Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Yaani unavaa zako kimini, ngozi laini, unasukuma ndinga si ya kitoto , huwezi kutongozwa hovyo.
Sa ndani gari unatongozwaje,nani anakuona?
Halafu Sie waenda kwa miguu tukitongozwa ndo tupo kirahisi rahisi? 🙄
Mi naona mazingira tu yanachangia
 
Ila kweli jmn mikoani Kuna wadada Wana shep og...
Halafu hawako ht mitandaoni , hawana ac ,fb,insta wala popote 🙌
Nina wadogo zangu fulani hivi 🙌🙌
Ni tatizo
Never seen aisee
Wako natural aiseee
Mkuu,
jiandae watu watapandia dau ibobo Ili Waka hakikishe ni ya kwel unayo yasema muda ni mwalimu mzuri.........
 
Back
Top Bottom