USHAHIDI: Kumbe Wasafi wanaboost YouTube Channels zao kupata views. Sijui tambo huwa zinatoka wapi wakati siyo natural trending !!!

Mkaruka

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
19,617
34,062
Ninaweka kama kumbukumbu tu !!

Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!!
 

Attachments

  • ZUCHU.JPG
    ZUCHU.JPG
    51.9 KB · Views: 9
Ni wengi tu wanaboost lakini hawapati views, hadi view ihasabike inabidi nivutiwe na kile kilichotangazwa niminye ili niicheki video YouTube, bila hivyo hakuna views itahesabika hapo.mfano hapo mtu akiminya "skip ads" hakuna view hapo ila Huyu chiriku anataka ionekane kwamba hapo tayari view imehesabika
.
Kama mnadhani rahisi igeni muone
 
Mkaruka,
Wewe ni cha upepo mkuu, unapocheza mchezo lengo ni kushinda, yaani mtu aandae tangazo alafu ajisifie hajatumia kiasi chochote kwasababu hajapata walioclick tangazo lake ili waicheki video yake YouTube!! Huo ni undava.

Kwa ufupi vuta stuli nkupige msasa jinsi ads zinavyofanya kazi mkuu, unapotangaza video yako kupitia facebook basi inaweza kupenya mpaka Instagram kwahio inashauriwa utumie hii, mfano wakicheki watu idadi flani video unalipia kiasi Fulani (cost per click), kama hakuna ataecheki basi video hio hakuna anataka kuicheki na hukatwi kitu ila hapo ukalime tu maana huwezi kumshawishi mtu apende hata kucheki video yako YouTube .

Kwa diamond alivyo mjanja akaona hivi vifaa vimeletwa kwajili ya kumarket, kujibrand, n.k sasa kwanini asivitumie???? Mfano anaweza akatangaza video yake Brazil ikapendwa na akapata mashabiki wapya, anaweza kutangaza video yake ya jeje kwa nchi kama uingereza kwa wasichana vijana na akapata mashabiki wapya, hii kitu imemsaidia sana diamond kuwa msanii mwenye mashabiki wengi zaidi na hata kuongoza kwa subscribers afrika nzima na hata views (sio zile feki kama za yule)

Cha ajabu wasanii baadhi wamebaki wanang'aa ng'aa sharubu eti diamond ananunua views eti kwajili an a promote video zake Facebook na Instagram, yani hawajui bado utofauti wa kununua views njia ambayo sio halali na kupromote video ili ipate views njia ambayo ni halali.

Leo hii yope INA views milioni 70 huko kwasababu diamond anajua kujibrand kama msanii wa kimataifa, yani hope remix imeifunika hata original kwasababu diamond kagusia, na ni mkali wa marketing.

PITIA >> NANG'OA MZIZI WA FITNA KUHUSU VIEWS, JIFUNZE MWENYEWE KUPATA VIEWS HALALI NA FEKI PAMOJA NA MADHARA. - JamiiForums
 
Ni wengi tu wanaboost lakini hawapati views, hadi view ihasabike inabidi nivutiwe na kile kilichotangazwa niminye ili niicheki video YouTube, bila hivyo hakuna views itahesabika hapo.mfano hapo mtu akiminya "skip ads" hakuna view hapo ila Huyu chiriku anataka ionekane kwamba hapo tayari view imehesabika
.
Kama mnadhani rahisi igeni muone
Kama mimi hizo ads uwa sina time nazo naziskip tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimetoa facts wewe unabwabwaja, nyie ndio aina ya wale wajinga mnaosingizia eti views zinarogwa

Yani lengo la uzi huu ni kupotosha watu kwamba diamond anacheza mchezo mchafu wa kununua views kitu ambacho si kweli, aliejaribu huu upuuzi labda ni msanii ambae alijiona mjanja kuliko YouTube akanunua views za China video unapiga views milioni ila zikashuka hadi laki saba baada ya kitu cha mchujo

Badilisha hio "kuboost" iwe "kupromote" soko lolote ili ufanikiwe inabidi uzingatie mno p 4 muhimu (wasomi wenzangu tuliosoma biashara wananielew)
1.Product- hii ni bidhaa, bidhaa inabidi iwe na nakshi, ivutie, ilinndwe, landing, labelling, copyrights,n.k hapa nazungumzia mziki, shooting zenye kiwango, collabo na kina Innis b, n.k

2.place- hii ni location ya kulenga bidhaa yako, huwezi kuuza uji bar, huwezi kuuza hiphop kanisani, Diamond kaweza hapa, naona kwenye mapenzi ndo penyewe na analemga mle mle.

3.price- bidhaa inabidi iwe na bei katika strategy maalum, diamond kumkodisba nadhani sitakaa kuongea mengi maana alishasema show zake uandae kiasi Fulani, hiki kitu ni muhimu,

4.Promotion - hapa ndo wengi wanapasahaugi, biashara ya mziki ni kama biashara nyingine na unaweza ukafilisika ukashindwa kulipia hata maproducer, Leo hii diamond kajipromote kwenye mipaka hadi ya Congo, ulaya, marekani n.k kwa mbinu kama collabo na muhimu kuliko vyote kupitia social networks pamoja na kupromote video zake watu wa huko nje wazi cheki, sasa hii sio bure inahitaji pesa kibao kupromote video zako nje ya nchi ila jamaa alijipinda na Leo hii hata yope ina hit kuliko ile original kwasababu ya promotion.

Uje na facts kama huna vua chupi kaa pembeni
nawewe unaandika point,ila inapofikia unaanza wamawazo ya kiswahili kwamba kuna mtu ananunua views ndipo unapoonekana ndezi tu kama wengine.

mtetee mond kisomi usiwe kama mjinga fulani tu anayeongozwa na mahaba.

hili swala la views kupanda na kushuka liko juu ya elimu na ufahamu wa wengi ukiwamo wewe,ndio maana unaandika upupu hapa.hata mond mwenyewe hafurahishwi na mashabiki design yako maana anajua mnamjazia inzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nawewe unaandika point,ila inapofikia unaanza wamawazo ya kiswahili kwamba kuna mtu ananunua views ndipo unapoonekana ndezi tu kama wengine.

mtetee mond kisomi usiwe kama mjinga fulani tu anayeongozwa na mahaba.

hili swala la views kupanda na kushuka liko juu ya elimu na ufahamu wa wengi ukiwamo wewe,ndio maana unaandika upupu hapa.hata mond mwenyewe hafurahishwi na mashabiki design yako maana anajua mnamjazia inzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye kaandika anachojua, wewe umeandika mipasho nani ndezi hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha ajabu wasanii baadhi wamebaki wanang'aa ng'aa sharubu eti diamond ananunua views eti kwajili an a promote video zake Facebook na Instagram, yani hawajui bado utofauti wa kununua views njia ambayo sio halali na kupromote video ili ipate views njia ambayo ni halali.

Leo hii yope INA views milioni 70 huko kwasababu diamond anajua kujibrand kama msanii wa kimataifa, yani hope remix imeifunika hata original kwasababu diamond kagusia, na ni mkali wa marketing.
Darasa tosha kabisa hili, na wasanii wengine wanapaswa kujua ngoma inachezwa vipi ili waweze kutoboa kwenye platforms mbali mbali, Mwenzao Harmo kwa kiasi kikubwa amejifunza na anafanyia kazi kwa juhudi kile alichojifunza usafini.
 
Ninaweka kama kumbukumbu tu !!

Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!!
YouTube siyo wajinga ukifanya michezo isiyo halali eventually watafuta hizo views na saa nyinge uwa wanaweza funga hiyo account kwa muda. Wauzaji wa views mara nyingi wanatumia Bots na youTube algorithm inaweza kuzitambua.

Halafu uwa nashangaa nikisikia watu wanaponda eti wasafi wanalipia promo za nyimbo zao sijui insta sijui wapi, yes wimbo inabidi ufanyiwe promo ile ni biashara na biashara matangazo hawaimbi kuwafurahisha watu au kuprove eti wao ni bora bila kufanya juhudi, na hilo ndilo linamtofautisha diamond na wasanii wengi wanaoishi zama za zamani wakati tuko 2020
 
Back
Top Bottom