Noah ni light vehicle, maji yakishaizisi urefi kidogo inapelekwa mtoni.Hapana mkuu,ajali kama hii ilishatokea huko nyuma handeni mbona hawa hawakujifunza na wao pia walikuwa na noah na walikuwa wanaenda kwenye mahafali pia.
Wewe nawe ni wale wale wapumbavu! Hata ukiacha upepo kidogo badi gari itaelea tu kwenye maji maana litakuwa kama boya! Dawa hi kwamba ukikuta maji yanapita huu ya daraja usivuke kabisa! Hata ikibidi kulala Bora ulale!Unapopita juu ya maji hakikisha unapunguza upepo kwenye magurudumu
Hata kama ni heavy vehicle kwenye maji itabebwwa tu maana pressure ya kwenye tyres inaifanya gari ielee! Caterpillar lenyewe lilishawahi kusombwa na maji seuze gari ya kawaida!Noah ni light vehicle, maji yakishaizisi urefi kidogo inapelekwa mtoni.
Imewahi nitoa hapa hapa Dsm
Sio Noah, si tulikua na land rover 110 mkuu hiyo gari ni nzito na ilipigwa kikumbo na maji mpk pembeni huko porini.Magari yenye 4wheel Yana uhafadhali kwenye Mazingira kama Yale, uzito WA engine unasaidia kuvuta Gari
Yaani umevuta picha mbali sana na wala haijasha miaka mitatu wala yaani tukio la hivi hivi.tukio kama hilihili lilitokeaga mkoa wa Tanga ,wazazi pia walikua wakiwahi mahafali ya mtoto wao
ile ya mwaka juzi Korogwe Tanga na yenyewe walikua wakielekea kwenye Mahafali ya Binti yao Korogwe Girls na yenyewe ilikua Noahmajira ya saa mbili na dakika arobaini asubuhi wakati dereva wa gari hilo Naimani Metili ambae ndio baba akiwa na abiria watano wakielekea katika mahafali ya mtoto wao Moshi.
Watu ambacho hatujui physics inaaply sana kwa tukio kama hilo .tyre nijepesi sana kwenye maji..hata maji yakiwa maduchu nqmna gan tyre inaelea ...pole zao
Uzembe ni wa baba/dereva, usiwarushie lawama RPC & RTO, hapo ni common sense tu, mtu unaona maji yanapita kwa kasi, na ni hatari kwanini wasisubiri maji yapungue?? Kwani wasipoenda kwenye mahafali huyo mtoto atadhurika??Uzembe wa madereva wa bongo ni zaidi ya uzembe; utasema akili zao zipo matakoni. Sio kila kitu mnawarushia polisi, nao ni binadamu na wana familia zinazowategemea, na nyie wenyewe madereva muwajibike ...Miafrika ndivyo ilivyo.Inasikitisha mno kwa ajali kama hii ambayo ingeweza kuzuilika,ila RPC &RTO wa mkoa huu hii ajali ni uzembe wenu, why hamkuweka kizuizi pale ili kuhakikisha hakuna gari inayopita pale?,why hamkutuma traffic officer's ili waweke road block pale?,na msinijibu kuwa hakuna officer's wa kutosha, juzi kati nilihesabu check points kati ya Dar na Moro, na maafisa wanaozisimamia, 15checkbpoints, 30officials!! hii ni craze
Tujifunze kutegemea akili zetu kwanza kabla ya kuanza kutegemea akili za viongozi kama rpc na rtoInasikitisha mno kwa ajali kama hii ambayo ingeweza kuzuilika,ila RPC &RTO wa mkoa huu hii ajali ni uzembe wenu, why hamkuweka kizuizi pale ili kuhakikisha hakuna gari inayopita pale?,why hamkutuma traffic officer's ili waweke road block pale?,na msinijibu kuwa hakuna officer's wa kutosha, juzi kati nilihesabu check points kati ya Dar na Moro, na maafisa wanaozisimamia, 15checkbpoints, 30officials!! hii ni craze
Traffic wengi wa Arusha na Moshi Huwa wako busy na rushwa tu hata ka huna kosa lazima utoe tu, so hi mvua inaonyesha hawakutoka
Mi siku hiyo ndg yangu alinialika nikale pilau la Eid Nyumbani kwake,na mvua ilkua kubwa sana,nikachomoa kutoka home na familia, na wife akauungulumisha pilau letu Nyumbani! Somo! "Tujifunze kusoma alama za nyakati pia japokua kuna majukumu yanatakiwa yafanyike"!!Wangeghairi tu yale maji unaona kabisa yalikua na nguvu kiasi huwezi kuvuka pale.
Anyway mungu awalaze wanapostahili.
Pumba tupu...hapo ni uzembe wa dereva tu. Wangekatisha hio safari tu, kwani kukosa mahafali ni dhambi.Nimeona niingilie kutoa mawazo yangu.
Tusiwalaumu hawa waliokumbwa na mkasa huu kuwa ni wazembe kwa sababu zifuatazo
1.Noa ni gari ambalo uzito wake sio mkubwa
2.Noa sehemu kubwa ni uwazi kama vile boti lilivo au tuseme ngalawa
3.Huenda upepo kwenye matairi ulikuwa umejaa ipasavyo
4.Kama matairi aliweka hewa ya Nitrogen
5.Yeye alikuwa anaangalia magari yaliyokuwa yamemtangulia yamepita kwanini yeye asipite?
UDADAVUZI
1.Uzito wa gari ukiwa mdogo halina uwezo wa kujikita chini vizuri
2.Kitu chochote kikiwa na uwazi ni rahisi kuelea na ndio maana shillingi inazama meli haizami hii ni fizikia sasa
3.Upepo unavyokuwa mwingi ndio uwezo wa ku elea unaongezeka kumbukeni hata meli inapotengenezwa nchi kavu wanapotaka kuungiza majini wanajaza upepo matube makubwa kama ya gari kuifanya ielee
4.Specific gravity ya Nitrogen ni ndogo kuliko ya air
5.Kila gari lina uzito wake mfano magari ya 4Wheel yana himili hii hali na pia malori hasa yenye mizigo au mabasi sasa yenye alikuwa anashindanisha kipanya chake na wenzake.
Watu wanalaumu ajali ya Handeni hawa walipita daraja likakatika
By the way rest in peace
Usilaumu kuwa ni wazembe sio kila mtu anajua fizikia
Why ? Tujuze zaidiUnapopita juu ya maji hakikisha unapunguza upepo kwenye magurudumu
Ndiyo wa kulaumiwa ni serikali.maana miundombinu mibovu ya kuyaelekeza maji sehemu isiyohatarisha maisha ya watu.pia RTO alikuwa wapi kuzuia hiyo njiaHapo italaumiwa Serikali ,siasa za upinzani ngumu sana