Msimpangie mama wa kumsweka ndani, Sabaya ametolewa mfano na ndio maana amesema waliofanya maovu kama ya Sabaya wajitahidi waombe msamaha kabla hajadeal nao.Mh.RAIS Nakupongeza sana kwa hatua uliyochukua Dhidi ya MTEULE Wako SABAYA ya Kumsimamisha Kazi ili kupisha Uchunguzi dhidi ya Malalamiko ya Wanyonge Masikini wa Nchi hii.Pia nampongeza Mkuu wa TAKUKURU Taifa na DPP kwa kuendelea na Uchunguzi wao na hatimae MUNGU MTU SABAYA kufikishwa MAHAKAMANI.
Mh.RAIS usihishie kwa SABAYA kuwa Wateule wako bado wapo na Wengine wapo Nje ya Serikali yako Wanatajwa Kuhusika Na Matukio ya Aina hiyo hiyo ya SABAYA.Tunakuomba Kila Alitajwa tajwa ACHUNGUZWE Kwani Watu hawa WAMEWATESA na KUWAUMIZA SANA WANANCHI.Baadhi ya Watu hao ni Pamoja na Paul Makonda
Serikali haipo ili iwakalie watu kooni wala ilani ya CCM haijaagiza hivyo. Wacha waovu washughulikiwe, ndilo jukumu na wajibu wa serikali.Wanachadema na kutaka wale waliowakalia kooni waondoke ,wamesahau kuwa serikali iliyopo ni ya CCM na wateule wake ni watekelezaji tu wa ilani ya CCM, vinginevyo wataangaliwa kama una ushahudu wa hao unaosema waliwaua.
Huyo dogo muhuni Sana tunamfatilia vzr SanaKuna huyu DC wa Sengerema anaitwa Emanuel kipole ki ukweli ameumiza watu sana. Wavuvi wamelia sana alitumia madaraka yake vibaya kuwafilisi wafanyabiashara wa samaki. Ikiundwa tume yataelezwa mengi.
Hakumkosea Mkulu aliwakosea Wasio na Hatia MUNGU ndio Kaamua AadhibiweMsimpangie mama wa kumsweka ndani, Sabaya ametolewa mfano na ndio maana amesema waliofanya maovu kama ya Sabaya wajitahidi waombe msamaha kabla hajadeal nao.
Sabaya kimemponza kiburi na kudharau wanawake. Ule muda aliotumia kujisafisha kwenye media angeutumia ku-make peace na mkulu haya yote may be yasingemkuta.
Atakula jeusri yake, sasa na bashite aendelee kwenda kusalimia kaburi alidhani aliyekuwa anawalinda atafufuka instead ya kutumia muda hii kuhakikisha anaweka mambo sana na mama pamoja na watu aliowadhulumu Mali zao akiwemo mmiliki wa NAS Hauliers na akina manji pamoja na Ridhiwani pamoja na babake na mzee warioba.
Kazi wanayo.
We bwege kweli! Kwani ilani ya CCM ni uuaji, utekaji na ubakaji?Wanachadema na kutaka wale waliowakalia kooni waondoke ,wamesahau kuwa serikali iliyopo ni ya CCM na wateule wake ni watekelezaji tu wa ilani ya CCM, vinginevyo wataangaliwa kama una ushahudu wa hao unaosema waliwaua.
Tume ya mariadhiano ya nini hali wahalifu wanajulikana.Inabidi iundwe Tume ya Maridhiano kama walivyofanya South Africa baada ya Utawala wa Kibaguzi kukomeshwa 1994, Tume ilikuwa chini ya Desmund Tutu, tusitumie utaratibu wa Kagame wa kuwapeleka Magakamani wale Wahalifu kwny Mahakama za Gachwachwa.
Tume ya mariadhiano ya nini hali wahalifu wanajulikana.
South africa na Rwanda ilikuwa kwa Jamii nzima
Bashite,musiba, kapilimba,doto james,Herry James , Henry Kisanduku,makungu wajiande nyumba ni lzm iwe safi