Arusha: Wanne wadaiwa kufariki dunia baada ya Noah kusombwa na maji ikijaribu kuvuka barabara iliyofunikwa na maji

Labda niseme tu kwamba hii chanzo cha ajali ni accidentally kwa taarifa niliyopewa na shuhuda aliyeona jinsi ajali inatokea live.

Hii ni ajali ambayo gari iliteleza yaani ilislide along the road side alafu baada ya hapo ikapelekwa na mkondo wa maji uliokuwa kasi kwenye mtaro na sio barabarani....

Ajali hii haikutegemewa kama wengi wanavo comment hapo juu, gari mbona zilipita hapo nazilikuwa foleni.
 
majira ya saa mbili na dakika arobaini asubuhi wakati dereva wa gari hilo Naimani Metili ambae ndio baba akiwa na abiria watano wakielekea katika mahafali ya mtoto wao Moshi.
ile ya mwaka juzi Korogwe Tanga na yenyewe walikua wakielekea kwenye Mahafali ya Binti yao Korogwe Girls na yenyewe ilikua Noah
 
lile eneo ni hatari sana kipindi hiki cha mvua week kama mbili nyuma nilipata changamoto pale na nililiongelea hapa jf
 
Inasikitisha mno kwa ajali kama hii ambayo ingeweza kuzuilika,ila RPC &RTO wa mkoa huu hii ajali ni uzembe wenu, why hamkuweka kizuizi pale ili kuhakikisha hakuna gari inayopita pale?,why hamkutuma traffic officer's ili waweke road block pale?,na msinijibu kuwa hakuna officer's wa kutosha, juzi kati nilihesabu check points kati ya Dar na Moro, na maafisa wanaozisimamia, 15checkbpoints, 30officials!! hii ni craze
Uzembe ni wa baba/dereva, usiwarushie lawama RPC & RTO, hapo ni common sense tu, mtu unaona maji yanapita kwa kasi, na ni hatari kwanini wasisubiri maji yapungue?? Kwani wasipoenda kwenye mahafali huyo mtoto atadhurika??Uzembe wa madereva wa bongo ni zaidi ya uzembe; utasema akili zao zipo matakoni. Sio kila kitu mnawarushia polisi, nao ni binadamu na wana familia zinazowategemea, na nyie wenyewe madereva muwajibike ...Miafrika ndivyo ilivyo.
 
Inasikitisha mno kwa ajali kama hii ambayo ingeweza kuzuilika,ila RPC &RTO wa mkoa huu hii ajali ni uzembe wenu, why hamkuweka kizuizi pale ili kuhakikisha hakuna gari inayopita pale?,why hamkutuma traffic officer's ili waweke road block pale?,na msinijibu kuwa hakuna officer's wa kutosha, juzi kati nilihesabu check points kati ya Dar na Moro, na maafisa wanaozisimamia, 15checkbpoints, 30officials!! hii ni craze
Tujifunze kutegemea akili zetu kwanza kabla ya kuanza kutegemea akili za viongozi kama rpc na rto
 
Traffic wengi wa Arusha na Moshi Huwa wako busy na rushwa tu hata ka huna kosa lazima utoe tu, so hi mvua inaonyesha hawakutoka

ni kweli ata kama huna kosa wanakubia naomba ya kahawa yani ata kama unapita iyo barabara kula siku.
 
Wangeghairi tu yale maji unaona kabisa yalikua na nguvu kiasi huwezi kuvuka pale.
Anyway mungu awalaze wanapostahili.
Mi siku hiyo ndg yangu alinialika nikale pilau la Eid Nyumbani kwake,na mvua ilkua kubwa sana,nikachomoa kutoka home na familia, na wife akauungulumisha pilau letu Nyumbani! Somo! "Tujifunze kusoma alama za nyakati pia japokua kuna majukumu yanatakiwa yafanyike"!!
 
Nimeona niingilie kutoa mawazo yangu.
Tusiwalaumu hawa waliokumbwa na mkasa huu kuwa ni wazembe kwa sababu zifuatazo
1.Noa ni gari ambalo uzito wake sio mkubwa
2.Noa sehemu kubwa ni uwazi kama vile boti lilivo au tuseme ngalawa
3.Huenda upepo kwenye matairi ulikuwa umejaa ipasavyo
4.Kama matairi aliweka hewa ya Nitrogen
5.Yeye alikuwa anaangalia magari yaliyokuwa yamemtangulia yamepita kwanini yeye asipite?
UDADAVUZI
1.Uzito wa gari ukiwa mdogo halina uwezo wa kujikita chini vizuri
2.Kitu chochote kikiwa na uwazi ni rahisi kuelea na ndio maana shillingi inazama meli haizami hii ni fizikia sasa
3.Upepo unavyokuwa mwingi ndio uwezo wa ku elea unaongezeka kumbukeni hata meli inapotengenezwa nchi kavu wanapotaka kuungiza majini wanajaza upepo matube makubwa kama ya gari kuifanya ielee
4.Specific gravity ya Nitrogen ni ndogo kuliko ya air
5.Kila gari lina uzito wake mfano magari ya 4Wheel yana himili hii hali na pia malori hasa yenye mizigo au mabasi sasa yenye alikuwa anashindanisha kipanya chake na wenzake.

Watu wanalaumu ajali ya Handeni hawa walipita daraja likakatika

By the way rest in peace
Usilaumu kuwa ni wazembe sio kila mtu anajua fizikia
Pumba tupu...hapo ni uzembe wa dereva tu. Wangekatisha hio safari tu, kwani kukosa mahafali ni dhambi.
 
Back
Top Bottom