Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Sawa, so...what is the origin of earth sir!?
Kinachokufanya uamini kama ina origin, ndo kinachomfanya asiamini katika origin hiyo. Maana utakuwa umelishwa matango hivo, na yeye ana yake hivo.


Ila, labda tu niulize, kama unaamini katika hiyo imani, kwa nin watu wana ngozi tofauti wakati ni kiumbe kimoja, na kwa imani zenu walizaliwa na mtu mmoja?

Kwa nini, wenzetu waweze hata kurusha makombola kuuwa wenzao, lakini sisi huku kwetu, tushindwe hata kuunda kifaa cha kulimia!

Iweje, materials zinazotumika kutengeneza yale mazuri wanayojivunia, nyingi zitoke kwetu, na wazichukuwe kwa mbinu?
Huyo Mungu si mbaguzi? Anaependa jamii furani iendelee, na nyingine inyanyasike! Wa hivo, tumuanini wa kazi gani? Wengine watafia kwenye raha, na kujivunia mafanikio yao, sisi wengine tutafia kwenye karaha, na umasikini uliokithiri, tukisubiri huyo Mungu aje na sisi atuendee kama aliyowatendea wao! Wakati ni mwenye rehema kwa kila mja wake!
 
Hapana.

Giza halina atoms.

And darkness exists.
WTF!?
😂😂😂
Darkness is not matter, darkness is the absence of light!!!
This is O'level Physics mkongwe!!!
Hapa mimi namlaumu Kiranga, na pengine mzee wa watu hata ajui kama ametengeneza mtu wa aina yako hapa jukwaani.

Hauamini katika dini, haukubaliani na science!
Bila shaka wewe ni flat earther pia.
 
WTF!?
😂😂😂
Darkness is not matter, darkness is the absence of light!!!
This is O'level Physics mkongwe!!!
Hapa mimi namlaumu Kiranga, na pengine mzee wa watu hata ajui kama ametengeneza mtu wa aina yako hapa jukwaani.

Hauamini katika dini, haukubaliani na science!
Bila shaka wewe ni flat earther pia.
Ulisema kwamba, Je nakubaliana kwamba kila kitu kilichopo kimetengenezwa kwa Atoms?

Nikakujibu hapana.

Kwa sababu Giza halijatengenezwa kwa Atoms.

Swali lako lime generalize kila kitu, Badala ya kuwa specific.

Darkness exists, Sasa unaposema "kila kitu" unajumuisha hadi na visivyo tengenezwa na Atoms, kama giza.

You have to be specific.
 
Ooooh lord!!!
😂😂😂😂


Nyie watu mnawezana wenyewe!
Kwaherini aisee!!!
Sasa unaenda wapi? Kama mada ni kubishana, unajua huenda mwisho wa siku ukamconvince mtu akaelewa. Unaweza kuta hatuamini tusichokijua, na ukatuaminisha 😀 😀 😀 😀 😀 .

Maana hapo ningekuuliza, mfano wa science,kuna watu hawajasoma na hiyo mifano hawaijui, utawaeleza vipi wao? Na mi nikiwemo!
 
Ulisema kwamba, Je nakubaliana kwamba kila kitu kilichopo kimetengenezwa kwa Atoms?

Nikakujibu hapana.

Kwa sababu Giza halijatengenezwa kwa Atoms.

Swali lako lime generalize kila kitu, Badala ya kuwa specific.

Darkness exists, Sasa unaposema "kila kitu" unajumuisha hadi na visivyo tengenezwa na Atoms, kama giza.

You have to be specific.
Darkness is not a thing brother!
Giza sio kitu, giza ni hali ya kutokuwa na mwanga.
 
Ok sawa.

Sasa turudi kwenye origin. Kama ulivyokuwa umeuliza mwanzo.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na origin, Je origin ya origin ya kila kitu ni nini?
Ili nijibu hili swali, inategemea wewe upo upande gani?
Upo upande wa sayansi au dini?
 
Ili nijibu hili swali, inategemea wewe upo upande gani?
Upo upande wa sayansi au dini?
Kwa nini unataka niwe na upande?

Kwa nini unataka kunipa majibu kutoka kwenye hizi pande mbili tu?

Mimi sihitaji kuwa na upande wowote.

Natumia logic tu.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na origin, Je hiyo origin ya kila kitu, origin yake ni ipi?

Au hiyo origin ya kila kitu, ilitokea tu from nowhere?
 
Unachanganya habari za "Adamu na Hawa" ambazo ni imani za kidini za kusadikika na Genetics ambayo ni sayansi yenye facts.

Sayansi na imani haviwezi kukaa pamoja.

Huwezi kuchanganya habari za "Adamu & Hawa" na Genetics.

Unafanya Logical fallacy ya non-sequitur.

Una unganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.

Kwanza hakuna uthibitisho wenye uhakika kwamba Adamu alikuwepo. Sanasana ni stori za kwenye Biblia tu ndizo zinamwelezea Adamu.

Kwa hiyo habari za Adamu bado hazijitoshelezi na hazina uthibitisho wenye uhakika

Kwa hiyo huwezi kusema kwamba wanadamu wote tumetoka kwa Adamu bila kuwa na uhakika na uthibitisho wa uwepo wa huyo Adamu mwenyewe.

Kwenye Genetics variation sawa.

Lakini habari za Adamu hazina ukweli wala uthibitisho wowote ule.

Sanasana ni hadithi za kwenye hekaya za Biblia tu.

Ukisema kwamba wanadamu wote tumetoka kwa Adamu kwa vile ndivyo Biblia yako ilivyokwambia, Hata mwislamu atakwambia wanadamu wote tumetoka kwa Allah kwa vile ndivyo Quran yake inavyomwambia.

Sasa hapo hakuna ukweli wenye uhakika zaidi ni imani za vitabuni tu, Zisizo na uthibitisho wowote ule.
Vipi nachangan'ya Adam na Hawa si ndoo tunakufamisha ki elimu ili upate akili hahaha, maisha yote duniani yalitoka kwa babu mmoja linaungwa mkono na mistari mingi ya ushahidi kutoka kwa taaluma mbalimbali za kisayansi. Hapa kuna mambo muhimu yanayochangia uelewa huu. Mfano
ushahidi wa Genetic evidence.
Universal Genetic code, all known living organisms use the same genetic code, which suggests a common origin. This code is nearly universal, with only minor variations in some organisms.

Kufanana kwa DNA na RNA na vingine inaonyesha kwamba viumbe vyote vinashiriki kwenye same genetic, majority of our genetic code is identical. Hata hivyo zipo zipo tofouti ni ndogo sana..
 
Kwa nini unataka niwe na upande?

Kwa nini unataka kunipa majibu kutoka kwenye hizi pande mbili tu?

Mimi sihitaji kuwa na upande wowote.

Natumia logic tu.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na origin, Je hiyo origin ya kila kitu, origin yake ni ipi?

Au hiyo origin ya kila kitu, ilitokea tu from nowhere?
Science ni logic, haupo kwenye logic kwenye mkongwe.
Wewe upo sehemu nyingine kabisa.
 
WTF!?
😂😂😂
Darkness is not matter, darkness is the absence of light!!!
This is O'level Physics mkongwe!!!
Hapa mimi namlaumu Kiranga, na pengine mzee wa watu hata ajui kama ametengeneza mtu wa aina yako hapa jukwaani.

Hauamini katika dini, haukubaliani na science!
Bila shaka wewe ni flat earther pia.
Aisay huyo nilisha msoma hana analo lijua ni ubishi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom