Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,255
- 2,572
Huyo wa juzi hakijui chama bado ,hawez pewa hiyo nafasi.Jamani inamaana Pierre Li Sun li bitter hamumuoni?
Pole yako Lijialikali
Huyo wa juzi hakijui chama bado ,hawez pewa hiyo nafasi.Jamani inamaana Pierre Li Sun li bitter hamumuoni?
Pole yako Lijialikali
Kwa kauli za zani za katibu wa sisiemu bashiru, naona kama hamkubali.Habari ya wakti huu!!
Sasa njia ni nyeupe kwa Ndugu yetu Bwana Paul kuipata nafasi ya uenezi ndani ya CCM . Yeye ndo anaweza propaganda vizuri . Ni suala la mda na ukizingatia huyu mtoto pendwa wa Mzee hana kazi kwa sasa .
Viva Makonda ,Viva Jiwe.
Habari ya wakti huu!!
Sasa njia ni nyeupe kwa Ndugu yetu Bwana Paul kuipata nafasi ya uenezi ndani ya CCM . Yeye ndo anaweza propaganda vizuri . Ni suala la mda na ukizingatia huyu mtoto pendwa wa Mzee hana kazi kwa sasa .
Viva Makonda ,Viva Jiwe.
Humphrey Polepole alikijulia wapi chama?Huyo wa juzi hakijui chama bado ,hawez pewa hiyo nafasi.
Kheri anaweza maana anajua kuupepetaBaada ya leo Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndg. Humphrey Pole Pole kuteuliwa na Rais Magufuli katika nafasi 10 za ubunge... Kutoka kona za Lumumba hapa duru zinasema watu wawili wanapewa nafasi kubwa za kumrithi Pole Pole..
1. Makonda ..... Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
2. Kheri James ...... Kwa sasa huyu ni Mkt wa Vijana Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.
GOGOKI2014 kasemaje?Baada ya leo Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndg. Humphrey Pole Pole kuteuliwa na Rais Magufuli katika nafasi 10 za ubunge... Kutoka kona za Lumumba hapa duru zinasema watu wawili wanapewa nafasi kubwa za kumrithi Pole Pole..
1. Makonda ..... Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
2. Kheri James ...... Kwa sasa huyu ni Mkt wa Vijana Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.
🤣🤣🤣🤣 nimecheka sanaaaaKheri anaweza maana anajua kuupepeta
Hilo haliwezi kutokeaBaada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi
Taarifa zinazorindima katika magrupu ya wanaccm na UVCCM ikiwemo ni kwamba nafasi hii ya Katibu Uenezi na itikadi unaenda kutwaliwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda
Nawasilisha
Mbona yeye ni Rais na ni mwenyekiti wa chama. Elewa kile ni cheo Cha chama na ubunge ni cheo cha serikali.Baada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi
Taarifa zinazorindima katika magrupu ya wanaccm na UVCCM ikiwemo ni kwamba nafasi hii ya Katibu Uenezi na itikadi unaenda kutwaliwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda
Nawasilisha
😂😂😂😂Polepole huenda akachuka nafasi ya Dr. Mwakyembe katika baraza la mawaziri na kuwa waziri aliyekaribu na wasanii wa bongo fleva, ili apate nafasi nzuri ya kuzurura nao kwa ukaribu ili kuongeza juhudi za kusifu na kuabudu.
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
👍👍Mimi kwangu huwa sijali,hata wakitaka kumpa pole pole uwaziri mkuu Sawa tu.I don't care,kwasababu success ya maisha yangu inanitegemea Mimi mwenyewe na Kwa namna ya pekee,Kwa neema za Mungu.