Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 14,228
- 30,840
Hakuna sayansi inayosema binadamu alitokana na Adamu.Vipi nachangan'ya Adam na Hawa si ndoo tunakufamisha ki elimu ili upate akili hahaha, maisha yote duniani yalitoka kwa babu mmoja linaungwa mkono na mistari mingi ya ushahidi kutoka kwa taaluma mbalimbali za kisayansi. Hapa kuna mambo muhimu yanayochangia uelewa huu. Mfano
ushahidi wa Genetic evidence.
Universal Genetic code, all known living organisms use the same genetic code, which suggests a common origin. This code is nearly universal, with only minor variations in some organisms.
Kufanana kwa DNA na RNA na vingine inaonyesha kwamba viumbe vyote vinashiriki kwenye same genetic, majority of our genetic code is identical. Hata hivyo zipo zipo tofouti ni ndogo sana..
Hakuna sayansi inayosema binadamu aliumbwa na Mungu.