Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Hapo itakuwa nilitype by mistake hio si issue ya kumiza kichwa sana, unless uwe mjinga tu unatafuta point ndio utaona issue kubwa 😄
Mimi nilisomea chini ya mti sawa lakini hukujibu swali langu la gravity nani aliwahi kuiona gravity
Hakuna sehemu yeyote nilikwambia gravity kuna aliyeiona.

Nimekwambia tunaweza kupima gravity.

Acceleration due to gravity can be measured.
naona unaruka ruka tu kama nyani. Kuhusu kuipima hakuna aliye kuja na correct results. Ingawa nguvu ya gravity ni moja wapo ya nguvu nne za kimsingi katika physics, na effects zake huzingatiwa kwa urahisi. Kupima gravity yenyewe moja kwa moja ni changamoto ngumu wewe jidangan'ye tu.

Wanasayansi hutumia njia mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kutumia torsion balances and gravimeters, nguvu za uvutano na effects zake, lakini kupata result ya msingi ya G (the gravitational constant) kwa ukweli bado wako mbali sana na bado ni shida kubwa ambayo haijatatuliwa katika physics.

Wewe nakuambia ni mnafiki tu huna unalo lijua, vipi unamini vitu bado mpaa leo wanasumbuka kupata results za uhakika. Kama wewe unataka mpaa umuone Mungu wewe uliwahi kuiona gravity eti tunaipima kichaa kweli kweli.

Hata hewa huioni lakini unaoamini ipo ndio na mimi simuoni Mungu namini yupo. Mfano Meteorologists, who are scientists specializing in the study of weather, use various tools and methods to observe waither je wanaweza kusema leo mvua itashuka 💯 hakuna haiwezekani na hata wakisema leo mvua haitashuka na badaye inashuka, we huoni wana bahatisha tu, sio kila kitu lazima Scientist wakudangan'ye na wewe uamini hakuna aliye Perfect isipo kuwa Mungu tu.
Gravity na Hewa haviaminiwi.

Gravity na Hewa si mambo ya imani.

Gravity na Hewa vinajulikana vipo na vinapimika.

Huyo Mungu wako hayupo kwa namna yoyote ile. Haonekani, Hashikiki, Hasikiki na hapimiki.

Huyo Mungu ni mawazo uchwara tu ya kufikirika na kusadikika.
 
Hakuna sehemu yeyote nilikwambia gravity kuna aliyeiona.

Nimekwambia tunaweza kupima gravity.

Acceleration due to gravity can be measured.

Gravity na Hewa haviaminiwi.

Gravity na Hewa si mambo ya imani.

Gravity na Hewa vinajulikana vipo na vinapimika.

Huyo Mungu wako hayupo kwa namna yoyote ile. Haonekani, Hashikiki, Hasikiki na hapimiki.

Huyo Mungu ni mawazo uchwara tu ya kufikirika na kusadikika.
Hakuna sehemu yeyote nilikwambia gravity kuna aliyeiona.

Nimekwambia tunaweza kupima gravity.

Acceleration due to gravity can be measured.

Gravity na Hewa haviaminiwi.

Gravity na Hewa si mambo ya imani.

Gravity na Hewa vinajulikana vipo na vinapimika.

Huyo Mungu wako hayupo kwa namna yoyote ile. Haonekani, Hashikiki, Hasikiki na hapimiki.

Huyo Mungu ni mawazo uchwara tu ya kufikirika na kusadikika.
Naona tuna rudi pale pale kwenye square one, kitu kizuri naona umekubaliana na mimi hakuna aliye iona gravity,hapo safi sana. Sa umeikubali vipi ipo kama sio imani hahaha narudia tena Kupima gravity yenyewe moja kwa moja ni changamoto hata hewa pia ni hivyo hivyo nimeisha kueleza sio kila usicho kiona hakipa, hata Mungu yupo hata kama hamuoni.

Vipimo siku zote haviko sawa hata hio gravity na hewa huwa wanabahatisha tu haswa hio gravity bora hata hio hewa wanabahatisha bahatisha.
 
Naona tuna rudi pale pale kwenye square one, kitu kizuri naona umekubaliana na mimi hakuna aliye iona gravity,hapo safi sana. Sa umeikubali vipi ipo kama sio imani hahaha narudia tena Kupima gravity yenyewe moja kwa moja ni changamoto hata hewa pia ni hivyo hivyo nimeisha kueleza sio kila usicho kiona hakipa, hata Mungu yupo hata kama hamuoni.

Vipimo siku zote haviko sawa hata hio gravity na hewa huwa wanabahatisha tu haswa hio gravity bora hata hio hewa wanabahatisha bahatisha.
Mungu unaweza kumpima ukajua yupo?

Hewa na gravity vinapimika na kujulikana vipo.

Sasa vipi huyo Mungu wako?
 
Mungu unaweza kumpima ukajua yupo?

Hewa na gravity vinapimika na kujulikana vipo.

Sasa vipi huyo Mungu wako?
Mungu kisha sema hakuna atakaye muona katika binadamu akaishi, sa vipi we ufananishe na vitu huvioni kama gravity na hewa afu unavipima eti hahaha we huoni huwa hawapati results za uhakika nipe nani anaweza kutoa results ya gravity na hewa 💯
 
Mungu kisha sema
Alisema wapi?

Lini?

Tarehe ngapi?

Mwezi upi?

Na Mwaka gani exactly?

Na huyo Mungu alimsemesha nani?
hakuna atakaye muona katika binadamu akaishi,
Kama hakuna aliyewahi kumuona, Ni nani alijua huyo Mungu yupo?
sa vipi we ufananishe na vitu huvioni kama gravity na hewa afu unavipima eti hahaha we huoni huwa hawapati results za uhakika nipe nani anaweza kutoa results ya gravity na hewa 💯
Result ya nini?

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kusikika, kushikika, kuhisika na kupimika.

Hewa na gravity vipo na vinapimika vipo.

Sasa eleza huyo Mungu wako yupo kwa namna gani?
 
Alisema wapi?

Lini?

Tarehe ngapi?

Mwezi upi?

Na Mwaka gani exactly?

Na huyo Mungu alimsemesha nani?

Kama hakuna aliyewahi kumuona, Ni nani alijua huyo Mungu yupo?

Result ya nini?

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kusikika, kushikika, kuhisika na kupimika.

Hewa na gravity vipo na vinapimika vipo.

Sasa eleza huyo Mungu wako yupo kwa namna gani?
Mungu utamuona vipi sasa na ukimuona unakufa pale pale. Ushahidi upo Adam alimsikia sauti yake. Mussa alimsikia sauti yake. Mbona wewe uliwamini babu zako hata hukuwaona vipi sisi tusimwamini mtu ambaye tumetokea kwake Adam.
 
Mungu utamuona vipi sasa na ukimuona unakufa pale pale. Ushahidi upo Adam alimsikia sauti yake.
Ni nani alishuhudia Adamu akisikia sauti ya huyo Mungu?
Mussa alimsikia sauti yake.
Ni nani alimshuhudia Musa akimsikia Mungu?
Mbona wewe uliwamini babu zako hata hukuwaona vipi sisi tusimwamini mtu ambaye tumetokea kwake Adam.
Una uhakika na uthibitisho kwamba tulitoka kwa Adamu au unaleta hadithi za kwenye hekaya za Biblia?
 
Ni nani alishuhudia Adamu akisikia sauti ya huyo Mungu?

Ni nani alimshuhudia Musa akimsikia Mungu?

Una uhakika na uthibitisho kwamba tulitoka kwa Adamu au unaleta hadithi za kwenye hekaya za Biblia?
Malaika walishuhudia Mungu akiongea Adam na Mussa aliongea nae wakati anatumwa kwa Firauni..

Na uhakika tunatoka kwa Adam 💯
 
Baba yako Mzazi anaweza kuwa tajiri na anakupenda sana, ila Kuna wakati akikuona huendi vizuri anaweza kukufukuza ilo upate akili, Hilo halimaanishi uwezo wa Baba yako ni mdogo!
Kwa akili ya kuvukia barabara, baba yako akikupenda wewe tu bado ataendelea kuzaa watoto wengine au kuwa tayari watoto wake wengine wafe kwasababu yako? Zamani alipendwa sana kitinda mimba
 
So wewe ni kama ameoba au ? kinazungumziwa Iran wewe unaleta ya Gaza? ni ngumu kuzungumza na naive people stick to one topic utakuwa mwerevu.. how old are you?

Unadhani Israel nae angelipa kisasi kuua raia wa Iran ingekuwaje? Lazima mjue Israel huwa anapiga wapi hizo ni sera zipo Jeshini waliopita Jeshi la IDF wote wanafuata huo Utaratibu tokea enzi hizo, Israel aki target sehemu kisha akaonekana Mtoto au Mwanamke huwa hawapigi, labda iwe hamna namna but always huwa wanakatisha strike, Always wanachunguza eneo kama kuna mbaya sana na wa muhimu wanapiga eneo husika Muslims wanajua hilo so ndio maana wanatumia Watoto na Wanawake kama kinga muhimu kwa Israel, Magaidi wengi wamepona vifo kwa hizo Kinga ndio Maana huko Gaza Vita imekuwa Ngumu, Sera za Jeshi huwa zinafanyiwa maombi wapo wanaokosea na wana adhibiwa na wao hukubali kwa moyo safi
Asante sana bwana Benyamin netanyahu
 
Mke wa Kain alitoka wapi
Mke wa Kain alikuwa binti wa Adam. Walikuwa watoto wawili wa kiume na wawili wa kike. Mkubwa akaowa mdogo na mdogo akaowa mkubwa. Huyo Cain alimuwa badaye
Abel kwa ajili ya wivu sababu sadaka zake zilikuwa hazikubaliki za mwenzake zinakubalika.
 
Kwa akili ya kuvukia barabara, baba yako akikupenda wewe tu bado ataendelea kuzaa watoto wengine au kuwa tayari watoto wake wengine wafe kwasababu yako? Zamani alipendwa sana kitinda mimba

Upo sahihi sababu ujawahi kuwa Baba
 
Yani bado unaamini kwamba binadamu tulitokana na hayo masokwe?
Ahahaaah!!!
Mimi nilidhani haupo kwenye mambo ya kuamini, upo kwenye mambo ya kujua.

Theory of evolution of man imeshakuwa proved kisayansi, na kuna evidence za kutosha zinazoisupport hii theory!

Kama unapingana na science, basi ni vyema ukabaki kwenye imani mkongwe, au unasemaje?
 
Ahahaaah!!!
Mimi nilidhani haupo kwenye mambo ya kuamini, upo kwenye mambo ya kujua.
Mimi sina imani ya aina yeyote ile.

Mimi siamini kwenye kuamini.

Sihitaji kuamini.

Nahitaji kujua.kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.
Theory of evolution of man imeshakuwa proved kisayansi, na kuna evidence za kutosha zinazoisupport hii theory!
Imekuwa proved aje?

Sayansi imeprove vipi kwamba evolution of man?

Hizo evidences ni zipi?
Kama unapingana na science, basi ni vyema ukabaki kwenye imani mkongwe, au unasemaje?
Mimi sipingani na sayansi.

Mimi nataka uthibitisho kwamba tulitoka kwa hao Australopithecus.

Kama kweli binadamu tuli evolve kutoka kuwa masokwe hadi binadamu kamili, Mbona masokwe hawabadiliki siku hizi na kuwa binadamu?
 
Ahahaaah!!!
Mimi nilidhani haupo kwenye mambo ya kuamini, upo kwenye mambo ya kujua.

Theory of evolution of man imeshakuwa proved kisayansi, na kuna evidence za kutosha zinazoisupport hii theory!

Kama unapingana na science, basi ni vyema ukabaki kwenye imani mkongwe, au unasemaje?
Huyo hafahamu lolote eti mbona wako wazungu, wachina, warabu kamo sisi tumetokana na Adam, nilimuambia binadamu wanabadilika kutokana na genetic drift. Huyo jamaa ni mbishi hata huo ushahidi wa kisayansi ulio ongelea unaunga mkono point nilio muelezea huko nyuma ya kuhusu genetic drift, hata wanadamu na nyani wana asili moja na kwamba mageuzi ya binadamu ni mchakato wa mabadiliko ya polepole kwa mamilioni ya miaka.
 
Huyo hafahamu lolote eti mbona wako wazungu, wachina, warabu kamo sisi tumetokana na Adam, nilimuambia binadamu wanabadilika kutokana na genetic drift. Huyo jamaa ni mbishi hata huo ushahidi wa kisayansi ulio ongelea unaunga mkono point nilio muelezea huko nyuma ya kuhusu genetic drift, hata wanadamu na nyani wana asili moja na kwamba mageuzi ya binadamu ni mchakato wa mabadiliko ya polepole kwa mamilioni ya miaka.
Mbona nyani wa sasa, hawabadiliki na kuwa binadamu?

Mbona masokwe wa sasa hawana huo mchakato wa mabadiliko?

Au hao nyani wa zamani ndio walikuwa na mchakato wa mabadiliko?

Hiyo genetic drift ilitokea kipindi gani kuleta utofauti wa binadamu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom