Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Matusi pia nikipaji kiujumla wewe hunizidi lolote katika maisha haya ya duniani.
Hunijui sikujui, Halafu unasema sikuzidi.

In fact huna unachojua zaidi ya kufanya ad hominem attack na speculations zisizo na uthibitisho wala mantiki.
 
Hunijui sikujui, Halafu unasema sikuzidi.

In fact huna unachojua zaidi ya kufanya ad hominem attack na speculations zisizo na uthibitisho wala mantiki.
Si dalili naziona mtu aliye kuwa hamjui Mungu hawezi nizidi akili, maisha nilio nayo ki ujumla namini kabisa we uko level ya chini sana kwa kila kitu.
 
Ukristu ni mchongo uliochongwa kwa ujuzi wa hali ya juu. Angalia ulivyokubalika kwa wingi duniani, hasa ulimwengu wa tatu.
 
Si dalili naziona mtu aliye kuwa hamjui Mungu hawezi nizidi akili, maisha nilio nayo ki ujumla namini kabisa we uko level ya chini sana kwa kila kitu.
Kwa nini Mungu aliumba binadamu ambao hawamjui?

Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wote wawe wanamjua?
 
Kwa nini Mungu aliumba binadamu ambao hawamjui?

Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wote wawe wanamjua?
Mungu ametuleta hapa duniani kuja kufanya mtihani na moja wapo ni kumuamini bila kumuona usipo muamini wewe utakuwa umepotea. Huwezi kumuona Mungu ukaishi ndio sababu, angetaka umuone ukaishi angeweza lakini hakutaka hilo na hio ni amri yake yeye. Leo akikufungulia tu umuone malaika mtoa roho basi ujue unakwenda ni bye bye hubaki. Sa we kama unamini hakuna Mungu ulizaliwa tu kutokana na shahawa za baba yako kwanini wengine wakizaliwa tu wanakufa wengine wanaishi? Kwanini hizo shahawa zifanye hivyo hivi huoni hapo ni Mungu ndio anapanga vile shahawa zitapanga vipi. We unauhakika gani mpaa kesho utaishi. Au bada ya saa au nusu saa.

Mungu aliumba binadamu, si kwa ajili ya haja ya kuabudiwa tu, ni kwa ajili ya kuwajaribu na kuwaruhusu kuchagua kumwabudu kwa uhuru. Kumwona Mungu moja kwa moja kungepuuza jaribu hili, kwani kungelazimisha ibada kwa woga au badala ya imani ya kweli. Ulimwengu huu ni mtihani, katika huo mitihani vitu visivyo onekana na moja ya hivyo ni uwepo wa Mwenyezi Mungu humuoni, na ni sehemu ya mtihani huo.
 
Mungu ametuleta hapa duniani kuja kufanya mtihani na moja wapo ni kumuamini bila kumuona usipo muamini wewe utakuwa umepotea.
Huyo Mungu akiaminiwa anafaidika nini?

Huyo Mungu asipoaminiwa anapungukiwa nini?

Huyo Mungu kama alitaka kuaminiwa na binadamu wote, Alishindwaje kuumba binadamu wema watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?
Huwezi kumuona Mungu ukaishi ndio sababu, angetaka umuone ukaishi angeweza lakini hakutaka hilo na hio ni amri yake yeye.
Kama Mungu haonekani, Ni nani aliwahi kumuona huyo Mungu akajua kweli yupo?

Au unajaribu tu, kufosi imani yako uliyoaminishwa?

Bila uthibitisho wowote ule.
Leo akikufungulia tu umuone malaika mtoa roho basi ujue unakwenda ni bye bye hubaki.
Huyo Mungu kama haonekani na hataki aonekane, Ni nani alimuona akajua yupo?

Thibitisha Mungu yupo na si imani zako za vitabuni ulizo aminishwa.
Sa we kama unamini hakuna Mungu ulizaliwa tu kutokana na shahawa za baba yako kwanini wengine wakizaliwa tu wanakufa wengine wanaishi?
Kuzaliwa na kufa ni hatua za kila binadamu na kila mmoja lazima atazipitia hatua hizi. Hazikwepeki.

Wewe kuzaliwa na kuishi, Haimaanishi kwamba hutakufa. Kila mtu atakufa.

Tunatofautiana tu muda na wakati wa kufa. Wapo wanaozaliwa na kufa hapohapo.

Wapo wanaozaliwa na kuishi na wapo wanaoishi lakini mwishowe hufa.
Kwanini hizo shahawa zifanye hivyo hivi huoni hapo ni Mungu ndio anapanga vile shahawa zitapanga vipi.
Kuhusisha Mungu na Shahawa ni kufanya logical fallacy ya non-sequitur.

Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.

Mungu na Shahawa hazina uhusiano wowote ule.

Mungu hapangi chochote.
We unauhakika gani mpaa kesho utaishi. Au bada ya saa au nusu saa.
Either uwe una mwamini Mungu au haumwamini, Hakuna mwenye uhakika kwamba kesho ataendelea kuishi.
Mungu aliumba binadamu,
Binadamu hawaumbwi.

Binadamu tunazaliana wenyewe kwa wenyewe.

Hakuna Mungu aliyeumba binadamu. Binadamu ndio wamemuumba Mungu kupitia imaginations tu.

Hakuna Mungu aliyeumba kitu chochote kile.

Mungu hayupo.
si kwa ajili ya haja ya kuabudiwa tu, ni kwa ajili ya kuwajaribu na kuwaruhusu kuchagua kumwabudu kwa uhuru.
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Anatujaribu ili agundue nini?

Kuna kipi asichokijua hadi atujaribu?

Hivi huyo Mungu ana jielewa kweli?
Kumwona Mungu moja kwa moja kungepuuza jaribu hili, kwani kungelazimisha ibada kwa woga au badala ya imani ya kweli. Ulimwengu huu ni mtihani, katika huo mitihani vitu visivyo onekana na moja ya hivyo ni uwepo wa Mwenyezi Mungu humuoni, na ni sehemu ya mtihani huo.
Kama Mungu haonekani, Ni nani alimuona akajua yupo?

Kama Mungu haonekani, ulijuaje na unathibitishaje yupo?
 
Huyo Mungu akiaminiwa anafaidika nini?

Huyo Mungu asipoaminiwa anapungukiwa nini?

Huyo Mungu kama alitaka kuaminiwa na binadamu wote, Alishindwaje kuumba binadamu wema watakao mtii na kumwamini siku zote na wakati wote?

Kama Mungu haonekani, Ni nani aliwahi kumuona huyo Mungu akajua kweli yupo?

Au unajaribu tu, kufosi imani yako uliyoaminishwa?

Bila uthibitisho wowote ule.

Huyo Mungu kama haonekani na hataki aonekane, Ni nani alimuona akajua yupo?

Thibitisha Mungu yupo na si imani zako za vitabuni ulizo aminishwa.

Kuzaliwa na kufa ni hatua za kila binadamu na kila mmoja lazima atazipitia hatua hizi. Hazikwepeki.

Wewe kuzaliwa na kuishi, Haimaanishi kwamba hutakufa. Kila mtu atakufa.

Tunatofautiana tu muda na wakati wa kufa. Wapo wanaozaliwa na kufa hapohapo.

Wapo wanaozaliwa na kuishi na wapo wanaoishi lakini mwishowe hufa.

Kuhusisha Mungu na Shahawa ni kufanya logical fallacy ya non-sequitur.

Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.

Mungu na Shahawa hazina uhusiano wowote ule.

Mungu hapangi chochote.

Either uwe una mwamini Mungu au haumwamini, Hakuna mwenye uhakika kwamba kesho ataendelea kuishi.

Binadamu hawaumbwi.

Binadamu tunazaliana wenyewe kwa wenyewe.

Hakuna Mungu aliyeumba binadamu. Binadamu ndio wamemuumba Mungu kupitia imaginations tu.

Hakuna Mungu aliyeumba kitu chochote kile.

Mungu hayupo.

Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Anatujaribu ili agundue nini?

Kuna kipi asichokijua hadi atujaribu?

Hivi huyo Mungu ana jielewa kweli?

Kama Mungu haonekani, Ni nani alimuona akajua yupo?

Kama Mungu haonekani, ulijuaje na unathibitishaje yupo?
We uliwahi kuziona akili zako? Sa vipi unamini una akili na hukuwahi ziona.
 
We uliwahi kuziona akili zako? Sa vipi unamini una akili na hukuwahi ziona.
Akili haziaminiwi.

Akili zipo na zinaweza kupimika kujulikana zipo.

Huyo Mungu hayupo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo ya kufikirika tu.

Ukibisha thibitisha Mungu yupo na si imani na mawazo yako ya kufikirika tu.
 
Akili haziaminiwi.

Akili zipo na zinaweza kupimika kujulikana zipo.

Huyo Mungu hayupo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo ya kufikirika tu.

Ukibisha thibitisha Mungu yupo na si imani na mawazo yako ya kufikirika tu.
Very simple unatakiwa uwe una akili kuelewa. Adam Shahawa za nani zilie mzaa. Jibu hapo kabla hutujaenda mbali
 
Very simple unatakiwa uwe una akili kuelewa. Adam Shahawa za nani zilie mzaa. Jibu hapo kabla hutujaenda mbali
Kwa nini unaanza kwa Adamu naku mu exempt huyo Mungu?

Tuanzie kwa huyo Mungu, Huyo Mungu alitoka wapi?

Chanzo cha huyo Mungu ni nini?
 
Kwa nini unaanza kwa Adamu naku mu exempt huyo Mungu?

Tuanzie kwa huyo Mungu, Huyo Mungu alitoka wapi?

Chanzo cha huyo Mungu ni nini?
Sa we naona unaruka swali kwa Mungu tutafika tu, we unaye sema ulitokana na shahawa tu bila Mungu nimekupa swali Adam alitokana na shahawa za nani, mbona unakimbia swali.
 
Sa we naona unaruka swali kwa Mungu tutafika tu, we unaye sema ulitokana na shahawa tu bila Mungu nimekupa swali Adam alitokana na shahawa za nani, mbona unakimbia swali.
Adamu ni fictional character anaye exist kwenye hekaya za Biblia tu.

Hakuna mwenye uthibitisho wa uwepo wa huyo Adamu zaidi ya hadithi za kusadikika za kwenye Biblia.

Hadithi za uwepo wa Adamu hazina tofauti na hadithi za uwepo wa Abunuwasi.

Adamu ni fictional character.

Are you there?
 
Adamu ni fictional character anaye exist kwenye hekaya za Biblia tu.

Hakuna mwenye uthibitisho wa uwepo wa huyo Adamu zaidi ya hadithi za kusadikika za kwenye Biblia.

Hadithi za uwepo wa Adamu hazina tofauti na hadithi za uwepo wa Abunuwasi.

Adamu ni fictional character.

Are you there?
Ikiwa unayo dai ni kweli, swali ni nani au ni nini kiliumba kuwepo kwetu?
 
Ikiwa unayo dai ni kweli, swali ni nani au ni nini kiliumba kuwepo kwetu?
Nilishakwambia hapo juu, Binadamu hawaumbwi.

Binadamu hatuumbwi.

Binadamu tunazaliana wenyewe kwa wenyewe.

Hakuna binadamu aliyeumbwa.
 
Hivi, mpaka lile taifa la mchoongo(linalojiita teule)

Mungu wao hakujua wateule wake wanaenda kukosa makazi! Na wengine kupukutika(japo kwa akili za wenzetu tunajua Makombola ya Iran yanashusha tu mijengo hayaui!!!

Mbali na hilo, akaamua wateule wake wawe wanakimbilia mashimoni kama panya! Daadeki. Matango bado tutalishwa tuuuu
Wewe Muislamu wa kuchonga wa kule Mwanerumango unajua Mabwana wenu wa Kiarabu wanawaita nyinyi NANI?
Mtu mweusi anaitwa ABEED yaani SLAVE. WEWE ONA GROK INACHOKUAMBIA
Screenshot_20250627-230616_Chrome.jpg



Halafu wala Allah wenu Wala Paedophile wenu Mood haoni thamani ya mtu mweusi. Ndiyo maana wakamuua MTANZANIA MWENZETU JOSHUA. ACHANENI NA DINI YA SHETANI, MPOKEENI YESU AWAONGOZE KWA MUNGU WA KWELI
 
Binadamu wa mwanzo kabisa alizaliwa na nani.

Kila binadamu amezaliwa na wazazi wake.

Hakuna binadamu wa mwanzo.

Hakuna binadamu wa mwanzo kwa binadamu wote.

Kila binadamu ana mwanzo wake mwenyewe.

Na hili linathibitika kwa utofauti wa rangi zetu na vinasaba🧬 vyetu.

Kama kungekuwa na binadamu wa mwanzo kwa binadamu wote basi binadamu wote tungefanana vinasaba na rangi zetu kwa sababu tungekuwa tumetokana na binadamu mmoja tu.

Lakini sivyo, Binadamu tuna tofautiana, kuna waafrika weusi, wazungu weupe, wajapani, wachina, wafilipino, waarabu, wahindi weusi, wahindi weupe n.k

Sasa kwa huu utofauti uliopo, Haiwezekani kwamba tuwe tumetokana na binadamu mmoja tu wa mwanzo.

Kwa hivyo, Hakuna binadamu wa mwanzo wa watu wote ulimwengu.

Habari za uwepo wa binadamu wa mwanzo kwa binadamu wote ni myths tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom