Nimeona ni share hii Hadith yangu fupi ya utotoni.
Nilipo kuwa mdogo, miaka karibu 4–5, nilienda na watoto wenzangu kuogelea mtoni. Tulivua nguo kama kawaida. Mimi, kwa udogo wangu, sikuwahi kuogelea, hivyo nilichezea pembezoni mwa maji machache.
Wenzangu waliniita: “Njoo hapa, sio kirefu!”...