Arusha jiji wajengewa hospitali ya kwanza yenye hadhi ya Jiji ya kisasa EAC, Watali sasa kutibiwa Tanzania badala ya Kenya

hiyo unayosema hospitali kubwa kuliko sijui EA yote wewe utakuwa huna akili...hiyo ni hospitali ya kuongea ?!!...aisee sifa za kijinga sn hicho kizahanati cha hpo engutoto ndio unawandngny ambao wapo mbali na arusha as if watu hawana macho
 
Hivi kweli 2.5B hospitali inaweza kuwa na viwango ulivyo visema? labda kama hujui hesabu au ujui vitu vinavyo itwa vya viwango... hospitali ya B 2.5 NI LEVEL ya kata kabisa si viwango vya kutibu watalii... leo nimeanza kuamini unaletaga habari za uongo....
Hebu tujuze hii hospitali imeanza kujengwa lini hii? unafikiri hatuifahamu hii hospitali? hiyo ni moja ya hospitali ya hovyo kuanzia huduma hadi kila kitu.... unaandika kwakuwa umepewa picha na habari za kuandika... waulize walio wai fika hapo.
Kuna watu wanaitwa lumumba buku 7, hawa kazi yao ni kusifia na kukata viuno kama wanawake!

Mleta mada ni mmoja wao usimshangae
 

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

CCM inogile
 
hiyo unayosema hospitali kubwa kuliko sijui EA yote wewe utakuwa huna akili...hiyo ni hospitali ya kuongea ?!!...aisee sifa za kijinga sn hicho kizahanati cha hpo engutoto ndio unawandngny ambao wapo mbali na arusha as if watu hawana macho
Khaaa
 

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Hivi hizo pesa mnazoimba Samia katoa ,Samia katoa, anatoa mfukoni mwake au ni mikopo ambayo walipa kodi watailipa ? Kuweni na wakweli kwa watanzania, nadhani si wakati wa kuwaongoza watu kwa kumwambia uongo. Muigopeni Mungu
 

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Hosp imejengwa kitambo na inafanya kazi toka 2019
 

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA
Kwani imeanza kujengwa lini hiyo hosputak??
 

Rais Samia Suluhu Hassan aanza kuzindua miradi ya awamu yake, Mmoja kati yake ni Hospitali ya kisasa ya 2.5bl.​



Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anazindua mradi mkubwa wa Hosptali ya kwanza ya Jiji iliyopo maeneo ya Njiro Jijini humo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 2.5 hadi kukamilika fedha zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita,

Kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea watanzania maendeleo inasisimua tukiwa na kumbukubu ya Tshs 1.3trilioni alizozigawa hivi majuzi ambazo zitafanya yafuatayo Kujenga madarasa mapya 15,000 ya sekondari,Kujenga madarasa 3,000 shule za msingi shikizi,Kutengeneza madawati 462,795,Kumalizia vyuo vya VETA 32, Magari 25 ya kuchimba visima vya maji,Mitambo 5 ya kujenga mabwawa ya maji,Kujenga ICU 72,Magari ya wagongwa (Ambulance) 395 na ya chanjo 214,Mifumo ya Oxygen hospitali 82,Mitungi ya gesi 4,640,Mitambo ya kuzalisha hewa ya Oksijeni 40,Vitanda vya wagonjwa 2,700,Xray za kisasa 85,CT- Scan 29,MRI hospitali zote za kanda nawahakikishia hakuna atakayekuja kuvunja rekodi hii kwa miaka ya karibuni,

ARUSHA YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Hiyo hospital haina hata madaktari mie naishi hapa container njiro umeandika vitu vingine vya uongo. Haiwezekani Ikawa hospital kubwa east Africa kwa kulinganisha hospital zote. Inazidiwa hata na Ile st Joseph iliyopo pale sakina. Sema Wana eneo kubwa wakipata msaada zaidi watakuwa vizuri zaidi
Kila mitu kina mwanzo bro jifunze kuthamini vitu vyetu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Imeanza kujengwa mwezi July mwaka huu baada ya bajeti ya 2021/22 kupitishwa? Maana hiyo ndiyo bajeti ya kwanza ya serikali ya awamu ya 6!
 
Back
Top Bottom