Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Jmn uko mloganzila kumekucha, vp yule jamaa aliyewekewa puto tumboni vp hari yake tumbo limepungua au bado embu tupeni mrejesho
 
Uzi kama hauna picha za hiyo batch la kwanza hauna maana,

wadogo zenu tunahitaji kuona picha za hayo marekebisho waliyoyafanya
 
Nawahasa tu wale dada zangu flatscreen...bakini hivo hivo....mnaenda kuwa hasina kubwa nchini
 
Pole wewe, usilolijua ni sawa na usiku wa giza🚮
Hakuna nisilolijua kuhusu usiku wa giza,come again, digest the truth ndo ukwel wenyewe huo,huyo wa dp sio ww and why umechagua hiyo pic na sio za kina mwajuma ndala ndefu?!!
 
Hakuna kazi ya uhausiboi huko mji pendwa?!Nije kuokota dodo?!.

GANJI.
 
Wanawake wezangu mkipata pesa nendeni mkajitengeneze vilivyo yaani,Msipangiwe miili ni yenu.Natural iachieni misitu.Hata mliozaa kafanyeni "mommy makeover" kwa madaktari wasio wababaishaji.
 
kwa jotro la dar lazima utembee kama uchechemee vile na kutembeea upande upandee....
Wewe chawa wa mama tuheshimiane me nina shape isiyoyumba kitu kimesimama kuanzia masika vuli mpk kiangazi 🤣🤣🤣🤣
Wewe unakutana na mitumba 🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Wewe chawa wa mama tuheshimiane me nina shape isiyoyumba kitu kimesimama kuanzia masika vuli mpk kiangazi 🤣🤣🤣🤣
Wewe unakutana na mitumba 🤸‍♀️🤸‍♀️
kama org.sina neno ila kama ni ya mlonganzilah.......weeee thubutu lazima ishuke ns ilslie upsnde mojs....
 
Back
Top Bottom