Karibu wiki nzima bunge lilikuwa linajadili bajeti. Mbunge Zitto Kabwe hakuonekana bungeni hata siku moja kuchangia mawazo. Sasa kaibuka na comedy ya hotuba ya kuchambua bajeti YouTube. Kesho kaitisha press conference eti kufanya uchambuzi wa bajeti.
Hivi anajitambua? Mbunge uache shughuli nyeti...
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU MADA HII
Habari ndugu zangi ,
Kama kichwa kinavyouliza hapo , ningependa kujua ni kwa namna gani kupata subscribers wengi na viewers wengi kwenye you tube , kunaweza kukunufaisha mmiliki...
Tafadhali kama kuna mwenye majibu , ushuhuda, uzoefu au elimu yoyote...
Mtandao wa YouTube umejizolea umaarufu kwa kuwa kituo na jukwaa kuu la taarifa na burudani kwa njia ya picha mjongeo (Videos)
Aidha, kwa nyakati tofauti watumiaji wake wamekuwa wakikerwa na mlolongo wa matangazo kila wanapofuatilia ua kutazama video kupitia YouTube
Mbinu rahisi ya kuzia...
Leo wakati nataka kuchek Quarantine ya Diamond nikajikuta nashuhudia maajabu na rekodi mpya ambayo Diamond Platnumz ameivunja.
Tukio lake la kuweka rekodi hiyo limetokea dakika chache zilizopita. Diamond anafuatiwa na Millard ayo ambaye kwa sasa ana viewers M933 na huku King wa bongo Fuleva ana...
Mtandao maarufu wa kupanga charts za muziki duniani wa Billboard umeachia makala wakielezea namna ya kupata mafanikio kimataifa kwa kutumia mtandao wa Youtube huku wakimtolea mfano star wa muziki wa Tanzania @Diamondplatnumz
Makala hiyo imeandikwa "Wanamuziki wa Marekani wanatafuta njia za...
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza nahitaji software ya kushushia video kwenye Youtube kwenye Macbook, ikiwa zipo zeye funguo tafadhali nishushie na funguo zake
Rais Donald Trump wa Marekani jana Alhamisi alisaini Amri ya Utendaji (Executive Order on Preventing Online Censorship) inayolenga kuongeza uwezo wa serikali kusimamia na kuibana mitandao ya kijamii. Amri hiyo inalenga kampuni zilizopewa ulinzi wa kisheria kupitia kifungu cha 230 cha Sheria ya...
Naomba nisiwe Mnafiki YouTube sio kipimo cha muziki Mzuri.
Naona watu kila siku wanalilia views kuliko kurequest ngoma kweny TV na radio .
Nyimbo ikifanikiwa kupenya kwenye radio za bongo na nje , pia na Television hapo hata sisi tusiokuwa na smart phone nyimbo Tutailewa ...na msanii atapata...
Ninaweka kama kumbukumbu tu !!
Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!!
Wakuu,
Naomba kujuzwa kuhusu sheria iliyowekwa hapa Tanzania ya kupost content kwenye youtube channel. Je, ni content za aina gani ambazo zinapaswa kulipiwa hiyo tshs 1,000,000 au labda ni channel yoyote ile mradi tu unafungua youtube?
Hii ni njia mbaya kabisa ya kuzuia vijana kujipatia...
Salamu wakuu,
Muwekezaji au mshirika anahitajika kwenye biashara ya televisheni mtandaoni kwenye jukwaa la YouTube.
Kituo kipo tayari chenye watazamaji zaidi ya laki moja na nusu waliojiandikisha.
Kinachohitajika
1. Uzalishaji wa maudhui -Vifaa na nguvu kazi
2. Leseni ya Mamlaka ya mawasiliano...
Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz aweka record ya kuwa most African artist mwenye subcribers wengi baada ya kufikisha million 3 na hii imefanya uongozi wa YouTube kumpa certificate Kama zawadi.
Nampa pongezi kijana wa Tandale wazungu wanamsemo "Work hard pay off"
=====
UPDATED: July 2021
This wikiHow teaches you how to download YouTube videos to your computer, phone, or tablet. Keep in mind that while downloading most YouTube videos isn't illegal, it does violate Google's terms of service if you use third-party tools.
Using VLC Player on a Computer
1...
Tanzanians on social media have reacted differently after Harmonize's hit song 'Uno' was deleted from YouTube.
On Wednesday, largest video sharing platform in the world, YouTube, pulled down Harmonize's song after Kenyan producer Magix Enga alleged he was the originator of the song's beats...
Platform ya Youtube ikitumika vizuri, inaweza kuwa full time job kabisa. Kwa wenzetu Marekani, Uingereza na hata barani Asia, hii (vlogging na blogging) ni kazi mtu kajiajiri kabisa na inalipa vizri sana endapo tu utakuwa serious na namba zako yaani subscribers na views zitakuwa zimeshiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.