yangu

Dragon Quest: Young Yangus and the Mysterious Dungeon is a prequel and spin-off to Dragon Quest VIII, developed by Cavia and published by Square Enix as part of the Mystery Dungeon series.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Natafuta mdada ambaye jimbo lipo wazi mwenye lifestyle kama hii yangu

    Habari wakuu, About Umri wangu 25, location dar maeneo ya airport, nipo single sina mtoto, mrefu kiasi, mwembamba kiasi, sio mweupe au mweusi, na najitambua. mimi nime jiajiri kwenye masuala ya programming developer. Sio mlevii na situmii vitu kama bangi, mimi ni mkristo lakini sina kanisa...
  2. Waufukweni

    Chid Benz: Nilikuwa nawaza siku ifike Mama yangu aone situmii unga

    Rapa Chid Benz ameongea kwa hisia sana kuhusu familia yake, akisema, "Nilikuwa nawaza siku ifike mama yangu aone situmii tena unga" na aliposaidiwa aliona kama ametua mzigo mzito.
  3. Heritage123

    Jinsi nilivyogundua machimbo yaliyofichwa Kariakoo na kuanza biashara yangu bila kuwa na stoki, duka wala gharama

    “Kariakoo sio soko. Ni vita ya akili. Wachache wanaotoka na faida ni wale wanaojua wapi pa kuchimba.” — Sehemu ya maneno niliyosikia kwa fundi mmoja nikiwa nimepotea Kariakoo mwaka 2019. KILICHONIKUTA SIKU YA KWANZA KARIAKOO Mwaka 2019 nilikuwa na wazo tu la biashara — kuuza viatu mtandaoni...
  4. Mshana Jr

    Hofu ya babu yangu

    Kumbukizi ya picha.. Reflection ya wakati tulionao.. Tafakuri ya yanayotokea Tanganyika.. Simanzi ya yajayo🤔🥺
  5. Dr Luu

    Nilinusurika Kifo – Hadithi Yangu ya Kuogelea

    Nimeona ni share hii Hadith yangu fupi ya utotoni. Nilipo kuwa mdogo, miaka karibu 4–5, nilienda na watoto wenzangu kuogelea mtoni. Tulivua nguo kama kawaida. Mimi, kwa udogo wangu, sikuwahi kuogelea, hivyo nilichezea pembezoni mwa maji machache. Wenzangu waliniita: “Njoo hapa, sio kirefu!”...
  6. amarina

    Serikali yangu sikivu nihurumieni Mimi Mwalimu Sina nguvu za kumtikia CWT

    Tangu niingie kwenye hii fani nashangaa tu Kila ninapopanda daraja CWT hata simjui Hata juzi mama alivyoniwekea kiasi nilifurahi ila namkuta huyu CWT akikamua tena
  7. SuperEnthusiasis

    Nimeamua kutumia mbinu hii kukwepa kodi na tozo kwa biashara yangu mpya.

    HAbari zenu wakuu. Binafsi nataka nimfungulie mama watoto biashara, basi nikatarget sehemu fulani kwa ajili ya biashara hiyo. katika kufanya maulizo ya hapa na pale nikaambiwa natakiwa niwe na kama milioni nane(8) ili niweze kumvua mtu fremu, bado tra, pia kodi ya hiyo fremu ni 300k kwa mwezi...
  8. Think2

    Timu yangu bora ya CHAN 2024 ni Madagascar

    Pamoja na kushinda kutwaa kombe la CHAN24 Madagascar inasalia kuwa timu yenye upambanaji mkubwa sana. Hata lile goli la tatu nahisi refa hakufanya maamuzi baada ya mchezaji wa madagascar kusikumwa chini refa hakupuliza kipyenga. Taifa stars nimeseme ukweli mlibahatisha tu kuwafunga madagascar...
  9. R

    Mama yangu, why waste time and Money? Unashindana na nani?

    Just for curiosity! Kwa status yako kusikia kuwa unashindana na DP, Chaumma, TLP and the like ni kujishushia hadhi! Ilinganishe na Albert Einstein kushindana na mtoto wa form six katika kuifafanua E=MC2
  10. Stability

    Wakuu, namna gani naweza kurecover namba nilizofuta katika call log yangu?

    Karibuni. Simu ni android, pixel 5
  11. O

    Akili Yangu Inaniambia Yule alieko Jela anaenda Kuachiwa Hivi Karibun Ili Kuzima Aya magumu Aliyoyaongea Bw. Slowslow!

    Naam! nmeota hivyo leo Mchana kipindi nmepitiwa Usingizi Baada ya kushiba ugali wa mtama na nyama ya kuchoma apa Stendi ya Nyamhongolo Jijini Mwanza Nikiwa safarini kuelekea kumsindikiza mgombea mwenza! Ndoto yangu imenionesha hakuna namna nyingine ya kufukuza huu upepo tofaut hiyo ya...
  12. Fbn

    jamii forum kwa nini mumefuta dot tu dot mada yangu

    Wengine tunaweka ID sio kwamba mtufahamu rudisheni huu uzi
  13. I

    Jinsi Nilivyogeuza Kompyuta Yangu Kuwa Ngome ya Faragha (Privacy Fortress)

    Jinsi Nilivyogeuza Kompyuta Yangu Kuwa Ngome ya Faragha (Privacy Fortress) Kama wewe ni kama mimi, unaitumia kompyuta kila siku. Lakini kila mara nilikua nahisi kama kuna "jicho la siri" linaangalia nyuma yangu hata kama hakuna mtu Kwanguu au Ofisini Ukweli ni kwamba ? Hiyo si paranoia. Ni...
  14. Minjingu Jingu

    Mdogo wa Rafiki yangu ameingiziwa kitu kwenye account ili aende Mkutanoni Kawe

    Kwa kweli Mama mikumi tena. Dogo anasema Weekend kesho tutamtafute yeye kuanzia Biriani mpaka wale walevi Mkojo wa Shetani. Mimi allahamdulilah sinywi vitu kharamu ila najua kaka yake mjaa laana kesho atakunywa sana. Naambiwa mapolisi walio mafunzo pia wamepewa nguo za kiraia na kuingiziwa...
  15. LiFe 2-point-0

    Mfumo (software) Kusomana na NMB account

    Wakuu na wadau wa jukwaa hili la Tech habari ya majukumu? Kama mdau mwenzenu kwenye upande huu nimekuja kuomba kusaidiwa namna naweza pata mwongozo. Nimekutana na challenge ambayo katika software wateja wangu wanatumia, kunahitajika namna ya kuweza kuona malipo yanayofanyika kwenye account moja...
  16. Samia atosha tukutane2030

    Maoni yangu binafsi: Watanzania waache kelele. Wanapigania vitu vidogo ambavyo walipaswa wapiganie watoto wa STD 2.

    Nje ya mada: Katika waliopiga kura za maoni ndani ya CCM kumteua mgombea Gwajima alikuwa miongoni mwao naye alimpa kura Rais Samia. Maana Samia alipata 100% Gwajima na wajumbe wengine hakuna aliyelalamika kura zao kuibiwa au kupotea. Wote walitiki. Leo hii Watanganyika wajinga wanamwona Gwajima...
  17. nipo online

    wizi wa baiskel yangu nimeambiwa nikitoa taarifa polisi nitatimua nyuki

    kumekua na maoni mseto juu ya wizi wa baiskel yangu, iliibiwa juzi usiku, jirani wanasema nitoe taarifa polisi ni kachukue RB, lakini wengine wanasema iwapo nitamsweka ndani wenzie wataniundia tume, kwani nitakua nimechafua hali ya hewa. Badala yake nimuombe jamaa arudishe kiroho Safi, ila...
  18. ELI COHEN

    Rai yangu ni picha za majeruhi hoi na kukatwa viungo kutokana na ajali za boda zisambazwe kwa hawa madereva boda boda labda wanaweza kubadirika.

    Yani boda boda na kujitoa ufahamu..:👇🏻
  19. U

    Ndugu yangu Acha kusema Repeat again what you said ! tulia na useme Repeat what you said ndiyo utakuwa sahihi na kimombo!

    Wadau Repeat again sio sawa kabisa jihadhari na lugha za wakubwa duniani jifunze taratibu na usijaribu kutafsiri native language yako kwenda kimombo sio sawa kabisa
  20. Melki Wamatukio

    Leo ni Birthday yangu, miaka 25 sina mtoto wala uelekeo wa maisha

    Nilikuwa sina hili wala lile, ghafla sms kutoka Voda ikaingia kwa simu na kunikumbusha kuwa leo ni Bday yangu Kwa furaha nikatoka ndani ya chumba changu na kusimama nje ya nyumba ya Mzee Matula, nikapiga kelele kwa sauti kuu "Happy Birthdaaaaay to meeeee". Ile kugeuka nyuma nashangaa majirani...
Back
Top Bottom