Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,040
2,121
Wale wanawake walioenda kurekebisha makalio na maumbo kule hospital ya mloganzila jijini Dar es Salaam wameruhusiwa kurudi mtaani baada ya operation hiyo.

Kwa sasa nawaasa vijana wenzangu tuwe makini, watu wametoka garage hivi karibuni

NB: Wanaume tunawindwa sana aisee
IMG-20231102-WA0003.jpg
 
Wale Wanawake walioenda kurekebisha makalio na maumbo kule hospital ya mloganzila jijini DAR ES SALAAM wameruhusiwa kurudi mtaani Baada ya operation hiyo Kwa SASA nawaasa vijana wenzangu tuwe makini watu wametoka garage hivi karibuni View attachment 2801358
Mwanaume zingatia haya:
1. Ukiona tako kubwa kagua:
A) miguu, ukiona ana fito tako ni kubwa kimbia

B) kagua huko hips kama kuna visu, makovu kimbia

C) ujiona tako liko tenge tayari

2. Elekezeni nguvu kwa flat screen😂😂😂😂😂

Mimi mstaafu (NIMEOKOKA) hayanihusu
 
Mwanaume zingatia haya:
1. Ukiona tako kubwa kagua:
A) miguu, ukiona ana fito tako ni kubwa kimbia

B) kagua huko hips kama kuna visu, makovu kimbia

C) ujiona tako liko tenge tayari

2. Elekezeni nguvu kwa flat screen😂😂😂😂😂

Mimi mstaafu hayanihusu
🤣🤣🤣
Mpk miguu inarekebishwa km hujui
Ili kupata uwiano

Jmn acha sie tuliokubaliana na tulivyoumbwa tukae pembeni,yetu macho
 
Back
Top Bottom