Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Wale wanawake walioenda kurekebisha makalio na maumbo kule hospital ya mloganzila jijini Dar es Salaam wameruhusiwa kurudi mtaani baada ya operation hiyo.

Kwa sasa nawaasa vijana wenzangu tuwe makini, watu wametoka garage hivi karibuni [emoji1787]

NB: Wanaume tunawindwa sana aisee [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]View attachment 2801358
Ha ha ha eti batch nimecheka kitahira
 
Walahi joto la Dar sio poa!hiyo kitu unasema yaweza tokea kabisa🤣
aah, Jotroo ya dar ni kitu ingine aise ...

we kiatu ukiweka ndani na hujaivaa wiki mbili au tatu, siku ukivaa utatoka home vuzuri tu, ila ile una taka kupanda daladala tu unaskia huku mguuni kama mguu unapiga makofi au unaburuza bati, kumbe ni soli na kiatu imeshaganduana na mguu🐒

sembuse puto ya hips na kalio si itaa muda mfupi itasinyaa yenyewe tu
 
Back
Top Bottom