yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. aka2030

    Kwa kasi hii ya uwekezaji, je GSM anaitaka Yanga SC?

    Hebu tujadiri hili swala GSM naona anamwaga sana pesa yanga kwenye kununua wachezaji na hata motisha timu kila inaposhinda je ni kwa kuwa ni mdhamini ama kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia? Nakumbuka GSM kuna kipindi alitaka kuinunua African Lyon bahati mbaya ikashuka daraja sasa naona nguvu...
  2. R

    Wizi mkubwa mechi ya Simba na Yanga

    Mechi hii iliyofanyika Jumamosi ilikuwa na matukio mengi ya uwanjani na nje ya uwanja lakini wakati washabiki wengi wakijikita kwenye mjadala wa penati ya Kagere kama ni halali au siyo halali na wengine kujikita kumjadili Aishi Manula juu ya magoli yaliyofungwa huku nje kabla ya kuingia kulikuwa...
  3. Kunguru Mjanja

    Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

    Wakati homa ya mchezo wa Watani wa Jadi, Simba na Yanga ikiendelea kupanda huku zikiwa zimebaki saa chache, Mashabiki na Wachezaji wa timu hizo wameendelea kutambiana kuibuka na ushindi Simba ambayo itakuwa mwenyeji, itaikaribisha Yanga katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania...
  4. Erythrocyte

    Ushauri : Simba isijaribu kuidharau Yanga , kuna wakati Marehemu hupiga chafya

    Hili ni angalizo ninalolitoa kwa Timu yangu ya Simba , Tusithubutu kudharau yanga kwa sababu ya dhiki waliyonayo , tutaumia ! Inapofika siku ya mazishi Masikini wanakuwa na umoja wa ajabu sana ! Hebu angalia Buguruni kwa Mnyamani au Temeke Mikoroshini jinsi masikini wanavyozikana ...
  5. May Day

    Kuelekea tarehe 4, utabiri wa Simba vs Yanga

    Dogo wa Simba anakula mitama, kama sio refa...
  6. Pdidy

    Ft SSC VS YANGA DRW

    HAYO NDIO MATOKEO HALISI MSIENDE MKAWAZA VINGINEVYO NA KUUMIZA MIOYO YENU FT 1-1/2-2 HARUNA N KAMA ATACHEXA ATAFUNGA UPANDE WA SIMBA ANAISHIA NA HATA SHATTA .HUYU NAE ATAFUNGA GOLI SO FAR
  7. H

    Mrembo Salma: Kagere akifunga dhidi ya Yanga anioe bure

    Mwanadada mrembo aitwae Salma mkazi wa Temeke wakati akihojiwa na Dauda Tv akaulizwa mchezaji gani anampenda wa Simba akasema Kagere na akaongezea Kama alifunga goal dhidi ya Yanga anioe bure bila mahari hata kama nitakuwa mke wa pili cos najua ana mke tayari.
  8. kavulata

    Yanga tumrudishe Zahera kikosini

    Kama tumeweza kumrudisha Lamine kikosini sio vibaya kumrudisha Zahera. Kimichezo mapungufu ya Zahera ni madogo kuliko mazuri yake. Hatutajuta kama tutamrejesha Zahera kikosini.
  9. GENTAMYCINE

    Kwahiyo PhD ya Mwenyekiti wa Yanga Msolla ilikuwa inasubiri hadi Waumbuliwe na Wachezaji ndipo wakiri Njaa Kali Jangwani?

    Kwa mujibu wake mwenyewe amesema kwamba hali ya Kiuchumi ya Yanga SC ni mbaya kutokana na sababu hizi zifuatazo: Yanga SC inadaiwa na TRA Yanga SC inadaiwa na Wachezaji wa Kigeni Yanga SC inadaiwa na Makocha ( walioondoka na waliopo ) Yanga SC inadaiwa na Wachezaji wao walioondoka ndani ya...
  10. cutelove

    Yanga mpende msipende lazima turudi kwenye bakuli

    Kwa yaliyotolewa na mwenyekiti wa klabu ya Yanga,aisee inasikitisha,boat inaendelea kuzama Hali ya kipesa ni mbaya zaidi kwenye klabu hii ya wananchi Madeni zaidi ya bilioni 2 ni hatari hata kama ni mwekezaji ataogopa madeni ya Yanga Tunaomba uongozi wa Yanga urudishe bakuli kwa wananchi...
  11. GENTAMYCINE

    Tukisema Yanga SC kuna Njaa na Shida muwe mnatuelewa tafadhali

    EXCLUSIVE: "Nimeandika barua ya kuvunja mkataba na Yanga kwa sababu sijalipwa mishahara yangu kwa muda wa miezi mitatu sasa. Mimi ni raia wa kigeni unategemea nitaishi vipi hapa"-Lamine Moro mchezaji wa Yanga. Chanzo Habari: Mtandao wa Shaffih Dauda Leo tarehe 7 Disemba 2019 EXCLUSIVE: Falcao...
  12. GENTAMYCINE

    Kwahiyo Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) hawajawaona Wachezaji wazuri wa Yanga SC yangu hadi wawaone wa Simba SC tu?

    Medie Kagere ametajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka ngazi ya Vilabu 2019 (African Interclubs Player of the Year). Emmanuel Okwi ambaye msimu uliopita alikuwa sehemu ya kikosi chetu na yeye ametajwa kuwania tuzo hiyo...
  13. BASIASI

    Hata kama tumechoka yanga leo wanacheza tupeni updates wakuu

    Kwa mlio Dar Mtusaidie hili jamani najua tumechoka ila yanga leo wanacheza any updates
  14. Suley2019

    Mechi gani ya Watani wa jadi (Simba na Yanga) unaikumbuka zaidi?

    Habari zenu wakuu, Leo katika pita pita zangu katika mtandao wa YouTube nikakutana na vipande vinavyoonesha mechi mbalimbali za Simba na Yanga. Nikiwa kama mdau ma mfuatiliaji wa soka la nyumbani mara nyingi huwa naona mechi zinazoikutanisha Miamba hii ya soka nchini huwa zinakosa mvuto...
  15. kavulata

    Yanga hamjakurupuka kumfukuza Zahera?

    Siyo jambo la ajabu kocha kufukuzwa kwenye club timu ikikosa matokeo viwanjani, lakini hii ya Zahera kushindwa kuifunga Pyramids na Ruvu kustahili kufutwa kibarua hainiingii akilini. Pyramids ina uwezo mkubwa uwanjani na nje ya uwanja kuliko timu yoyote kwenye ukanda wa CECAFA. Yanga ndiyo timu...
  16. Kipenzi Changu

    Kocha Mwinyi Zahera aachia ngazi Yanga. Mkwasa kuinoa kwa muda

    Yanga imevunja mkataba na kocha wake Mwinyi Zahera pamoja na benchi zima la ufundi sambamba na kuvunja kamati ya mashindano. Zahera ametimuliwa na klabu hiyo wakati mwenyewe ameendelea na kazi yake kama kawaida. Zahera leo asubuhi amefika mazoezini kwenye Uwanja wa Chuo cha Polisi Kurasini na...
  17. GENTAMYCINE

    Nani aliyewaambieni na kuwadanganyeni kuwa Kocha wa Pyramids FC haijui Ligi ya Tanzania na Timu bora ya Simba SC?

    Ifuatayo ni Nukuu yake aliyoitoa jana mara baada ya Kumalizika kwa mtanange baina ya Timu yake na Yanga SC ambayo aliisema kwa Kiarabu na kwakuwa Mimi An Eagle najua Kiarabu sana nikaweza Kuitafsiri kwenu kama hivi….. " Wachezaji wa yanga ni laini kama bamia au tambi kama yule namba 14 ndiyo...
  18. GENTAMYCINE

    Ifuatayo ni Ratiba yetu wana Yanga SC ya Kuwapokea Mashujaa wetu kutoka Misri baada ya Kufuzu Kwao Makundi Klabu Bingwa Afrika kwa Kuwatoa Pyramids FC

    Saa 10:00 Timu Kuwasili Saa 10:20 Wachezaji Kushuka kutoka katika Ndege kwa Magoti na Makalio Saa 10:30 Wachezaji Kuangaliwa kwa Jicho baya sana na Wahudhuriaji Uwanjani Saa 11:00 Golikipa Shikalo Kutemewa Mate na Mashabiki na Kupigwa Masingi Saa 11:20 Kocha Zahera Kuwambwa Makofi hadi akumbuke...
  19. Turnkey

    CAF Confederation: Kikosi cha Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wake Pyramids, yafungwa 3 kwa 0

    Leo kuna mtanange wa kukata na shoka kwenye viunga vya Cairo..na hiki ndio kikosi cha Yanga kitakachoanza ====== Waarabu wa Misri Waibana Mbavu Yanga Kikosi cha Yanga jana kimeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wake Pyramids kwenye mchezo wa marudio wa Kombe la Shirikisho uliochezwa...
  20. GAZETI

    Naamini Yanga wanaenda kuwaduwaza wengi leo

    Kabla ya yote niwaambie wale wanaobet wasiwe na hofu kabisa Moja ya mechi ambayo itawaduwaza washabiki wengi wa soka basi ni hii ya leo dhidi ya Mwarabu ambaye anaenda kupigwa kwao. Leo weka hata MKEO Yanga hafungwi abadani. Nitarudi hapa baada ya mechi. Leo ni siku ambayo Fowadi ya Yanga...
Back
Top Bottom