Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Nakuliza wewe uliwahi kumuona babu yako au baba wa babu yako sio wewe au hakuna hata mmoja wetu ambaye amewahi kuona, au kusikia, au kuhisi, au kunusa, au kuona mababu zetu lakini tunaamini kwamba walikuwepo.

Kutokana na point yako hakuna hata mmoja wetu anayepaswa kuamini kwamba mababu zetu walikuwepo, kwa kuwa hakuna ushahidi wa kuthibitisha hili.

Akili yako una sema Mungu hayupo sababu hakuna aliye muona ukweli akili yako haiko sawa, unataka kusema sisi tusio waona babu tuseme hatuna mababu.

Hii point inatuweka kwenye hatua ya unafiki, unawezaje kuwa na imani kama hiyo, lakini unaamini kwamba mababu zako walikuwepo, nina hakika wengi, ikiwa sio wanao amini Mungu wote wanaamini uwepo wa mababu zao.

Wewe unasema Mungu hayupo kwa sababu tu fikra zako ziko ki Atheist zina dosari, sayansi imehitimisha kuwa hakuna kitu kama bahati nasibu. Huo ni ushahidi muhimu unaoonyesha kuwepo kwa Mungu.
Yh
 
Nakuliza wewe uliwahi kumuona babu yako au baba wa babu yako sio wewe au hakuna hata mmoja wetu ambaye amewahi kuona, au kusikia, au kuhisi, au kunusa, au kuona mababu zetu lakini tunaamini kwamba walikuwepo.

Kutokana na point yako hakuna hata mmoja wetu anayepaswa kuamini kwamba mababu zetu walikuwepo, kwa kuwa hakuna ushahidi wa kuthibitisha hili.

Akili yako una sema Mungu hayupo sababu hakuna aliye muona ukweli akili yako haiko sawa, unataka kusema sisi tusio waona babu tuseme hatuna mababu.

Hii point inatuweka kwenye hatua ya unafiki, unawezaje kuwa na imani kama hiyo, lakini unaamini kwamba mababu zako walikuwepo, nina hakika wengi, ikiwa sio wanao amini Mungu wote wanaamini uwepo wa mababu zao.

Wewe unasema Mungu hayupo kwa sababu tu fikra zako ziko ki Atheist zina dosari, sayansi imehitimisha kuwa hakuna kitu kama bahati nasibu. Huo ni ushahidi muhimu unaoonyesha kuwepo kwa Mungu.
ni sawa anasema hana baba
 
Nakuliza wewe uliwahi kumuona babu yako au baba wa babu yako sio wewe au hakuna hata mmoja wetu ambaye amewahi kuona, au kusikia, au kuhisi, au kunusa, au kuona mababu zetu lakini tunaamini kwamba walikuwepo.
Mababu zetu walikuwepo na hili linafahamika wazi kabisa.

Kutokana na point yako hakuna hata mmoja wetu anayepaswa kuamini kwamba mababu zetu walikuwepo, kwa kuwa hakuna ushahidi wa kuthibitisha hili.
Ushahidi wa kuthibitisha upo, kuna picha za mababu zetu.

Kumbukumbu za mababu zetu, ikiwemo picha zao, makazi yao, nguo zao na hata vitu vyao walivyotumia wakati wa uhai wao vipo na vimehifadhiwa kama kumbukumbu.

Na hapo tunapata uthibitisho tosha kwamba mababu zetu walikuwepo.
Akili yako una sema Mungu hayupo sababu hakuna aliye muona ukweli akili yako haiko sawa, unataka kusema sisi tusio waona babu tuseme hatuna mababu.
Mungu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika zaidi ya hadithi uchwara za vitabuni zisizo na uthibitisho wowote ule.

Hakuna mwenye ushahidi wala kitu chochote kile kinachothibitisha uwepo wa Mungu.
Hii point inatuweka kwenye hatua ya unafiki, unawezaje kuwa na imani kama hiyo, lakini unaamini kwamba mababu zako walikuwepo, nina hakika wengi, ikiwa sio wanao amini Mungu wote wanaamini uwepo wa mababu zao.
Mababu zetu hawa aminiki walikuwepo.

Mababu zetu wanajulikana kabisa kwamba walikuwepo.

Kumbukumbu zao zipo na zimehifadhiwa. Picha zao, makazi yao waliyo ishi, vitu vyao walivyotumia vipo na vimehifadhiwa.

Pia makaburi yao yapo na yanathibitisha wazi kabisa kwamba mababu zetu walikuwepo na waliishi.

Sasa huyo Mungu wako wa kufikirika hayupo kwa namna yoyote ile na hakuna ushahidi wala uthibitisho wowote ule wa uwepo wake.

Mnapiga porojo tu na hadithi uchwara za kusadikika za hekaya za Biblia.
Wewe unasema Mungu hayupo kwa sababu tu fikra zako ziko ki Atheist zina dosari, sayansi imehitimisha kuwa hakuna kitu kama bahati nasibu. Huo ni ushahidi muhimu unaoonyesha kuwepo kwa Mungu.
Huyo Mungu kama yupo ajitetee mwenyewe sio wewe unahangaika kumuelezea na kumtetea.

Unahangaika sana kumuelezea Mungu ambaye hayupo kujieleza mwenyewe.

Unahangaika kufosi uwepo wa Mungu na wala huna uthibitisho wowote ule wa kuthibitisha uwepo wake.

Hakuna Mungu.
 
Mababu zetu walikuwepo na hili linafahamika wazi kabisa.


Ushahidi wa kuthibitisha upo, kuna picha za mababu zetu.

Kumbukumbu za mababu zetu, ikiwemo picha zao, makazi yao, nguo zao na hata vitu vyao walivyotumia wakati wa uhai wao vipo na vimehifadhiwa kama kumbukumbu.

Na hapo tunapata uthibitisho tosha kwamba mababu zetu walikuwepo.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika zaidi ya hadithi uchwara za vitabuni zisizo na uthibitisho wowote ule.

Hakuna mwenye ushahidi wala kitu chochote kile kinachothibitisha uwepo wa Mungu.

Mababu zetu hawa aminiki walikuwepo.

Mababu zetu wanajulikana kabisa kwamba walikuwepo.

Kumbukumbu zao zipo na zimehifadhiwa. Picha zao, makazi yao waliyo ishi, vitu vyao walivyotumia vipo na vimehifadhiwa.

Pia makaburi yao yapo na yanathibitisha wazi kabisa kwamba mababu zetu walikuwepo na waliishi.

Sasa huyo Mungu wako wa kufikirika hayupo kwa namna yoyote ile na hakuna ushahidi wala uthibitisho wowote ule wa uwepo wake.

Mnapiga porojo tu na hadithi uchwara za kusadikika za hekaya za Biblia.

Huyo Mungu kama yupo ajitetee mwenyewe sio wewe unahangaika kumuelezea na kumtetea.

Unahangaika sana kumuelezea Mungu ambaye hayupo kujieleza mwenyewe.

Unahangaika kufosi uwepo wa Mungu na wala huna uthibitisho wowote ule wa kuthibitisha uwepo wake.

Hakuna Mungu.
We mababu zako wote uliona picture zao au makaburi yao wacha longo longo. OK kwanini unamini gravity na huioni
 
We mababu zako wote uliona picture zao au makaburi yao wacha longo longo.
Vitu vyao walivyotumia vipo na vimehifadhiwa kama kumbukumbu na uthibitisho kwamba walikuwepo.
OK kwanini unamini gravity na huioni
Gravity haiaminiwi.

Gravity inapimika.

We can measure gravity as acceleration due to gravity(g).

Sasa huyo Mungu hayupo kwa namna yoyote ile hata kupimika, hapimiki.

Huyo Mungu ni mawazo uchwara ya kufikirika tu.

Hakuna Mungu.
 
Vitu vyao walivyotumia vipo na vimehifadhiwa kama kumbukumbu na uthibitisho kwamba walikuwepo.

Gravity haiaminiwi.

Gravity inapimika.

We can measure gravity as acceleration due to gravity(g).

Sasa huyo Mungu hayupo kwa namna yoyote ile hata kupimika, hapimiki.

Huyo Mungu ni mawazo uchwara ya kufikirika tu.

Hakuna Mungu.
Gravity si kitu au kitu kinachoweza kuangaliwa na kupimwa moja kwa moja, isipokuwa ni kupindwa kwa muda wa anga unaosababishwa na Mass na Energy huoni kama umeanza kychangan'yikiwa eti Gravity inapimwa 😂
 
Kila binadamu amezaliwa na wazazi wake.

Hakuna binadamu wa mwanzo.

Hakuna binadamu wa mwanzo kwa binadamu wote.

Kila binadamu ana mwanzo wake mwenyewe.

Na hili linathibitika kwa utofauti wa rangi zetu na vinasaba🧬 vyetu.

Kama kungekuwa na binadamu wa mwanzo kwa binadamu wote basi binadamu wote tungefanana vinasaba na rangi zetu kwa sababu tungekuwa tumetokana na binadamu mmoja tu.

Lakini sivyo, Binadamu tuna tofautiana, kuna waafrika weusi, wazungu weupe, wajapani, wachina, wafilipino, waarabu, wahindi weusi, wahindi weupe n.k

Sasa kwa huu utofauti uliopo, Haiwezekani kwamba tuwe tumetokana na binadamu mmoja tu wa mwanzo.

Kwa hivyo, Hakuna binadamu wa mwanzo wa watu wote ulimwengu.

Habari za uwepo wa binadamu wa mwanzo kwa binadamu wote ni myths tu.
Very interesting!
Mkongwe, kwahiyo haukubaliani na theory of evolution of man!?

Na huyu jamaa, Yuval Noah, haukubaliani nae kabisa!?
👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽

images (20).jpeg
 
Hahaha jamaa huyo anamini story za babu zake lakini za Mungu haziamini 🤣
Suala la mababu si imani.

Mababu walikuwepo na kumbukumbu zao zipo.

Huyo Mungu wako ni imani za kusadikika na kufikirika tu.

Hakuna uthibitisho wowote ule wa uwepo wa Mungu.

Mungu hayupo.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo na ulijuaje yupo?
 
Mimi ni Machenical engineer
Machenical❌

Mechanical✅

Wewe labda ulisoma uinjinia wako vichochoroni huko chini ya mwembe 🌲 Hujui hata kuandika ulichosomea vizuri.
physics ni lazima,
Physics yako ni ya vichochoroni huko.
wewe tatizo lako unaruka huku na kule nimekuliza gravity ina onekana ukasema unaipima vipi unaipima wakati Gravity is not a directly measurable thing. Gravity isn't a substance that can be held or measured in isolation. We rudi ukasomeshwe huna unalolijua.
Nimekuwekea hiyo link ukasome ujielimishe maana hiyo physics yako ulifundishwa chini ya mti. 🌲

Unaandika urojo tu.
 
Machenical❌

Mechanical✅

Wewe labda ulisoma uinjinia wako vichochoroni huko chini ya mwembe 🌲 Hujui hata kuandika ulichosomea vizuri.

Physics yako ni ya vichochoroni huko.

Nimekuwekea hiyo link ukasome ujielimishe maana hiyo physics yako ulifundishwa chini ya mti. 🌲

Unaandika urojo tu.
Hapo itakuwa nilitype by mistake hio si issue ya kumiza kichwa sana, unless uwe mjinga tu unatafuta point ndio utaona issue kubwa 😄

Mimi nilisomea chini ya mti sawa lakini hukujibu swali langu la gravity nani aliwahi kuiona gravity naona unaruka ruka tu kama nyani. Kuhusu kuipima hakuna aliye kuja na correct results. Ingawa nguvu ya gravity ni moja wapo ya nguvu nne za kimsingi katika physics, na effects zake huzingatiwa kwa urahisi. Kupima gravity yenyewe moja kwa moja ni changamoto ngumu wewe jidangan'ye tu.

Wanasayansi hutumia njia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kutumia torsion balances and gravimeters, nguvu za uvutano na effects zake, lakini kupata result ya msingi ya G (the gravitational constant) kwa ukweli bado wako mbali sana na bado ni shida kubwa ambayo haijatatuliwa katika physics.

Wewe nakuambia ni mnafiki tu huna unalo lijua, vipi unamini vitu bado mpaa leo wanasumbuka kupata results za uhakika. Kama wewe unataka mpaa umuone Mungu wewe uliwahi kuiona gravity eti tunaipima kichaa kweli kweli.

Hata hewa huioni lakini unaoamini ipo ndio na mimi simuoni Mungu namini yupo. Mfano Meteorologists, who are scientists specializing in the study of weather, use various tools and methods to observe waither je wanaweza kusema leo mvua itashuka 💯 hakuna haiwezekani na hata wakisema leo mvua haitashuka na badaye inashuka, we huoni wana bahatisha tu, sio kila kitu lazima Scientist wakudangan'ye na wewe uamini hakuna aliye Perfect isipo kuwa Mungu tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom