101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
Wale wanawake walioenda kurekebisha makalio na maumbo kule hospital ya mloganzila jijini Dar es Salaam wameruhusiwa kurudi mtaani baada ya operation hiyo.
Kwa sasa nawaasa vijana wenzangu tuwe makini, watu wametoka garage hivi karibuni
NB: Wanaume tunawindwa sana aisee
Kwa sasa nawaasa vijana wenzangu tuwe makini, watu wametoka garage hivi karibuni
NB: Wanaume tunawindwa sana aisee