Aache uongo....View attachment 2925116
"Uchaguzi mwaka huu na mwaka ujao utakuwa wa huru na wa haki, wakati nazungumza hivi nina hakika wapo ambao wana mashaka na kauli hii, na hao wenye mashaka wanazo sababu, na sababu zao zinatokana na 2019 na 2020 huo ndio ukweli"
"Sheria tuliyokuwa nayo ya uchaguzi ambayo ilitupeleka kwenye uchaguzi wa 2015 iliwezesha wanachama kutoka upinzani 117 kuingia bungeni, sheria hiyo hiyo iliwezesha karibu asilimia 40 ya madiwani kuingia kwenye nafasi za halmashauri, tulipokuja 2020... msema kweli lazima tuseme kweli"
"Hofu ya watanzania hofu ya wenzangu vyama vya siasa, asasi za kiraia, baadhi ya viongozi wa dini, msingi wa hofu yao ni yale yaliyotokea 2019/2020. Niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan ameamua uchaguzi mwaka huu na mwakani mtaachwa wapiga uamuzi wao utoe tafsiri ya uchaguzi" - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa.
Chanzo: EATV
Jamaa lengo lao tukate tamaa, mimi big no nitapiga ili wajue kuwa sikuwachagua hata kidogoYaani mimi kupiga kura tena kwa Tanzania hii sijui ...
Watu wengi wamekata tamaa kusimama kwenye foleni muda mrefu huku mnasikia viongozi wakubwa wakisema... 'Mpige kura msipige CCM ndiye mshindi'
Kinana bado sijaamini kauli yake
Tuanze na tembo kuadimika kitaaMwizi anapokuambia sitokuibia tena..
Saizi dingi yupo busy na tembo haya mengine hayamhusu kabisa, huku kwetu wameanza kuadimikaWanasiasa ndio hamuaminiani 😄
Kwani 2015 Goli la mkono hakuwemo?
Si ndio hapo Sasa, yaani anategemea watu waamini kauli za mdomoni huku hawataki tume huru ya uchaguzi? Yaani bado anataka watu washiriki uchaguzi kisha watoe nafasi mbili tatu za hadaa kuonyesha kuwa Kuna uchaguzi huru. Wawape ACT maana hao ndio hiyo wanaamini kwenye mbeleko ya ccm.Aache maneno matupu mbona amegomea Tume Huru na Katiba Mpya?
kuzira na kususa hakutasaidia wala kubadili chochote....Sheria za Uchaguzi ndio za kubadili , hatuwezi kuingizwa kingi kwa kauli za Kinana , Mwenye Tuhuma za kuiba kura 2015 , Akiongoza ofisi ya Masaki .
Nani amesahau ?
CCM WAKIKUAMBIA KUMEKUCHA USIAMIMI TOKA KWANZA UKACHUNGULIEView attachment 2925116
"Uchaguzi mwaka huu na mwaka ujao utakuwa wa huru na wa haki, wakati nazungumza hivi nina hakika wapo ambao wana mashaka na kauli hii, na hao wenye mashaka wanazo sababu, na sababu zao zinatokana na 2019 na 2020 huo ndio ukweli"
"Sheria tuliyokuwa nayo ya uchaguzi ambayo ilitupeleka kwenye uchaguzi wa 2015 iliwezesha wanachama kutoka upinzani 117 kuingia bungeni, sheria hiyo hiyo iliwezesha karibu asilimia 40 ya madiwani kuingia kwenye nafasi za halmashauri, tulipokuja 2020... msema kweli lazima tuseme kweli"
"Hofu ya watanzania hofu ya wenzangu vyama vya siasa, asasi za kiraia, baadhi ya viongozi wa dini, msingi wa hofu yao ni yale yaliyotokea 2019/2020. Niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan ameamua uchaguzi mwaka huu na mwakani mtaachwa wapiga uamuzi wao utoe tafsiri ya uchaguzi" - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa.
Chanzo: EATV
THIS IS NONSENSE!View attachment 2925116
"Uchaguzi mwaka huu na mwaka ujao utakuwa wa huru na wa haki, wakati nazungumza hivi nina hakika wapo ambao wana mashaka na kauli hii, na hao wenye mashaka wanazo sababu, na sababu zao zinatokana na 2019 na 2020 huo ndio ukweli"
"Sheria tuliyokuwa nayo ya uchaguzi ambayo ilitupeleka kwenye uchaguzi wa 2015 iliwezesha wanachama kutoka upinzani 117 kuingia bungeni, sheria hiyo hiyo iliwezesha karibu asilimia 40 ya madiwani kuingia kwenye nafasi za halmashauri, tulipokuja 2020... msema kweli lazima tuseme kweli"
"Hofu ya watanzania hofu ya wenzangu vyama vya siasa, asasi za kiraia, baadhi ya viongozi wa dini, msingi wa hofu yao ni yale yaliyotokea 2019/2020. Niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan ameamua uchaguzi mwaka huu na mwakani mtaachwa wapiga uamuzi wao utoe tafsiri ya uchaguzi" - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa.
Chanzo: EATV
Hatutakubali ujingakuzira na kususa hakutasaidia wala kubadili chochote....
ukiona hakuna haja kushiriki uchaguzu kaa kando na uwe mtulivu, acha watakaoshiriki wafanye hivyo kwa haki, uhuru na namani...
we watizame tu kwa tv...
ulofa hauna maana..Hatutakubali ujinga
Makamu Mwenyekiti wa CCM yangu anakiri tulibaka uchaguzi 2019/2020.View attachment 2925116
"Uchaguzi mwaka huu na mwaka ujao utakuwa wa huru na wa haki, wakati nazungumza hivi nina hakika wapo ambao wana mashaka na kauli hii, na hao wenye mashaka wanazo sababu, na sababu zao zinatokana na 2019 na 2020 huo ndio ukweli"
"Sheria tuliyokuwa nayo ya uchaguzi ambayo ilitupeleka kwenye uchaguzi wa 2015 iliwezesha wanachama kutoka upinzani 117 kuingia bungeni, sheria hiyo hiyo iliwezesha karibu asilimia 40 ya madiwani kuingia kwenye nafasi za halmashauri, tulipokuja 2020... msema kweli lazima tuseme kweli"
"Hofu ya watanzania hofu ya wenzangu vyama vya siasa, asasi za kiraia, baadhi ya viongozi wa dini, msingi wa hofu yao ni yale yaliyotokea 2019/2020. Niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan ameamua uchaguzi mwaka huu na mwakani mtaachwa wapiga uamuzi wao utoe tafsiri ya uchaguzi" - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa.
Chanzo: EATV
Mheshimiwa askari Kinana mimi sina shida na kauli yako huo ni wajibu wala haitaki shukurani.Sisi tunataka iwepo sheria ya kuwepo uchaguzi ulio huru na haki bila mkono wa mtu kutumia cheo au wadhifa kufanya kinyume.Pia tumeshuhudia mtu wa kawaida sana anaapishwa kulinda na kutetea katiba lakini anaenda kinyume,ndio maana tunataka kuondoa Mungu watu anzia kwenye chama chako ndio mvunjaji mkuu wa katiba kwa kiwango kikubwa.Lakini kama mna mapungufu ya upeo jaribu AI kama msaada.View attachment 2925116
"Uchaguzi mwaka huu na mwaka ujao utakuwa wa huru na wa haki, wakati nazungumza hivi nina hakika wapo ambao wana mashaka na kauli hii, na hao wenye mashaka wanazo sababu, na sababu zao zinatokana na 2019 na 2020 huo ndio ukweli"
"Sheria tuliyokuwa nayo ya uchaguzi ambayo ilitupeleka kwenye uchaguzi wa 2015 iliwezesha wanachama kutoka upinzani 117 kuingia bungeni, sheria hiyo hiyo iliwezesha karibu asilimia 40 ya madiwani kuingia kwenye nafasi za halmashauri, tulipokuja 2020... msema kweli lazima tuseme kweli"
"Hofu ya watanzania hofu ya wenzangu vyama vya siasa, asasi za kiraia, baadhi ya viongozi wa dini, msingi wa hofu yao ni yale yaliyotokea 2019/2020. Niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan ameamua uchaguzi mwaka huu na mwakani mtaachwa wapiga uamuzi wao utoe tafsiri ya uchaguzi" - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa.
Chanzo: EATV
Ukiambiwa CCM wanaiba kura unakomaza fuvu kisa buku 7, aliyeongea ukweli huu ni KM wa CCM, bisha tena.Kinana huwezi kuzungumzia ukosefu wa umeme kwenye viwanda, wewe ni uchaguzi tu? .kwa hiyo uchaguzi wa 2015 ulikuwa wa huru na haki mno?
Lowasa hakuibiwa kura?