Makonda hafai, atasababisha CCM ichukiwe kwa majivuno yakeBaada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi...a
Dah Ila we Jamaaa sijui kama kuna siku isio pita bila kutaja CCM.Baada ya CCM kulawiti uchaguzi mkuu sasa wataanza kulawitiana wenyewe kwa wenyewe!
Mungu hajalala,yupo kazini!
Hii nafasi ya ukatibu muenezi anarudishiwa napeBaada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi
Taarifa zinazorindima katika magrupu ya wanaccm na UVCCM ikiwemo ni kwamba nafasi hii ya Katibu Uenezi na itikadi unaenda kutwaliwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda
nawasilisha
Nape anaongea haswaaaa🤣🤣🤣🤣🤣itakuwa vizuri akirudishwa NAPE NNAUYE
Anaongea huy balaaa
"Tumepeleka kiliooo" 2015 hioNape anaongea haswaaaa
Nape ni MbungeHii nafasi ya ukatibu muenezi anarudishiwa nape
Hakuna cha ajabu kwani zama hizi "wajinga" ndiyo wanapewa shavu.Wenye akili za kutafakari,kuhoji na kujitambua ni adui kwa mamlaka ya uteuzi!Baada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi
Taarifa zinazorindima katika magrupu ya wanaccm na UVCCM ikiwemo ni kwamba nafasi hii ya Katibu Uenezi na itikadi unaenda kutwaliwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda
nawasilisha
Umewaza mbali Sana mkuukweli unamjua JIWE VIZURIPolepole huenda akachuka nafasi ya Dr. Mwakyembe katika baraza la mawaziri na kuwa waziri aliyekaribu na wasanii wa bongo fleva, ili apate nafasi nzuri ya kuzurura nao kwa ukaribu ili kuongeza juhudi za kusifu na kuabudu.
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Hivi ni lazima kiongozi wa ccm awe Msukuma ?Baada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi
Taarifa zinazorindima katika magrupu ya wanaccm na UVCCM ikiwemo ni kwamba nafasi hii ya Katibu Uenezi na itikadi unaenda kutwaliwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda
nawasilisha
Mzee kumbe huyu jamaa anachimba mizizi,majani na matunda.Daah upo wee mzee wa mitishamba
Mzee kumbe huyu jamaa anachimba mizizi,majani na matunda.
Jamani inamaana Pierre Li Sun li bitter hamumuoni?Habari ya wakti huu!!
Sasa njia ni nyeupe kwa Ndugu yetu Bwana Paul kuipata nafasi ya uenezi ndani ya CCM . Yeye ndo anaweza propaganda vizuri . Ni suala la mda na ukizingatia huyu mtoto pendwa wa Mzee hana kazi kwa sasa .
Viva Makonda ,Viva Jiwe.