Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Au huenda Mungu nae wa mchongo wazee!!!!

Kenge ni baba na mama yako waliozaa punguani kama wewe usiyefikiri sawasawa.

Hakuna Mungu aliyeumba kitu chochote kile.

Mungu hajawahi kuwepo na hayupo.

Unafosi imani zako uchwara ulizo aminishwa na kupumbazwa.

Idiot.
Ila kuna kitu mnakoseaga sana aise. Matusi ya nini? Kila mtu ana imani yake anayoona ni sahihi kwake. Tatizo kubwa la upande wanaomuamini Mungu, ni kutaka kukonvinsi wengine wamuamini. Ukiwauliza sababu za kumuamini, hawana. Ukiwapa vigezo vya kutokuwepo kwake,hawataki.

Sasa basi, mada hizi nadhani ni kwa ajili ya kubadilishana mawazo,matusi hayasaidii jamani.
 
Naona unarudia zile zile nyimbo nimekuliza wewe unayesema hakuna Mungu ulienda anapo kaa ukaona hayupo.
Tupe walau vigeo 5 vinavyodhihilisha uwepo wake. Na je, wewe kama wewe,unaesisitiza uwepo wake,kwa umri wako,ulijuaje yanayosemwa ni kweli yapo?
 
Naona unarudia zile zile nyimbo nimekuliza wewe unayesema hakuna Mungu ulienda anapo kaa ukaona hayupo.
Anapo kaa wapi?

Nimeshakwambia Mungu hayupo popote pale, halafu unasema nilienda anapokaa!

Mungu hakai na hayupo popote pale.

Wewe unayesema Mungu yupo, ndio ueleze huyo Mungu yupo wapi?
 
Ila kuna kitu mnakoseaga sana aise. Matusi ya nini? Kila mtu ana imani yake anayoona ni sahihi kwake. Tatizo kubwa la upande wanaomuamini Mungu, ni kutaka kukonvinsi wengine wamuamini. Ukiwauliza sababu za kumuamini, hawana. Ukiwapa vigezo vya kutokuwepo kwake,hawataki.

Sasa basi, mada hizi nadhani ni kwa ajili ya kubadilishana mawazo,matusi hayasaidii jamani.
Mimi situkani mtu anayekuja kwa kujenga hoja.

Ila ukija kwa matusi, nitakupa matusi pia.

Huyo alianza kunitukana kwa kuniita kenge, That's why nilimjibu hivyo kwa kumtusi pia.
 
Anajua ww ulitaka Mungu afanyaje
-Azuwie makombola ya Iran kuwahit watu wake na makazi yao.

Ona sasa washakuwa wakimbizi na wenyewe hawanantofauti na wenzao wa Palestina, au waAfrika wa Congo Rwanda na Burundi.

-Azuwie watu wake wateule kuua wenzao Gaza huko na kwingineko.

Vinginevyo,kama alijua na akakausha,basi hama maana.
 
Huku si kujenga hoja bali kufosi imani zako uchwara ulizo aminishwa na kupumbazwa.

Thibitisha Mungu yupo na ulijuaje yupo?

Hakuna Mungu aliyeumba kitu chochote kile.

Mungu hayupo.

Huyo Mungu kama yupo, ajitokeze mwenyewe ajitetee na kujiongelea kama ana huo uwezo.

Sio wewe unahangaika kumuelezea na kumtetea.
Math 16:1
Wakamjia Mafarisayo na Masadukayo, wakamjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara itokayo mbinguni.
Mathayo 16:4
Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona. Akawaacha, akaenda zake.
 
Math 16:1
Wakamjia Mafarisayo na Masadukayo, wakamjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara itokayo mbinguni.
Mathayo 16:4
Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona. Akawaacha, akaenda zake.
Hizi ni hekaya za vitabuni unaleta tu hapa.

Hata mwislamu ataleta mistari ya Quran kumtetea Allah wake.

Your opinions are not different from that of a suicide bomber. You just want to defend your side.
 
Anapo kaa wapi?

Nimeshakwambia Mungu hayupo popote pale, halafu unasema nilienda anapokaa!

Mungu hakai na hayupo popote pale.

Wewe unayesema Mungu yupo, ndio ueleze huyo Mungu yupo wapi?
Tatizo lako unadhani Mungu yupo kwenye dunia anaishi vipi aliye umba dunia aishi ndani ya dunia we ziko sawa kichwani kweli. Yeye anazishikilia mbingu na ardhi unataka akuwachie wewe uzishikilie hahaha
 
Tatizo lako unadhani Mungu yupo kwenye dunia anaishi vipi aliye umba dunia aishi ndani ya dunia we ziko sawa kichwani kweli. Yeye anazishikilia mbingu na ardhi unataka akuwachie wewe uzishikilie hahaha
😅😅
 
Huwa najiuliza kuhusu motoni....
Yaani mtu anawezaje kumchoma mwanae.
Mungu ni Mungu anayefuata sheria
Ss tukienda kinyume ndio hivyo sasa
mwishoni ni motoni
Mungu anataka tuishi maisha ya Utakatifu
Dunia imeharibikiwa na vitu vingi
 
Mungu ni Mungu anayefuata sheria
Ss tukienda kinyume ndio hivyo sasa
mwishoni ni motoni
Mungu anataka tuishi maisha ya Utakatifu
Dunia imeharibikiwa na vitu vingi
Wewe unaweza kumchoma mwanao
 
Huwa najiuliza kuhusu motoni....
Yaani mtu anawezaje kumchoma mwanae.
Achana na mtu. Mungu alimuumba binadamu, ili badae aje amchome moto wa milele.

Na binadamu huyu, enzi za uhai wake alipambana kumtii na kumtafuta Mungu huyo. Daadeki zao
 
Tatizo lako unadhani Mungu yupo kwenye dunia anaishi vipi aliye umba dunia aishi ndani ya dunia we ziko sawa kichwani kweli. Yeye anazishikilia mbingu na ardhi unataka akuwachie wewe uzishikilie hahaha
Hakuna mbingu.

Hakuna Mungu.

Mungu na mbingu vina exist kwenye hekaya zenu za Biblia tu.

Hujathibitisha Mungu yupo, Hujathibitisha mbingu ipo, Unaruka ruka tu na mifano illogical.
 
Hakuna mbingu.

Hakuna Mungu.

Mungu na mbingu vina exist kwenye hekaya zenu za Biblia tu.

Hujathibitisha Mungu yupo, Hujathibitisha mbingu ipo, Unaruka ruka tu na mifano illogical.
Nakuliza wewe uliwahi kumuona babu yako au baba wa babu yako sio wewe au hakuna hata mmoja wetu ambaye amewahi kuona, au kusikia, au kuhisi, au kunusa, au kuona mababu zetu lakini tunaamini kwamba walikuwepo.

Kutokana na point yako hakuna hata mmoja wetu anayepaswa kuamini kwamba mababu zetu walikuwepo, kwa kuwa hakuna ushahidi wa kuthibitisha hili.

Akili yako una sema Mungu hayupo sababu hakuna aliye muona ukweli akili yako haiko sawa, unataka kusema sisi tusio waona babu tuseme hatuna mababu.

Hii point inatuweka kwenye hatua ya unafiki, unawezaje kuwa na imani kama hiyo, lakini unaamini kwamba mababu zako walikuwepo, nina hakika wengi, ikiwa sio wanao amini Mungu wote wanaamini uwepo wa mababu zao.

Wewe unasema Mungu hayupo kwa sababu tu fikra zako ziko ki Atheist zina dosari, sayansi imehitimisha kuwa hakuna kitu kama bahati nasibu. Huo ni ushahidi muhimu unaoonyesha kuwepo kwa Mungu.
 
Yupo wapi?

Thibitisha uwepo wake na si imani zako za vitabuni ulizo aminishwa na kupumbazwa.

Unasema tu Mungu yupo, ila bado Hujathibitisha uwepo wake!
Mbinguni, Duniani na ndani ya mtu aliena roho wa Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom