dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,754
- 18,776
Imepita muda huyu bwan mdogo hajinipea chchote wala kuchanagia chochot yey Yuko busy na kaz na maujenzi yake ila Leo bin fuu tumejikuta tuko mkoa mmoja na yye Yuko likizo hapn mkoni .... Kwamba ameamua kuwepo hap mkoani nilipo ili akamiloshe miradi yake
Bas nikiwa kanisani nikipata mahubiri ya pastor wangu mchungaji ,reverent paster subila kijan mahiri San huyu Leo alitoa neno Kali sna na mahubiri yalinoga sna bas simu ikaita nikajiukiza dogo ana shida gani nikamtext Niko kwa kanisa nimbie"* akatulia bas nikamaliza ibad hyu Niko mboriko kupata mboriko ya ndiz
Nikamchek akasema ... Nimekuachia 20 hapo mezani utakuja kuchukuwa midaa
Sas najiuliza dogo Leo ameamua kutoa sadak nn
Anyway Niko nimetulia sehemu moja hv tulivu sna nikisherkeaa ufufuo
Bwan yesu amefufuka kweli kweli hadi mm nimekumbukwa na 20 k
Bwana yesu asifiwe snaa
Bas nikiwa kanisani nikipata mahubiri ya pastor wangu mchungaji ,reverent paster subila kijan mahiri San huyu Leo alitoa neno Kali sna na mahubiri yalinoga sna bas simu ikaita nikajiukiza dogo ana shida gani nikamtext Niko kwa kanisa nimbie"* akatulia bas nikamaliza ibad hyu Niko mboriko kupata mboriko ya ndiz
Nikamchek akasema ... Nimekuachia 20 hapo mezani utakuja kuchukuwa midaa
Sas najiuliza dogo Leo ameamua kutoa sadak nn
Anyway Niko nimetulia sehemu moja hv tulivu sna nikisherkeaa ufufuo
Bwan yesu amefufuka kweli kweli hadi mm nimekumbukwa na 20 k
Bwana yesu asifiwe snaa