Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Batch ya kwanza kutoka Mloganzila limeingia mtaani, muwe makini

Wale wanawake walioenda kurekebisha makalio na maumbo kule hospital ya mloganzila jijini Dar es Salaam wameruhusiwa kurudi mtaani baada ya operation hiyo.

Kwa sasa nawaasa vijana wenzangu tuwe makini, watu wametoka garage hivi karibuni [emoji1787]

NB: Wanaume tunawindwa sana aisee [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]View attachment 2801358
😆😆😆😆
 
Mwanaume zingatia haya:
1. Ukiona tako kubwa kagua:
A) miguu, ukiona ana fito tako ni kubwa kimbia

B) kagua huko hips kama kuna visu, makovu kimbia

C) ujiona tako liko tenge tayari

2. Elekezeni nguvu kwa flat screen😂😂😂😂😂

Mimi mstaafu hayanihusu
Na sample zao hizi hapa. Unakuta binti tako kubwa anaburuta lakini tupaja twembambaaaa! Maana wanachukua tu mafuta ya tumboni na kwingineko (pamoja na silicone) na kuyashindilia matakoni. Halafu tako la Mloganzila hata mtimbwiliko na mmeng'enyuko wake unatia shaka...jionee!🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Na huko mbele ya safari wakianza kuzeeka yanawaletea matatizo wengi wao inabidi wafanye operesheni tena kuyatoa. Ni ujinga mtupu! 🚮🚮🚮



 
Na sample zao hizi hapa. Unakuta binti tako kubwa anaburuta lakini tupaja twembambaaaa! Maana wanachukua tu mafuta ya tumboni na kwingineko (pamoja na silicone) na kuyashindilia matakoni. Halafu tako la Mloganzila hata mtimbwiliko na mmeng'enyuko wake unatia shaka...jionee!🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

View attachment 2801400
View attachment 2801404
Makubwaa 🤣😊😊🤣🤣
Jmn Yesu tusamehe
 
30k ni vocha

Showtime ni 50k

Per day 10 show times x 50k = 500kper day

30 days x 500k = 15,000,000

Remember : 50k ni show time kwa local customers.

Kuna Premium Customers ambao analipa siku nzima 1m and above mnazurura nae hotel tofaut au siku zote arazokua hotel.

Kwa 18m unahisi ni hela inayorudi kwa Muda gani?

Wanawake sanukeni nendeni Mloganzila...

So SAD

Wanao weza kupata showtime 10+ per day ni hawa vunja bei mfano kimboka, river side, rambo na wengineo.

Hiyo bei unayo isema ni ni kazi ngumu sana kuapata hata vichwa vitatu per day kwa sababu nyingi

Hao una sema wanahudumu kwa foreigners ndio hao wanao jitgesha kwenye hotels na huko exotics?
 
Na sample zao hizi hapa. Unakuta binti tako kubwa anaburuta lakini tupaja twembambaaaa! Maana wanachukua tu mafuta ya tumboni na kwingineko (pamoja na silicone) na kuyashindilia matakoni. Halafu tako la Mloganzila hata mtimbwiliko na mmeng'enyuko wake unatia shaka...jionee!🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️


View attachment 2801404
Hahahaha,dah
 
30k ni vocha

Showtime ni 50k

Per day 10 show times x 50k = 500kper day

30 days x 500k = 15,000,000

Remember : 50k ni show time kwa local customers.

Kuna Premium Customers ambao analipa siku nzima 1m and above mnazurura nae hotel tofaut au siku zote arazokua hotel.

Kwa 18m unahisi ni hela inayorudi kwa Muda gani?

Wanawake sanukeni nendeni Mloganzila...

So SAD
Mchanganuo wa maokoto kwa siku
 
Baada ya uwekezaji sasa wanaanza kuwinda vibopa ili warudishe mitaji waliyo wekeza kwenye makalio, lakini kwa jinsi ambavyo huduma za uswahilini nisivyo siziamini sitoshangaa siku malaya mmoja akiangusha makalio barabarani
 
Back
Top Bottom