yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. P

    JamiiForums Tanzania Historia kuandikwa leo Tanzania: Yanga na Laliga kusaini mkataba wa mchakato wa mabadiliko wa mfumo wa klabu

    WanaJF, Leo kuanzia saa moja usiku nchi itazizima kwa kufanyika tukio kubwa la kihistoria hapa nchini wakati mabingwa kwa kihistoria nchini, Yanga na kampuni ya Laliga ya Spain watakapokuwa wanaingia mkataba wa kuanza kwa mchakato wa mabadiliko ya mfum wa uendeshaji wa timu ya Yanga Mchakato...
  2. Gentleman96

    JamiiForums Tanzania Simba SC na Yanga SC kwenye game PES2020

    Itakua jambo la furaha kuona club zetu pendwa za mpira wa miguu zikipatikana kwenye games kama fifa, Pes na magame mengine! Hizo picha nimezitoa kwenye ukurasa wa habari tu za kimichezo africa zone !
  3. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania TFF na BMT mpo serious kweli? Hivi Kagere na Morrison wanaliuaje Soka letu?

    Hili swala la wachezaji wa kigeni linaonekana kama zima moto lakini siyo mwarobaini wa Soka letu. Hata tukiwa na mmoja wa kigeni soka letu bado lipo hapa hapa, tatizo letu kubwa ni ukuzaji wa vipaji tulivyonavyo. Kama tukiweza kusimamia hilo hata hao wa nje hakuna atakaosumbuka nao. Cha muhimu...
  4. manchoso

    JamiiForums Tanzania Dakika ya 70 yanga 3 simba 0

    Mechi hii imechezwa jana majira ya saa 11 alfajir mechi ilianza kwa kasi na toka mwanzo mwa mchezo Yanga ilitaka kuonyesha umwamba wake mbele ya simba na wakajipatia goli la mapema dakika ya 2 kupitia kwa Bernad Morrison.llilkuwa moja ya magoli matamu kabisa kushuhudiwa ndani ya uwanja wa taifa...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Simba Sports Club yangu ole wenu ' Mumsamehe ' Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela nitawalaani na kuwachukieni Milele

    SAKATA LA CHAMA: MWAKALEBELA AWAOMBA RADHI SIMBA Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela ameomba radhi kufuatia kauli yake kuwa ameshaanza mazungumzo na kiungo wa Simba, Clatous Chama. Mwakalebela amesema alitoa kauli hiyo kama sehemu ya utani wa jadi dhidi ya Simba baada ya kuwepo kwa...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Anayewaelewa Yanga atueleweshe

    Ukifatilia post nyingi za washabiki wa Yanga wakisaidiwa na waandishi wao wenye mahaba wamekuwa wakiilaumu Simba kwa kuua vipaji vya wachezaji, wameisema sana Simba kwa kitendo cha kumdajili Ajibu wakati alikuwa anatakiwa na TP Mazembe lakini wanasahau walikataa kumruhusu Jerry There kucheza...
  7. Pdidy

    JamiiForums Tanzania GSM anaachana na yanga kwasababu ya wajumbe hawa

    GSM ANAACHANA NA YANGA KWASABABU YA WAJUMBE HAWA. Wajumbe watatu wa Kamati ya Utendaji 1. Rodgers Gumbo 2. Richard Shija 3. Salum Rupia Walikuja na ajenda kwenye kikao cha Kamati ya utendaji kuwa Kampuni ya GSM inafanya usajiri bila kuitaarifu Kamati ya Utendaji. Wajumbe wengi ne walibisha...
  8. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mwakyembe ingilia kati ahadi za wachezaji wa yanga iwe fundisho kwa wengine kuropoka

    Iko wazi wachezaji wa Yanga hawajalipwa pesa zao za mechi ya Simba waliohaidiwa. Mmh mwakyembe tinaomba hili swala ingilia kati owe fundisho kwa wowote wanaoahidi bila kulipwa. Kama mnakumbuka wachezaji wa yanga waliwahi kugoma huko nyuma gsm wakasema wanawalipa wote na kutoa mil 200...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya kutumia nguvu nyingi kwa simba leo yanga yawa mdebwedo kwa KMC

    Baada ya kutumia nguvu nyingi kwa simba Leo yanga yawa mdebwedo kwa KMC
  10. Ghazwat

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Taifa | Dar Derby, Vodacom Premier League (VPL) Yanga SC yaibamiza Simba SC kwa goli 1 - 0 ; Morrison akata mzizi wa fitina

    Hello Tanzania na kando ya Tanzania Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League (VPL), kuendelea kutimua vumbi leo Jumapili ya March 8, 2020 kwa kuwakutanisha watani wa Jani katika jiji la Dar es salaam, ambapo Yanga African SC, Wananchi wa Jangwani wanawakaribisha Simba SC, Wekundu...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Uganga wa Mshana Jr. unapofeli; Yanga 1 Simba 0

    Ama kwa uhakika mkuu Mshana jr leo umetuangusha bhana. Baada ya kukusoma katika ule uzi wa Bawacha pale Mlimani City kwamba leo Mnyama hapakatwi bali anauwa, si ndio nikaagiza bia zangu kusherehekea ushindi lakini yaliyojiri wewe mwenyewe umeyashuhudia. Kamanda mshana jr leo umeniangusha!
  12. technically

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ashangalia goli la Yanga, nimeipenda hii

    Rais Magufuli bwana nimemuona anashangilia bao la Yanga hata kama yeye ni Simba na kavaa jezi ya Yanga nimeipanda hayo ndio mambo tunataka kuliunganisha taifa.
  13. H

    JamiiForums Tanzania Game ya Yanga vs Simba itakuwa ngumu Sana

    Mashabiki wengi wa Simba wameshatengeneza mentality ya wao kushinda dhidi ya Yanga Tena kwa magoal mengi kwa kuamini Yanga ni mbovu.Me ni mshabiki wa Simba lakini kwenye derby chochote kinaweza kutokea kwa team zote mbili kitendo Cha Yanga kuaidiwa mil 200 na uongozi wao Kama wakishinda...
  14. Marry Ngowi

    JamiiForums Tanzania Vilabu vya Simba na Yanga vivunjwe?

    Kuna mdau mmoja wa michezo ameomba nimuwekee mawazo yake hapa! Naomba kuwasilisha!
  15. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Yanga FC wangekuwa na Akili Kubwa na hawana Unafiki kama Mshabiki Mwenzao Privaldinho ningewaheshimu sana

    Ifuatayo ni nukuu ya Shabiki wa Yanga FC na Mwandishi Mchambuzi Privaldinho aliyoiandika katika Ukurasa wake wa Instagram hasa baada ya Kuchoshwa na Uwendawazimu wa Mashabiki wengi wa Timu yake ya Yanga FC anayoishabikia..... " Namshangaa sana Shabiki wa Yanga FC anayetumia muda wake mwingi...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Picha: Wachezaji sita wa Yanga watimuliwa kwa kushindwa kulipa kodi Kariakoo

    Yumo Sonso, Adeyumi, Makame na Balama. Yaani nyumba ya vyumba viwili na sebule wachezaji walikuwa wanaishi sita kukiwa na kitanda kimoja na magodoro. Hapo lazima lile moja alilopewa balama na GSM lilikuwepo. So sad kwa kweli, imebidi wahamie mkwajuni kwenye nyumba ya bei nafuu. GSM wanalipa...
  17. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Yanga watashinda kwa penalty na kuelekea mbele

    Najuaa itawaumizaa kidogo wanna Yanga na kuwafurhisha Timu yetuu itapata wakati.mgumu sana na kama Ht watatoka drw yà 0-0 Basii tujiandaee kisaikolojia na ushindi via penalty
  18. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Jerry Muro ni wa kutilia shaka sana ujio wake Dar | TAKUKURU Kuweni makini hapo

    Umeona kuwa Kesho Yanga SC yako ikicheza na Gwambina FC katika Kombe la ASFC kwa Udhaifu na Uchanga wa Timu hiyo ya Gwambina leo umejifanya Kujitokeza katika Vyombo vya Habari na kusema kuwa Kesho Yanga SC itaibuka na Ushindi mnono na kuwataka wanayanga wote wajazane Uwanjani kuishangilia Timu...
  19. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Kwa matokeo haya labda Yanga tukagombee namba za NIDA

    Najuaaa tunapopitia sihaba kuamini akuna kipya mbeleni. Kwa matokeo haya tukapange tu foleni pale Kawe tugombanie namba za NIDA. Sioni tunachoshindania mpaka sasa ajabuu unakaa bar kula unaonaa kundi la watu linaingia kuangalia Yanga as if wanagombani kakombe fulani.
  20. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Baba Askofu Rev.Dr.Benson Bagonza (PhD):Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote

    Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote. Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia. Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu...
Back
Top Bottom