Trimmer
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 2,186
- 3,380
Punguza mihemko bablaiUmepumbazwa ukapumbazika,kukutoa hapo haiwezekani ,wewe ni hivyo hivyo mpaka kufa
Punguza mihemko bablaiUmepumbazwa ukapumbazika,kukutoa hapo haiwezekani ,wewe ni hivyo hivyo mpaka kufa
Bashite na kapilimba wanajua yote haya wakibanwa watatajaNaunga mkono hoja , kwani Pascal Mayala anasemaje? Hasa waliomuua Been Saanane , maana taarifa zao zimeanza kuvujaView attachment 1810304
Baba Askofu- ongeza pia kwamba wanaotuhumu nao wachunguzwe sawia.TULIYAJUA, HATUKUYAJUA, HILI NI ZAIDI YA TATIZO.
Kesi iko mahakamani, sitaki kusema yaliyomo ya kesi hiyo. Najipa haki ya kusema jambo zima kwa ujumla wake...
"wakati ukifika tukihitaji tutawajulisha"hii kauli inafikirisha
Hana muda mrefu watamdaka Mkuu.Wahenga walisema, "Panapofuka moshi hapakosi moto."