Anayokutana nayo Makonda ziarani mikoani ni yaleyale ambayo yangetatuliwa kupita shule ya uongozi ya Humphrey Polepole bila matumzi makubwa ya fedha

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,400
Katibu Mwenezi, Itikadi na sisa wa CCM Paul Makonda, yupo barabarani akizungukia maeneo mbalimbali ya nchi ambako amekutana na shida lukuki.

Kuna shida zingine ni rahisi sana kutatuliwa bila kutumia nguvu wala migogoro.

Shida zingine wananchi hukutana nazo kutoka kwenye idara za serikali ambazo haziko tayari kuwasaidia wananchi khasa kwenye masuala ya ardhi.

Tulikuwa na waziri Lukuvi wizara ya ardhi akaondolewa na kapelekwa Ridhiwani Kikwete ambae yajulikana alikwenda kwa kazi gani pale.

Lakini akaletwa kijana waziri Slaa ambae kasi yake ya kutatua matatizo ya ardhi imekuwa ndogo.

Lakini Paul Makonda tangu achukue nafasi ya ukatibu mwenezi, kumeibuka madudu lukuki yanofanywa na waajiriwa wa wizara ya ardhi khasa pale wanapohusihwa na vitendo viovu vya dhulma kwa wananchi.

Na matatizo hayo asilimia tisini ni yaleyale ambayo wananchi haohao walikuwa wakipiga simu katika kutuo cha Runinga cha Shule Ya Uongozi katika dawati la aliekuwa katibu mwenezi Humphrey Polepole ambapo matatizo yalikuwa yakipokewa na kuahidiwa kutatuliwa ama papo kwa hapo au kesho yake.

Serikali ya jamhuri ya wapigaji haikupenda jambo lile na bwana Humphrey Polepole akazuiwa kuendelea na kipindi chake na akapewa ubalozi akae mbali kule.

Sasa, CCM na serikali yake yashangaza sana sisi wengine ambao mshangao wetu ni kuona kuwa masuala yaleyale ambayo yalikuwa yakiletwa kupitia ile shule ya uongozi yangeweza kutatuliwa bila kutumia gharama kubwa badala ya gharama za sasa ambazo zahusu matumizi ya mafuta kwenye magari, kulipana posho na pia wananchi wa jamhuri ya wapigaji wakihakikisha waneemeka na ziara hizi za Paul Makonda.

Hivi ni lini CCM itaketi kikao kuhakiki matendo yake kwa Watanzania?
 
Ziara za Makonda zimeibua matatizo mengi ya Watanzania; mambo yanayogusa maisha ya kila siku ya watu. Wapinzani hawajelekeza macho yao huko wnahangaika na ruzuku na katiba mpya.

Kwa vile Makonda wa CCM kaweza walau kugusa maisha ya watu wapinzani inabidi warudi darasani tena.
 
ziara za Makonda zimeibua matatizo mengi ya watanzania; mambo yanayogusa maisha ya kila siku ya watu. Wapinzani hawajelekeza macho yao huko wnahangaika na ruzuku na katiba mpya. Kwa vile Makonda wa CCM kaweza walau kugusa maisha ya watu wapinzani inabidi warudi darasani tena

Udhaifu wa wapinzani au serekali ya majizi? Kila mahali nchi hii viongozi walioko ni WA ccm, waliweka na utawala wa dhalimu magu, Sasa huko kote mfumo wa ccm ufreeze uje na story zako za kitoto?
 
Ziara za Makonda zimeibua matatizo mengi ya Watanzania; mambo yanayogusa maisha ya kila siku ya watu. Wapinzani hawajelekeza macho yao huko wnahangaika na ruzuku na katiba mpya.

Kwa vile Makonda wa CCM kaweza walau kugusa maisha ya watu wapinzani inabidi warudi darasani tena.
Hivi una akili kweli wewe? Uozo unaoibuliwa kwenye ziara za Makonda ni kielelezo cha ubovu wa serikali ya CCM. Wanaolalamikiwa wote ni wateule wa Rais na ni makada wa CCM. Serikali yote ni ya CCM, Bunge lote ni la CCM, halmashauri zote nchi nzima zinaongozwa na CCM,sasa uozo wote huu ni nani wa kubeba lawama? Wapinzani ulitaka wafanyeje na na mumewaondosha kwenye vyombo vyote vya maamuzi kwa kutumia mtutu wa bunduki? Mlisema Wapinzani wanawachelewesha sasa mko wenyewe % Wapinzani wanaingiaje kwenye failures zenu?
 
Ziara za Makonda zimeibua matatizo mengi ya Watanzania; mambo yanayogusa maisha ya kila siku ya watu. Wapinzani hawajelekeza macho yao huko wnahangaika na ruzuku na katiba mpya.

Kwa vile Makonda wa CCM kaweza walau kugusa maisha ya watu wapinzani inabidi warudi darasani tena.
Wewe kweli hujui kitu. Hiyo ni ziara ya CCM kuipina serikali yake iliyooza. Ulitaka CHADEMA wafanyeje?
 
Hivi una akili kweli wewe? Uozo unaoibuliwa kwenye ziara za Makonda ni kielelezo cha ubovu wa serikali ya CCM. Wanaolalamikiwa wote ni wateule wa Rais na ni makada wa CCM. Serikali yote ni ya CCM, Bunge lote ni la CCM, halmashauri zote nchi nzima zinaongozwa na CCM,sasa uozo wote huu ni nani wa kubeba lawama? Wapinzani ulitaka wafanyeje na na mumewaondosha kwenye vyombo vyote vya maamuzi kwa kutumia mtutu wa bunduki? Mlisema Wapinzani wanawachelewesha sasa mko wenyewe % Wapinzani wanaingiaje kwenye failures zenu?
Ni kweli, ila kama mwenye ubaya anaweza kuona ubaya wake kuna haja gani ya uwepo wa muonyesha ubaya?
 
Katibu Mwenezi, Itikadi na sisa wa CCM Paul Makonda, yupo barabarani akizungukia maeneo mbalimbali ya nchi ambako amekutana na shida lukuki.

Kuna shida zingine ni rahisi sana kutatuliwa bila kutumia nguvu wala migogoro.

Shida zingine wananchi hukutana nazo kutoka kwenye idara za serikali ambazo haziko tayari kuwasaidia wananchi khasa kwenye masuala ya ardhi.

Tulikuwa na waziri Lukuvi wizara ya ardhi akaondolewa na kapelekwa Ridhiwani Kikwete ambae yajulikana alikwenda kwa kazi gani pale.

Lakini akaletwa kijana waziri Slaa ambae kasi yake ya kutatua matatizo ya ardhi imekuwa ndogo.

Lakini Paul Makonda tangu achukue nafasi ya ukatibu mwenezi, kumeibuka madudu lukuki yanofanywa na waajiriwa wa wizara ya ardhi khasa pale wanapohusihwa na vitendo viovu vya dhulma kwa wananchi.

Na matatizo hayo asilimia tisini ni yaleyale ambayo wananchi haohao walikuwa wakipiga simu katika kutuo cha Runinga cha Shule Ya Uongozi katika dawati la aliekuwa katibu mwenezi Humphrey Polepole ambapo matatzio yalikuwa yakipokewa na kuahidiwa kutatuliwa ama papo kwa hapo au kesho yake.

Serikali ya jamhuri ya wapigaji haikupenda jambo lile na bwana Humphrey Polepole akazuiwa kuendelea na kipindi chake na akapewa ubalozi akae mbali kule.

Sasa, CCM na serikali yake yashangaza sana sisi wengine ambao mshangao wetu ni kuona kuwa masuala yaleyale ambayo yalikuwa yakiletwa kupitia ile shule ya uongozi yangeweza kutatuliwa bila kutumia gharama kubwa badala ya gharama za sasa ambazo zahusu matumizi ya mafuta kwenye magari, kulipana posho na pia wananci wa jamhuri ya wapigaji wakihakikisha waneemeka na ziara hizi za Paul Makonda.

Hivi ni lini CCM itaketi kikao kuhakiki matendo yake kwa Watanzania?
Nchi hii ina WAJINGA wengu

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Katibu Mwenezi, Itikadi na sisa wa CCM Paul Makonda, yupo barabarani akizungukia maeneo mbalimbali ya nchi ambako amekutana na shida lukuki.

Kuna shida zingine ni rahisi sana kutatuliwa bila kutumia nguvu wala migogoro.

Shida zingine wananchi hukutana nazo kutoka kwenye idara za serikali ambazo haziko tayari kuwasaidia wananchi khasa kwenye masuala ya ardhi.

Tulikuwa na waziri Lukuvi wizara ya ardhi akaondolewa na kapelekwa Ridhiwani Kikwete ambae yajulikana alikwenda kwa kazi gani pale.

Lakini akaletwa kijana waziri Slaa ambae kasi yake ya kutatua matatizo ya ardhi imekuwa ndogo.

Lakini Paul Makonda tangu achukue nafasi ya ukatibu mwenezi, kumeibuka madudu lukuki yanofanywa na waajiriwa wa wizara ya ardhi khasa pale wanapohusihwa na vitendo viovu vya dhulma kwa wananchi.

Na matatizo hayo asilimia tisini ni yaleyale ambayo wananchi haohao walikuwa wakipiga simu katika kutuo cha Runinga cha Shule Ya Uongozi katika dawati la aliekuwa katibu mwenezi Humphrey Polepole ambapo matatzio yalikuwa yakipokewa na kuahidiwa kutatuliwa ama papo kwa hapo au kesho yake.

Serikali ya jamhuri ya wapigaji haikupenda jambo lile na bwana Humphrey Polepole akazuiwa kuendelea na kipindi chake na akapewa ubalozi akae mbali kule.

Sasa, CCM na serikali yake yashangaza sana sisi wengine ambao mshangao wetu ni kuona kuwa masuala yaleyale ambayo yalikuwa yakiletwa kupitia ile shule ya uongozi yangeweza kutatuliwa bila kutumia gharama kubwa badala ya gharama za sasa ambazo zahusu matumizi ya mafuta kwenye magari, kulipana posho na pia wananci wa jamhuri ya wapigaji wakihakikisha waneemeka na ziara hizi za Paul Makonda.

Hivi ni lini CCM itaketi kikao kuhakiki matendo yake kwa Watanzania?
Unateseka ukiwa wapi mamaeee
 
Ziara za Makonda zimeibua matatizo mengi ya Watanzania; mambo yanayogusa maisha ya kila siku ya watu. Wapinzani hawajelekeza macho yao huko wnahangaika na ruzuku na katiba mpya.

Kwa vile Makonda wa CCM kaweza walau kugusa maisha ya watu wapinzani inabidi warudi darasani tena.

Haya matatizo yamekuwepo sikunyingi. JPM alifanya hivyo pia although hakuweza yote sababu ya majukumu.
After jpm the rest wakafumbia macho, unalalamikia wapinzani? Viongoz wa nchi walikuwa wapi after all this time?
 
Haya matatizo yamekuwepo sikunyingi. JPM alifanya hivyo pia although hakuweza yote sababu ya majukumu.
After jpm the rest wakafumbia macho, unalalamikia wapinzani? Viongoz wa nchi walikuwa wapi after all this time?
unajua wajibu wa upinzani?
 
Ziara za Makonda zimeibua matatizo mengi ya Watanzania; mambo yanayogusa maisha ya kila siku ya watu. Wapinzani hawajelekeza macho yao huko wnahangaika na ruzuku na katiba mpya.

Kwa vile Makonda wa CCM kaweza walau kugusa maisha ya watu wapinzani inabidi warudi darasani tena.
Ila nyie wapuuzi kweli.
Kero na Matatizo ya Watanzania mbona yanajulikana siku zote na siyo yakuibuliwa kama unavyosema.mmezigeuza shida za watanzani sehemu yenu ya kujipatia Kiki zakisiasa ,yaani matatizo myasababishe nyie alafu nyie ndiyo mnasema mmeyaibua.
Acheni kutuona watoto.
 
Ziara za Makonda zimeibua matatizo mengi ya Watanzania; mambo yanayogusa maisha ya kila siku ya watu. Wapinzani hawajelekeza macho yao huko wnahangaika na ruzuku na katiba mpya.

Kwa vile Makonda wa CCM kaweza walau kugusa maisha ya watu wapinzani inabidi warudi darasani tena.

Muhimu matatizo yatatuliwe.
 
Unateseka ukiwa wapi mamaeee
Mie siteseki ila nawasikitikia wananchi maskini wa nchi hii ambao kodi zao na rasilimali zao zachezewa bila huruma.

Umesikia taarifa za ajali huko Mtwara?

Hayo magari kwa ujumla yana gharama kiasi gani?

Je, manunuzi ya magari mapya yatagharimu kiasi gani ya pesa za walipa kodi wa Tanzania?

Tuseme serikali yaamua kuyauza yote kama "Scrap" je, yataingiza fedha kiasi gani?

Au watapewa wapigaji wayatengeneze kisha wauziane?

Tukiandika humu JF kuna mengi sana ni ya kuyachukua na kuyafanyia kazi, kwani mengi yana lengo moja tu, kuinusuru nchi yetu kutoka mikononi mwa raia wa jamhuri ya wapigaji.
 
Huyo anapiga kampeni za CCM hakuna tatizo lolote anatatua, yaani tuna serikali ya kibabaishaji sana, hawako serious kwa chochote zaidi ya wizi na rushwa tuu
 
Katibu Mwenezi, Itikadi na sisa wa CCM Paul Makonda, yupo barabarani akizungukia maeneo mbalimbali ya nchi ambako amekutana na shida lukuki.

Kuna shida zingine ni rahisi sana kutatuliwa bila kutumia nguvu wala migogoro.

Shida zingine wananchi hukutana nazo kutoka kwenye idara za serikali ambazo haziko tayari kuwasaidia wananchi khasa kwenye masuala ya ardhi.

Tulikuwa na waziri Lukuvi wizara ya ardhi akaondolewa na kapelekwa Ridhiwani Kikwete ambae yajulikana alikwenda kwa kazi gani pale.

Lakini akaletwa kijana waziri Slaa ambae kasi yake ya kutatua matatizo ya ardhi imekuwa ndogo.

Lakini Paul Makonda tangu achukue nafasi ya ukatibu mwenezi, kumeibuka madudu lukuki yanofanywa na waajiriwa wa wizara ya ardhi khasa pale wanapohusihwa na vitendo viovu vya dhulma kwa wananchi.

Na matatizo hayo asilimia tisini ni yaleyale ambayo wananchi haohao walikuwa wakipiga simu katika kutuo cha Runinga cha Shule Ya Uongozi katika dawati la aliekuwa katibu mwenezi Humphrey Polepole ambapo matatizo yalikuwa yakipokewa na kuahidiwa kutatuliwa ama papo kwa hapo au kesho yake.

Serikali ya jamhuri ya wapigaji haikupenda jambo lile na bwana Humphrey Polepole akazuiwa kuendelea na kipindi chake na akapewa ubalozi akae mbali kule.

Sasa, CCM na serikali yake yashangaza sana sisi wengine ambao mshangao wetu ni kuona kuwa masuala yaleyale ambayo yalikuwa yakiletwa kupitia ile shule ya uongozi yangeweza kutatuliwa bila kutumia gharama kubwa badala ya gharama za sasa ambazo zahusu matumizi ya mafuta kwenye magari, kulipana posho na pia wananchi wa jamhuri ya wapigaji wakihakikisha waneemeka na ziara hizi za Paul Makonda.

Hivi ni lini CCM itaketi kikao kuhakiki matendo yake kwa Watanzania?
Hivi ni lini CCM itaketi kikao kuhakiki matendo yake kwa Watanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom