile excitement ya kwanza ya Thika road ilipungua na zingine hazipewi publicity kama ya kwanza.

Outering rd
Ngong road
Parkroads
Redhill
Upperhill
Southern bypass
Northern bypass
Greater western bypass
JKIA - Westlands

Zote ziko Nairobi na zote zimejengwa baada ya Kibaki kuondoka. Google utafute picha zake.
 
And What about Mombasa ..mbona mmechukua mda mrefu sana kujenga...na nyie mna mna uchumi mkubwa ..

Sent using Jamii Forums mobile app

Mombasa bridge iko na mipango iko kujenga ingine. Ndani ya mwaka huu ama ujao tutaanza bridge ya pili.

Lakini Mombasa sio Dar.
Mombasa ni jiji lisilo na watu wengi kama Dar ama Nairobi.
Kwanza mgao wa pesa unapelekwa kwenye watu wengi wanaishi.
 
Tofauti kubwa kati yangu na wewe ni kwamba mimi nakupa official source kutoka WB wewe unanipa source uchwara zisizo na kichwa wala mkia tena za kuokota

Wewe ni zero kama hizo zero kwa ID yako



Inauma ila mtabidi mzoee tu

Tanzania’s Path to Poverty Reduction and Pro-Poor Growth


Hizo charts ni summary ya data kutoka WB, IMF na organization zingine.

Leta data ya Tanzania kama uliyoleta ya Kenya.

Kusema Kenya sio nchi maskini ni kudanganya.
Lakini kusema Kenya ni maskini kuliko Tanzania, pia ni kudanganya.
 
Hizo charts ni summary ya data kutoka WB, IMF na organization zingine.

Leta data ya Tanzania kama uliyoleta ya Kenya.

Kusema Kenya sio nchi maskini ni kudanganya.
Lakini kusema Kenya ni maskini kuliko Tanzania, pia ni kudanganya.
Ni wapi Tanzania wanapewa misaada ya chakula Karne hii?

Ni wapi Tanzania wanapika mawe?

Unataka data gani tena na wakati nimekupa link kutoka WB na unajifanya huioni!
Tanzania’s Path to Poverty Reduction and Pro-Poor Growth
 
Ujenzi wa barabara hujawahi acha Nairobi.
Ni ile excitement ya kwanza ya Thika road ilipungua na zingine hazipewi publicity kama ya kwanza.

Outering rd
Ngong road
Parkroads
Redhill
Upperhill
Southern bypass
Northern bypass
Greater western bypass
JKIA - Westlands

Zote ziko Nairobi na zote zimejengwa baada ya Kibaki kuondoka. Google utafute picha zake.
Barabara za maana ni izo bypass tu apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wapi Tanzania wanapewa misaada ya chakula Karne hii?

Ni wapi Tanzania wanapika mawe?

Unataka data gani tena na wakati nimekupa link kutoka WB na unajifanya huioni!
Tanzania’s Path to Poverty Reduction and Pro-Poor Growth

Kenya misaada ni ya wanaoishi kaskazini mwa nchi - jangwani. Wafugaji wanyama wanaohama hama.
Culture yao ndio makosa, na wamekataa kuishi pahali pamoja ili wajipange kiukulima na kikazi.

Lakini vile vile, statistically average ya wakenya wote ikifanywa. Na average ya watanzania wote, Tanzania imepatikana kuwa more malnourished ama undernourished.
Yaani watanzania wengi wanalala njaa ama hawashibi, kuliko wakenya.

Kenya media yetu ni huru. Ina uhuru wa kutangaza mabaya ya nchi. Kwa hivyo kesi za njaa zitaonekana kuwa mingi.
Tanzania hakuna media huru.

hunger.JPG
 
Thika road at Pangani is already a 3 level interchange. 10 year old road.

Alafu, you only build what you need. We can't go building '3 level interchanges' when we don't need them.
Mbn haueleweki mara useme mnayo 3 level mara hamuhitaji, ww jiamini na useme kwamba mnayo 3 level interchange af cc tuanze kukuhoji utuoneshe mahali ipo iyo 3 level na mlitumia technology gn mkaijenga kwa haraka hvyo
 
Kenya misaada ni ya wanaoishi kaskazini mwa nchi - jangwani. Wafugaji wanyama wanaohama hama.
Culture yao ndio makosa, na wamekataa kuishi pahali pamoja ili wajipange kiukulima na kikazi.

Lakini vile vile, statistically average ya wakenya wote ikifanywa. Na average ya watanzania wote, Tanzania imepatikana kuwa more malnourished ama undernourished.
Yaani watanzania wengi wanalala njaa ama hawashibi, kuliko wakenya.

Kenya media yetu ni huru. Ina uhuru wa kutangaza mabaya ya nchi. Kwa hivyo kesi za njaa zitaonekana kuwa mingi.
Tanzania hakuna media huru.

View attachment 1455647
Hizi ngonjera bakisha huko huko sina haja nazo,



Kwamba media ndio inapunguza na kuongeza umasikini

Hivi huwa mnasoma mnachokiandika au mnaandika tu ili mradi

Tanzania’s Path to Poverty Reduction and Pro-Poor Growth

Mnatumia nguvu nyingi kudanganya kuhusu nchi yenu huku mkisahau kuwa mpo kwenye forum ya wanaowafahamu kila kona
 
Nilichosema ni kwamba interchange mnayosifia sasa ilijengwa Pangani, Nairobi 10 years ago.

Mradi unaojengwa sasa hivi wa JKIA to Westlands pia unaongeza '3 level interchange' mbili.
Leta hapa hyo interchange tuione hii co nairaland
 
Hizo charts ni summary ya data kutoka WB, IMF na organization zingine.

Leta data ya Tanzania kama uliyoleta ya Kenya.

Kusema Kenya sio nchi maskini ni kudanganya.
Lakini kusema Kenya ni maskini kuliko Tanzania, pia ni kudanganya.
Huo ndiyo uhalisia, kenya ni nairobi pekee, ila Tz maendeleo zaidi ya mikoa 10 ss utafananishaje hapo
 
Back
Top Bottom