Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

kama org. ni sawa, sina swali ingine..

swali ya kijinga ya nyongeza,
ila hiyo org. haina madodoa kama chui kweli?
Wewe chawa mbona umenikalia kooni?!!
🤣🤣🤣
Me nina mixer mpk ya uajemi huko vidoa navitoa wapi? Wewe ushazoea kumeet na sungura tope?!! 😂😂😂
 
Mwenzangu na mie yaani mambo ni mengi halafu muda mchache viporo kama vyote
Me niko hoi nataka nijitahidi nimalize dec niende zangu nikapumzishe ubongo 😂😂😂
Nikateketeze maokoto mie ya nini kujibana hata mtoto sina 🤸‍♀️
 
Me niko hoi nataka nijitahidi nimalize dec niende zangu nikapumzishe ubongo 😂😂😂
Nikateketeze maokoto mie ya nini kujibana hata mtoto sina 🤸‍♀️
Hiyo ya kugalagaza moyo haikosekani my dear me nshafanya booking zote nasubiri tu tarehe....maisha mafupi haya
 
Hiyo ya kugalagaza moyo haikosekani my dear me nshafanya booking zote nasubiri tu tarehe....maisha mafupi haya
Me natafakari nikajiachie wapi? 😂😂😂
Tena sehemu ambayo wamatumbi wa kumulika na torch
 
Me natafakari nikajiachie wapi? 😂😂😂
Tena sehemu ambayo wamatumbi wa kumulika na torch
Sehemu zipo kibao ni wewe tu
Nakupa moja tu ya hapahapa bongo
Nenda Melia serengeti au Melia zanzibar
Enh bwana enhe si mchezo
Kama kibunda kinaruhusu nenda Santorini kule ukachil ht one night hutojutiaaaa
 
Sehemu zipo kibao ni wewe tu
Nakupa moja tu ya hapahapa bongo
Nenda Melia serengeti au Melia zanzibar
Enh bwana enhe si mchezo
Kama kibunda kinaruhusu nenda Santorini kule ukachil ht one night hutojutiaaaa
Bongo sitaki 😂😂😂
Nitafute pesa mwaka mzima bongo afu nitumie bongo HAPANA 🤣
 
Wewe chawa mbona umenikalia kooni?!!
🤣🤣🤣
Me nina mixer mpk ya uajemi huko vidoa navitoa wapi? Wewe ushazoea kumeet na sungura rope?!! 😂😂😂
basi sawa sina swali ingine....

swali ndogo ya nyongeza kama hutojali......

naweza ona ili kujiridhisha!!...
 
Back
Top Bottom