Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,879
- 103,740
BTW nafikiri JPM anaenda kuzindua Dodoma bus stand!wabambane vp wakat hawana kabisa😂😂
ushuz wao huu hapa👇👇👇
View attachment 1455180View attachment 1455181
Na kuvunja bunge pia.BTW nafikiri JPM anaenda kuzindua Dodoma bus stand!
Hiyo barabara kama huna kifua hupandishi mlima?Ngorongoro.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nionyeshe nchi gani sai ulimwenguni wanajenga stendi kw ajili ya mabasi karne hiiuhehehehe hebu nioneshe just one modern bus stage in kenya niamini maneno yakoushuzi wa mende
Yale yale ya korosho..Unamkorofisha Magu unategemea nini, hatua km hz nadhani alitaka kuzichukua mda mrefu sema alikuwa anawalinda tu, ss wamemchokonoa ngj wauone upande wake wa pili wa shilingi![]()



Kwn kampuni ijitengezea waiting lounge yake kuna shida gani, mambo ya zamani hayo..zero brain! kituo chochote kuna soko, bodaboda, bajaj, taxi.. hivyo unakuza uchumi na kuhimiza mzunguko wa hela (watu kujipatia kipato sehem sahihi na kwa shughuli sahihi)
aibu naona mimiYale yale ya korosho..
Tuone mtafikia wapi
Naona wakulima wakilia mazao yanawaozea
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁😁😁😁😁😁Because Kenya has modern infrastructures since 80s like electric sgr, cable bridges, beautiful and modern interchanges like three level interchanges, modern public transport like BRT, modern shipsbut km huna hvyo vitu mpk leo bac ujue ww ni ldc typically, and take it, there's land reclamation in Tz
.
UK 🇬🇧 wanajenga kila kukicha*Nionyeshe nchi gani sai ulimwenguni wanajenga stendi kw ajili ya mabasi karne hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ss mbn hawa nyau humu huwa wanasema cc ndo tuna import zaid kuliko tunacho export kwao.
china 👇👇👇 muko nyuma miaka 100Nionyeshe nchi gani sai ulimwenguni wanajenga stendi kw ajili ya mabasi karne hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Nionyeshe nchi gani sai ulimwenguni wanajenga stendi kw ajili ya mabasi karne hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya majamaa ni yanaakili za kitumwa sn, hv kweli kwa nchi zetu hz usiwe na stand kweli inaingia akilini hyo, kumbe ndo mana wakenya huwa wanakunya kwenye vichaka, hebu jenga picha mfano mdogo tu mtu unasafiri km 300 af hakuna stand na basi za kenya nadhani mnazijua.UKwanajenga kila kukicha*
chinamuko nyuma miaka 100
USA
dubai
india
london


wajinga sana hawa watu tuwasamehe tu.aisee kweli hata fikra zenu ziko nyuma miaka 100 kma vile mchina alivowafanya kwenye reli😂😂😂😂Nionyeshe nchi gani sai ulimwenguni wanajenga stendi kw ajili ya mabasi karne hii
Sent using Jamii Forums mobile app
fikra zao ziko nyuma miaka 100😂😂 we huoni hata mchina alipowajengea reli na treni za 100 yrs ago walishangiliaHaya majamaa ni yanaakili za kitumwa sn, hv kweli kwa nchi zetu hz usiwe na stand kweli inaingia akilini hyo, kumbe ndo mana wakenya huwa wanakunya kwenye vichaka, hebu jenga picha mfano mdogo tu mtu unasafiri km 300 af hakuna stand na basi za kenya nadhani mnazijua.