Askofu Bagonza: Tuliyajua, Hatukuyajua lakini hilo zaidi ya tatizo

Inabidi iundwe Tume ya Maridhiano kama walivyofanya South Africa baada ya Utawala wa Kibaguzi kukomeshwa 1994, Tume ilikuwa chini ya Desmund Tutu, tusitumie utaratibu wa Kagame wa kuwapeleka Magakamani wale Wahalifu kwny Mahakama za Gachwachwa.

'Zamani Tajiri alikuwa anaweza kufanya lolote lakin Sasa hivi anaweza 'Kufanywa' lolote'- Kauli ngumu sana hii maana hata Madikteta kina Kagema hawana huu ujasiri wa kutamka haya hadharani.

Kwa Niaba ya Wastaafu wa UV CCM Taifa tunawaomba radhi waliopata madhila ya kudhulumiwa Mali na nafsi zao na za Wapendwa wao
Maridhiano tunayataka sana lakini ni vema kwanza sheria ichukue mkondo wake kwa wahalifu wote!

Na kama kweli tunataka maridhiano basi tuanze na wote waliodhulumiwa na utawala dhalimu kuanzia mali mpaka maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tume ya maridhiano kwa lengo la kuombana radhi na msamaha yaishe, Mahakamani yataibuka mengi na mengi na pengine wapo wataochomekewa kesi na Maadui zao wa Kisiasa na kuumizwa kwa kusingiziwa au wapo watakaokuja kuachiwa huru wakati ni wahalifu kweli hivyo kuleta chuki maradufu
Na wafungwa na mahabusu wanaoozea jela waliobambikwa kesi kwa sababu za kisiasa unawaweka kundi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
msimsaau moamedi sheni,au waacheni hawa dua ambazo zimeanza kuzaa matunda zitawaumbuwa.
 
Mbowe aliwahi kutaka maridhiano akaishia kukashifiwa na mataga. MUNGU mlinde mama Samia ambae amerejesha Utu na Amani kwenye Taifa hili.
Inabidi iundwe Tume ya Maridhiano kama walivyofanya South Africa baada ya Utawala wa Kibaguzi kukomeshwa 1994, Tume ilikuwa chini ya Desmund Tutu, tusitumie utaratibu wa Kagame wa kuwapeleka Magakamani wale Wahalifu kwny Mahakama za Gachwachwa.

'Zamani Tajiri alikuwa anaweza kufanya lolote lakin Sasa hivi anaweza 'Kufanywa' lolote'- Kauli ngumu sana hii maana hata Madikteta kina Kagema hawana huu ujasiri wa kutamka haya hadharan

Kwa Niaba ya Wastaafu wa UV CCM Taifa tunawaomba radhi waliopata madhila ya kudhulumiwa Mali na nafsi zao na za Wapendwa wao
 
Ukimtaja makonda JF wanafuta uzi
Samahani mkuu, unamaanisha kama hivi??

tapatalk_1566706083439.jpg
 
Bavicha wanashangaza,,
eti wanasubiri kuona Mama akinyonga "wanae" baada ya Baba wa "watoto" kufariki dunia,,
uliona wapi ikitokea hivyo katika "familia" za kiafrika,,!!?
Umepumbazwa ukapumbazika,kukutoa hapo haiwezekani ,wewe ni hivyo hivyo mpaka kufa
 
Lengai aitaje Chain of Command yote ili hapo Magereza pafurike Wake za Vigogo kuwapelekea Mahabusu wao vyakula
lolbron.png
 
Inabidi iundwe Tume ya Maridhiano kama walivyofanya South Africa baada ya Utawala wa Kibaguzi kukomeshwa 1994, Tume ilikuwa chini ya Desmund Tutu, tusitumie utaratibu wa Kagame wa kuwapeleka Magakamani wale Wahalifu kwny Mahakama za Gachwachwa.


'Zamani Tajiri alikuwa anaweza kufanya lolote lakin Sasa hivi anaweza 'Kufanywa' lolote'- Kauli ngumu sana hii maana hata Madikteta kina Kagema hawana huu ujasiri wa kutamka haya hadharan

Kwa Niaba ya Wastaafu wa UV CCM Taifa tunawaomba radhi waliopata madhila ya kudhulumiwa Mali na nafsi zao na za Wapendwa wao
Sina uhakika kama huu msamaha ulioumba umetoka moyoni

Lakini kwanini hamkuomba msamaha kipindi hicho?
 
Pengine miaka minne ingemalizika tungekuwa na zahma kubwa zaid, kazi ya Mungu haina makosa
Kipindi hiki kingekuwa kigumu sana kwa watanzania maana pote alikuwa amemaliza Sauti kinzani.

Miaka 6 ya Magufuli ilikuwa Mateso tosha kwa wapenda haki kila kukicha unawaza leo nani atatekwa au kupotea kama sindano
 
Mwenye clip ya Mh Mbowe,akitaka maridhiano ya kitaifa,Mwanza,sherehe ya uhuru
 
Tume ya maridhiano kwa lengo la kuombana radhi na msamaha yaishe, Mahakamani yataibuka mengi na mengi na pengine wapo wataochomekewa kesi na Maadui zao wa Kisiasa na kuumizwa kwa kusingiziwa au wapo watakaokuja kuachiwa huru wakati ni wahalifu kweli hivyo kuleta chuki maradufu
We kama ukushiriki hofu ya nini.
Tunataka fundisho Ili yasijirudie vizazi vijavyo kwamba hakuna kiongozi yeyeto aliyewahi I chezea tza akabaki salama.
We ongoza maliza mda wako tembea.Uongozi ni sawa na siti ya daladala.
 
Back
Top Bottom