Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Kuna

Kuna mmoja ni almaarufu ameongeza kalio Uturuki, nilimuona jana anatega pale Ramada Hotel Mbezi beach jana. Nikasema Mungu awahurumie maana ni mateso yale.

Bei zao mserereko na hao ndoto zao kubwa n kupata wanigeria aka wapopo ndiko kuna pesa ila wabongo tunalala nyasi[emoji3]
 
Kama wana sura nzuri, wanaanzia laki na nusu, wengine wanaweza kupigwa laki tano n.k; kwa ujumla pesa waliowekeza pale nyuma wanaume ndio watairudisha na faida juu.​

Mkuu hizi bei zilikuwa miaka ya nyuma kidogo japo kuna walio baki wanaziuza.

Walio wengi siku hizi wanatak wanigeria wabongo wengi hawafiki hizo bei
 
Tutegemee kupishana na wanawake wenye hips na makalio yanayopishana ukubwa kati ya lile la kushoto na kulia.
 
kwa joto la bongo baada ya mwezi moja tu, wengi wao watagundulika maana kalio moja Lazima litashuka chini, jengine litapanda unoni, hips Lazima zitapishana utadhani wamepigwa ngumi ile ya upcut chembe la kidevu Lazima taya zipishane......
Kwa hiyo wadada wa Arusha kina Depal ndio yatakaa fresh?halafu la Lamomy na shogae Missy Gf yatapishana eti?
 
mbona kuna faida mara mbili, wale modified figure bei zao ni za juu sana kwa buku humpati, andaa laki. Akipata watano kwa laki moja kwa siku ana laki tano, siku mbili ana milioni moja. Tena hiyo milioni moja anaweza kuipata kwa mteja mmoja tu kwa siku moja. Miili modified ni kwa ajili ya kuuza ni urembo. Fikiria mwanamke ni mnene tipyatipwa, huyu akitaka kuwa na shepu nzuri ya kutengenezwa itabidi nyama nyingi zipunguzwe na atalazimika kubadili ulaji ili asiongezeke unene. Fikiria na yule mwembamba flat screen kila idara, nyama zitatoka wapi kujaza matako, hips na matiti?

Mkuu hizo bei kwa sasa ni changamoto soko lao ni gumu kigumu kutokana na bidhaa kuongezeka japo wapo wachache sana walio shikilia hizo brand zao
 
Na sample zao hizi hapa. Unakuta binti tako kubwa anaburuta lakini tupaja twembambaaaa! Maana wanachukua tu mafuta ya tumboni na kwingineko (pamoja na silicone) na kuyashindilia matakoni. Halafu tako la Mloganzila hata mtimbwiliko na mmeng'enyuko wake unatia shaka...jionee!🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Na huko mbele ya safari wakianza kuzeeka yanawaletea matatizo wengi wao inabidi wafanye operesheni tena kuyatoa. Ni ujinga mtupu! 🚮🚮🚮


View attachment 2801404
View attachment 2801479
Imagine Hawa ndio wamefanyia surgery nchi zilizoendelea,!Sasa ya mloganzila si ni hatari?
 
Back
Top Bottom