Arusha jiji wajengewa hospitali ya kwanza yenye hadhi ya Jiji ya kisasa EAC, Watali sasa kutibiwa Tanzania badala ya Kenya

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

Tunajivunia kutibu wageni kabla hatujawafikiria wetu, by the way huenda kukaibuka magonjwa maalumu
 

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

Ni jambo jema
 
Ata akili huna.myezi 6 hata jengo la madalasa 2 halija kamilika unasema ana zindua miladi yake ikiwemo HOspitali sema ana zindua miladi ya mwana ume washoka jpm
Miezi sita mbona mingi sana mkuu,
Hili ni zao Lake kama walivyosema
 
Sema Wana eneo kubwa wakipata msaada zaidi watakuwa vizuri zaidi

Unaishi Arusha halafu unatumia wana, wakipata kwani wewe huusiki na miradi ya maendeleo ndani ya halmashauri unayoishi?

Hospitali ni mpya hiyo, mapato ya ndani ya almashahuri ndo yameijenga na sasa serikali inakwenda kuweka mkono hapo.

TUIPENDE NCHI YETU.
 
Hivi kweli 2.5B hospitali inaweza kuwa na viwango ulivyo visema? labda kama hujui hesabu au ujui vitu vinavyo itwa vya viwango... hospitali ya B 2.5 NI LEVEL ya kata kabisa si viwango vya kutibu watalii... leo nimeanza kuamini unaletaga habari za uongo....
Hebu tujuze hii hospitali imeanza kujengwa lini hii? unafikiri hatuifahamu hii hospitali? hiyo ni moja ya hospitali ya hovyo kuanzia huduma hadi kila kitu.... unaandika kwakuwa umepewa picha na habari za kuandika... waulize walio wai fika hapo.

Ziarani leo mama kafurahishwa na jitihada za halmashauri ya jiji kwa ujenzi wa hospitali kwa fedha zao za ndani, na yeye kaamua ataweka bilioni zetu hapo ili wanaarusha wapate hospitali ya kisasa yenye hadhi.
 

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

Cha maana ni kuboresha huduma

Otherwise watalii Bado wataenda Kenya
 
Baada ya samia kuwa raisi, maana ingekuwa imeanza kipindi cha jiwe na alivyokuwa anapenda sifa angeitumia hiyo hopspital kutunanga. hata wakati wa kampeini hakuiongelea ndio ujue haikuwepo
Hapana mkuu
Hii hospital imejengwa kuanzia 2018, jengo la nyuma wamemalizia this year... Mimi tang wanaanza kujenga nlikuwa hapo

Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
 

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
2.5 bil? Ina maana imezidiwa hata na hospitali za wilaya!

Tuna safari ndefu sana
 
Acha kudanganya watu Hospital haina hivyo viwango hata robo.

Kasoro kubwa kabisa ni matumizi ya kiwanja.Kiwanja ni kikubwa mpangilio wa majengo mbovu.

Majengo mawili tu ya ghorofa moja ni matumizi mabaya ya ardhi.

Hospital haina vifaa wala madaktari,kifupi leo nimejifunza kitu kikubwa taarifa nyingi za Serekali zimejaa mbwembwe tu hakuna uhalisia.
Yani ndio umejifunza leo? Unakumbuka magu alipitisha sheria ya kuzuia mtu kukosoa data za serikali?
 

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA



2.5B haitoshi kujenga hospitali ya standard za kifaita iwe na lift za wagojwa na machine🤔. Kama wapo serious inabidi watoe ths 50B- 70 B ya wilaya kumbe 😂
 
Acha uongo hospital haijaanza kufanya kazi bado, kwa hiyo madakatari wakae tu hapo bure, subiri ifunguliwe ndo uanze lawama, dah watanzania puuuh,!!!
Hospital ilishaanza kazi tangu January mwaka huu,nimefika pale mara kadhaa,usiseme usichokujua
 
Back
Top Bottom