Muda huu naangalia ACT-Wazalendo wako kila sehemu Live YouTube. CHADEMA hakuna kitu. Clips fupi fupii na za hovyo. Na hata Jana ilikuwa hivyo hivyo Arusha. Wiki iliyopita, Mbagala na Segerea same.
Mimi CCM lakini napenda kumuona Lissu, na ntampigia Kura.
CHADEMA ni chama kikubwa, badilikeni. Hakuwezi kushindwa kufanya Live Broadcast YouTube na mkiendelea hivi. CCM itatumia huu mwanya kuwavuruga na hamtaamini
Mimi CCM lakini napenda kumuona Lissu, na ntampigia Kura.
CHADEMA ni chama kikubwa, badilikeni. Hakuwezi kushindwa kufanya Live Broadcast YouTube na mkiendelea hivi. CCM itatumia huu mwanya kuwavuruga na hamtaamini