Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Mwanaume zingatia haya:
1. Ukiona tako kubwa kagua:
A) miguu, ukiona ana fito tako ni kubwa kimbia

B) kagua huko hips kama kuna visu, makovu kimbia

C) ujiona tako liko tenge tayari

2. Elekezeni nguvu kwa flat screen[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi mstaafu (NIMEOKOKA) hayanihusu
[emoji38]
 
Mkuu,
jiandae watu watapandia dau ibobo Ili Waka hakikishe ni ya kwel unayo yasema muda ni mwalimu mzuri.........
🔥😅Nina uhakika....
Nina wadogo zangu jmn (sio kw kuzaliwa)khaaa
Mpk Huwa nawaambia msiingie huko mitandaoni mtaharibika
 
Wale wanawake walioenda kurekebisha makalio na maumbo kule hospital ya mloganzila jijini Dar es Salaam wameruhusiwa kurudi mtaani baada ya operation hiyo.

Kwa sasa nawaasa vijana wenzangu tuwe makini, watu wametoka garage hivi karibuni [emoji1787]

NB: Wanaume tunawindwa sana aisee [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]View attachment 2801358
Tuwafundishe mabinti zetu kujiamini na kujikubali vile walivyo, la sivyo tutakuq na kizazi cha hovyo sana
 
Huwa mnapendaga wajinga wajinga ila mkishachezewa na kuachwa ndio akili zinarudi
Hapana
Mtu anakufuata utajuaje?
Si mpka uingie nae kwenye relationship ndo umjue?
Hakuna anaependa kuchezewa
It happens,km ambavyo Kuna wanaume wamekutana na Vimeo japo wanakua wamewapenda kweli
 
My dear sisters. Bakini tu na what yo mamas gave you maana haya ya Mloganzila yakikorofisha ni shida. Wanasema likianza kubonyea bonyea sana ukilibofya halafu linachukua muda mrefu kurudi hali yake ya kawaida basi kimbia tu ukalitoe.

Mloganzila hata sielewi wamefikiria nini kuanzisha hii huduma ya kishetani. Bila shaka wanachoangalia ni pesa tu na si kingine!🚮 🚮🚮😭😭😭...

👇👇👇Warning: Graphic video. Viewers discretion is strongly advised👇👇👇

 
➡️➡️➡️ Warning: Video siyo nzuri. Viewers discretion is strongly advised 🙏🏿

My dear sisters. Bakini tu na what yo mamas gave you maana haya ya Mloganzila yakikorofisha ni shida. Wanasema likianza kubonyea bonyea sana ukilibofya halafu linachukua muda mrefu kurudi hali yake ya kawaida basi kimbia tu ukalitoe.

Mloganzila hata sielewi wamefikiria nini kuanzisha hii huduma ya kishetani. Bila shaka wanachoangalia ni pesa tu na si kingine! 🚮🚮, 😭, 😭...

View attachment 2803358
Mungu wanguuu🤔🤭
 
My dear sisters. Bakini tu na what yo mamas gave you maana haya ya Mloganzila yakikorofisha ni shida. Wanasema likianza kubonyea bonyea sana ukilibofya halafu linachukua muda mrefu kurudi hali yake ya kawaida basi kimbia tu ukalitoe.

Mloganzila hata sielewi wamefikiria nini kuanzisha hii huduma ya kishetani. Bila shaka wanachoangalia ni pesa tu na si kingine!🚮 🚮🚮😭😭😭...

👇👇👇Warning: Graphic video. Viewers discretion is strongly advised👇👇👇

View attachment 2803358
Mbona yanatia kinyaa jamani cheeeeiii, putuuu nimeshindwa kuitizama mpaka mwisho na ni sekunde chache tu
 
2. Elekezeni nguvu kwa flat screen😂😂😂😂
Hahaha
Kama hii..
1699089707944.png
 
Back
Top Bottom