ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 55,115
- 129,150
Nitakimbia mbio, nataka original kwa ajili ya masaji, Tayana-wog atanielewa nadhaniUtaonea chumbani,mishono kama yote,,imagine Dr wa kumshona alikuwa Dr Mwaisapile
Nitakimbia mbio, nataka original kwa ajili ya masaji, Tayana-wog atanielewa nadhaniUtaonea chumbani,mishono kama yote,,imagine Dr wa kumshona alikuwa Dr Mwaisapile
Miguu shogaangu miguuu kama spoku 😅😅😅😅Huna Cha kuongeza?hata lips,nyonyo pua au Nini na nini?wanafanya zote😁😁
Umeona mambo hayo Mama Mchungaji. Sasa tako gani hilo jamani limekaa kama robota la mirungi? [emoji15]
Sema litakuwa gumu sana, halina uhalisia🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ili mradi Kwa juu lina ngozi ya binadamu
🤣🤣🤣🤣Ngoja kwanza tuwaone waliotoka batch ya kwanzaaah, Jotroo ya dar ni kitu ingine aise ...
we kiatu ukiweka ndani na hujaivaa wiki mbili au tatu, siku ukivaa utatoka home vuzuri tu, ila ile una taka kupanda daladala tu unaskia huku mguuni kama mguu unapiga makofi au unaburuza bati, kumbe ni soli na kiatu imeshaganduana na mguu🐒
sembuse puto ya hips na kalio si itaa muda mfupi itasinyaa yenyewe tu
We umejuaje kama gumu,fanya kutest kwanza ndio uje utoe taarifa😁Sema litakuwa gumu sana, halina uhalisia🤣🤣
Utanisimanga hadi nizeeke wewe😂Acha ubahili weweee
Ila wanawake tuna dhambi sana. Ina maana Mungu alikosea kukuumba hivyo?
Mungu atusamehe
Wanaogopa kusema,itakuwa ni ingredients mahali ngoja nifanye research.Kwani kazi yake nn hiyo chura kunako 6 Kwa 6?
Dio wesere tena tunaita..MloganziTanzanian wenzele..
Hizo tako after 2 months zinarojeka kwa joto🤣
Wote hawasemi jmnWanaogopa kusema,itakuwa ni ingredients mahali ngoja nifanye research.
😅LooooNitakimbia mbio, nataka original kwa ajili ya masaji, Tayana-wog atanielewa nadhani
Anayetoa 18M ujue anapata 30MUna rekebisha matako kwa million 18 uje uhongwe 30k hizi hesabu hizi[emoji1544]
🤣🤣🤣🤣Wahi usajili unaendelea batch ya piliMiguu shogaangu miguuu kama spoku 😅😅😅😅