Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,202
- 42,061
Sidhani kama umemuelewa uliye mnukuu..Hii awamu watu walipiga sana pesa
Sasa ndio tunaona value for money
Hivi hospitali ya mlonganzila unaweza fananisha na hiyo hospitali ya kata ya 2.5 B ? kweli? hivi kweli wewe unajua maana ya hospitali kweli?